Jamiiforums imekuwa kikao cha uongo, hii mada ingewekwa na mwanaCCM isingekuwa bado ipo humuJapo alitangaza kustaafu lakini ataombwa kutengua dhima yake na wanaCcm wa Bukoba ili aendelee kuwatumikia Wana Bukoba town kwani mchango wake bado unahitajika. POLITICS
HahahahaHilo bundle anawekewa na chakubanga
In God we Trust
I told bwana Bia yetu tu kuwa apunguze speed atachoka mapema, sasa hivi thread ya kumi hii simuoni kabisa, ni ngumu sana kuitetea CCM
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyie watu bwanaWakishapewa alfu saba wanatokomea kwenye mataputapu
Mkuu unajiaibisha? Mzee Lowassa alipokuwa Mgombea Urais wenu baada ya siku mbili tangu ajiunge alikuwa mpigania Chadema? Cecil Mwambe, Kallanga, Wenje, Dk. Mollel, Ole Millya, kutaja wachache nani kati yao alikipigania chama kabla ya kuzawadiwa ubunge? Dogo vipi? Au sifa yenu ya unyumbu ya kusahausahau ndio inakusumbua?Tuliopigania chama inakuwaje?
Inauma sana sana
Yaani jamaa hata week bado tayari anakuwa mbunge tena
Sisi wavaa kofia za kijani na T shirt kama pepe kale inakuwaje?
Sio huyo tuu walikuwepo akina Simiyu yetu na Malaria sugu wapo wap sasa.Tulimwambia hapa walikuwepo akina Lizaboni ccm iliwashinda
SUBIRINI DEMOKRASIA KATIKA CCM MIAKA IJAYO (KAMA 20)Tuliopigania chama inakuwaje?
Inauma sana sana
Yaani jamaa hata week bado tayari anakuwa mbunge tena
Sisi wavaa kofia za kijani na T shirt kama pepe kale inakuwaje?
Yongeza akavoliumuYaan hata uwenyekiti wa mtaa hawezi kupata walishamchoka na akasoma alama za nyakati ndio maana alifikia hayo mahamuzi, labda "ASINDULE EBIKONYA"
Yaani hakuna wafia Chama ndani ya CCM ? Ama kweli kumbe Wapinzani ni Dili ndani ya CCMJapo alitangaza kustaafu lakini ataombwa kutengua dhima yake na wanaCcm wa Bukoba ili aendelee kuwatumikia Wana Bukoba town kwani mchango wake bado unahitajika. POLITICS
Mwenyewe unafikiri watu hawakujui wala hawawezi kukupata picha yako ukijificha kwenye keypard!
Kwahiyo mnamchagua nani ccm au CHADEMA?Yaan hata uwenyekiti wa mtaa hawezi kupata walishamchoka na akasoma alama za nyakati ndio maana alifikia hayo mahamuzi, labda "ASINDULE EBIKONYA"
Hahahahaha kachemkaYule kashaondolewa kwenye payrol...
Kanyooka.
Elfu Saba inakutosha usitake mambo makubwa usio na uwezo nayoTuliopigania chama inakuwaje?
Inauma sana sana
Yaani jamaa hata week bado tayari anakuwa mbunge tena
Sisi wavaa kofia za kijani na T shirt kama pepe kale inakuwaje?
Juzi nilianzisha uzi kuulizia hilo, ajabu ulifutwa baada ya muda. siku hizi jamii forum nayo inaelekea kuwa kama star tv na channel ten. wanataka nyuzi za kusifu na kuabudu mungu wa chatoWafukuzwe uanachama Chadema, alafu CCM ndiyo waumie haya mambo ya ajabu sana.