USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Jamiiforums imekuwa kikao cha uongo, hii mada ingewekwa na mwanaCCM isingekuwa bado ipo humuJapo alitangaza kustaafu lakini ataombwa kutengua dhima yake na wanaCcm wa Bukoba ili aendelee kuwatumikia Wana Bukoba town kwani mchango wake bado unahitajika. POLITICS
Sent using Jamii Forums mobile app