Uchaguzi 2020 Wilfred Lwakatare kuombwa kugombea tena Ubunge kupitia CCM Bukoba

Uchaguzi 2020 Wilfred Lwakatare kuombwa kugombea tena Ubunge kupitia CCM Bukoba

Japo alitangaza kustaafu lakini ataombwa kutengua dhima yake na wanaCcm wa Bukoba ili aendelee kuwatumikia Wana Bukoba town kwani mchango wake bado unahitajika. POLITICS.
Hahahahaha haka kaharufu kalianza kunukia tangu alipotangaza kutogombea, harufu ikaongezeka alipoingia bungeni na kuchaguliwa kiongozi wa kub.
 
Mkuu unajiaibisha? Mzee Lowassa alipokuwa Mgombea Urais wenu baada ya siku mbili tangu ajiunge alikuwa mpigania Chadema? Cecil Mwambe, Kallanga, Wenje, Dk. Mollel, Ole Millya, kutaja wachache nani kati yao alikipigania chama kabla ya kuzawadiwa ubunge? Dogo vipi? Au sifa yenu ya unyumbu ya kusahausahau ndio inakusumbua?
Mtoe Wenje hapo tunza kumbukumbu
 
Mtoe Wenje hapo tunza kumbukumbu
Kamanda wangu wenje general nimepambana nae kitambo sana atakua kavurugwa huyo hata ole milya tulikua nae kitambo sana ndani ya chama sema umasikini tu ndo umemponza kama chapombe waitara
 
Mtoe Wenje hapo tunza kumbukumbu
Kwanini? Hujui kuwa mpaka kipindi cha maoni CCM 2010 Wenje alikuwa Kiongozi wa CCM hapa Mwanza? Hujui kuwa chanzo cha yeye kwenda Chadema ilikuwa ni kumkimbia Masha kwenye kura za maoni? Weka kumbukumbu yako vizuri.
 
Kwanini? Hujui kuwa mpaka kipindi cha maoni CCM 2010 Wenje alikuwa Kiongozi wa CCM hapa Mwanza? Hujui kuwa chanzo cha yeye kwenda Chadema ilikuwa ni kumkimbia Masha kwenye kura za maoni? Weka kumbukumbu yako vizuri.
Acha uongo wewe kama hujui kitu in vizuri ukauliza wanaojua wakuelekeze wenje yupo chadema kitambo sana aliwahi kuwepo ccm kweli ila in kitambo kidogo kama sikosei 1999 alijiondoa mafisiem kwamana hiyo huyu sio kizazi cha wasiojulikana
 
Acha uongo wewe kama hujui kitu in vizuri ukauliza wanaojua wakuelekeze wenje yupo chadema kitambo sana aliwahi kuwepo ccm kweli ila in kitambo kidogo kama sikosei 1999 alijiondoa mafisiem kwamana hiyo huyu sio kizazi cha wasiojulikana
Mkuu unamjua Wenje vizuri au unajimwambafai tu?
 
Akifanikiwa itakuwa record!

Kuwa Mbunge wa Jimbo moja kupitia vyama vitatu tofauti!
 
Ezekiel dibogo wenje namfahamu vizuri sana kuliko uzaniavyo mpaka kwake pale busweru kitongoji cha bulola A upo hapo
Basi sawa. Hata alipokuwa anafundisha Thaqaafa Sekondai 2003 - 2005 alikuwa CCM. Na ujue mpaka 2009 akiwa mbele yangu chuoni SAUT alikuwa CCM. Na alipokiwa anafanya kazi Barclay's Bank pale Ghorofa la Kishimba alikuwa CCM. Ukionana naye muulize.
 
Basi sawa. Hata alipokuwa anafundisha Thaqaafa Sekondai 2003 - 2005 alikuwa CCM. Na ujue mpaka 2009 akiwa mbele yangu chuoni SAUT alikuwa CCM. Na alipokiwa anafanya kazi Barclay's Bank pale Ghorofa la Kishimba alikuwa CCM. Ukionana naye muulize.
Unazidisha uongo huyu baada ya kumaliza chuo alikua mwalim tena hed master huko ilemela
 
Tuliopigania chama inakuwaje?
Inauma sana sana

Yaani jamaa hata week bado tayari anakuwa mbunge tena

Sisi wavaa kofia za kijani na T shirt kama pepe kale inakuwaje?
I feel you bro

pole sana [emoji23]

Mkulima wa mahindi
 
Alitokea Thaqaafa Sekondari alipokuwa anafundisha pamoja na Mwl. Mawazo (RIP) kwenda kuwa Headmaster Hill Crest Sekondari ilipofunguliwa.
Huyo ndio wenje kumbe wamjua vizuri tu MPE habali mabula mwambie arudi kazini kwake kwa yule mhindi wa luchelele wanamwita Giji alikokua anafanya kibalua cha kufagia Hotel
 
Huyo ndio wenje kumbe wamjua vizuri tu MPE habali mabula mwambie arudi kazini kwake kwa yule mhindi wa luchelele wanamwita Giji alikokua anafanya kibalua cha kufagia Hotel
Mabula alikuwa anafanya kazi ya Ulinzi (Security Guard). Nikikutana naye, nitamshauri asitumie vihela vyake kwenye ubunge. Bahati haiji mara mbili.
 
Back
Top Bottom