Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama vile alivokuwa Lowasa mpaka Yule mfi chama Mzee wa Mihogo akatupiwa vilago.Weye URIE tu Mkuu. Wasaliti kutoka chadema wana thamani kubwa ccm kuliko wafia Chama, labda usubiri 2025.😂😂😂
Kama vile alivokuwa Lowasa mpaka Yule mfi chama Mzee wa Mihogo akatupiwa vilago.
Bado sijasahau pia; zaidi ya 70 ya wagombeo wote wa Chadema 2015 walikuwa wagombea waliohamia baada ya kukatwa CCM...
Leo unashangaa CCM kupokea na kuwapa nafasi wageni..
ACHENI UNAFIKI
HahahaaaaWakishapewa alfu saba wanatokomea kwenye mataputapu
Japo alitangaza kustaafu lakini ataombwa kutengua dhima yake na wanaCcm wa Bukoba ili aendelee kuwatumikia Wana Bukoba town kwani mchango wake bado unahitajika. POLITICS
Tuliopigania chama inakuwaje?
Inauma sana sana
Yaani jamaa hata week bado tayari anakuwa mbunge tena
Sisi wavaa kofia za kijani na T shirt kama pepe kale inakuwaje?
Kwa hiyo ndio ataleta sukari?
Juzi nilimkuta kipara kipya akibugia wanzuki pale uwanja wa fisiWakishapewa alfu saba wanatokomea kwenye mataputapu
Acha kupotosha umma.Wakishapewa alfu saba wanatokomea kwenye mataputapu
UNAFIKI na mie HATUIVI chungu kimoja. Hata kuja kwa fisadi Lowassa chadema mie nilipinga. MNAFIKI huyu hapa lakini leo hii hawezi kutamka haya kwani ni MCHUMIA TUMBO.
kwani wewe unalipwa tofauti na wenzio ?Acha kupotosha umma.
Naona mmebadili mbinu siyo nccr tena ni ccm, mnatapatatapa tu.Japo alitangaza kustaafu lakini ataombwa kutengua dhima yake na wanaCcm wa Bukoba ili aendelee kuwatumikia Wana Bukoba town kwani mchango wake bado unahitajika. POLITICS
Atapunguza Maji ya Victoria yaliyofurikaKwa hiyo ndio ataleta sukari?
Yaa kweli 'Bia yetu' tpumzi immekata , tulimwambia sisi hatulipwi tunasukumwa na uzalendo tu.I told bwana Bia yetu tu kuwa apunguze speed atachoka mapema, sasa hivi thread ya kumi hii simuoni kabisa, ni ngumu sana kuitetea CCM
We unaumwa dengue?kwani wewe unalipwa tofauti na wenzio ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]I told bwana Bia yetu tu kuwa apunguze speed atachoka mapema, sasa hivi thread ya kumi hii simuoni kabisa, ni ngumu sana kuitetea CCM