MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
Namjua sana alikua akifanya kwa mhindi gihji bahati mbaya natonywa na imfoma wangu hotel iliuzwa kwahiyo mjini si pahala salama kwake kukaa aende kwao busega kwa baba na mama yakeMabula alikuwa anafanya kazi ya Ulinzi (Security Guard). Nikikutana naye, nitamshauri asitumie vihela vyake kwenye ubunge. Bahati haiji mara mbili.