Hahahahaha haka kaharufu kalianza kunukia tangu alipotangaza kutogombea, harufu ikaongezeka alipoingia bungeni na kuchaguliwa kiongozi wa kub.Japo alitangaza kustaafu lakini ataombwa kutengua dhima yake na wanaCcm wa Bukoba ili aendelee kuwatumikia Wana Bukoba town kwani mchango wake bado unahitajika. POLITICS.