Uchaguzi 2020 Wilfred Lwakatare kuombwa kugombea tena Ubunge kupitia CCM Bukoba

Uchaguzi 2020 Wilfred Lwakatare kuombwa kugombea tena Ubunge kupitia CCM Bukoba

Japo alitangaza kustaafu lakini ataombwa kutengua dhima yake na wanaCcm wa Bukoba ili aendelee kuwatumikia Wana Bukoba town kwani mchango wake bado unahitajika. POLITICS
Jamiiforums imekuwa kikao cha uongo, hii mada ingewekwa na mwanaCCM isingekuwa bado ipo humu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na jinsi ambavyo CCM ina uhaba wa viongozi wa maana hawakawii kumuomba Rwaks awaongoze kama wanavyoongozwa na Mwita Waitara
 
Tuliopigania chama inakuwaje?
Inauma sana sana

Yaani jamaa hata week bado tayari anakuwa mbunge tena

Sisi wavaa kofia za kijani na T shirt kama pepe kale inakuwaje?
Mkuu unajiaibisha? Mzee Lowassa alipokuwa Mgombea Urais wenu baada ya siku mbili tangu ajiunge alikuwa mpigania Chadema? Cecil Mwambe, Kallanga, Wenje, Dk. Mollel, Ole Millya, kutaja wachache nani kati yao alikipigania chama kabla ya kuzawadiwa ubunge? Dogo vipi? Au sifa yenu ya unyumbu ya kusahausahau ndio inakusumbua?
 
Bukoba hipi agombee , labda kama anatafuta kifo lakini sio ubunge.
 
Juzi nilimkuta kipara kipya akibugia wanzuki pale uwanja wa fisi

In God we Trust
Mwenyewe unafikiri watu hawakujui wala hawawezi kukupata picha yako ukijificha kwenye keypard!
97219648_3203313099719321_8539209361786929152_n.jpg
 
Tuliopigania chama inakuwaje?
Inauma sana sana

Yaani jamaa hata week bado tayari anakuwa mbunge tena

Sisi wavaa kofia za kijani na T shirt kama pepe kale inakuwaje?
Elfu Saba inakutosha usitake mambo makubwa usio na uwezo nayo
 
Wafukuzwe uanachama Chadema, alafu CCM ndiyo waumie haya mambo ya ajabu sana.
Juzi nilianzisha uzi kuulizia hilo, ajabu ulifutwa baada ya muda. siku hizi jamii forum nayo inaelekea kuwa kama star tv na channel ten. wanataka nyuzi za kusifu na kuabudu mungu wa chato
 
Back
Top Bottom