Ni kweli JF ni mtandao mkubwa sana tumehangaika nao sana kuusuka.Mtandao huu wa JamiiForums ni mkubwa sana huu ujue simu tayari zinapigwa kujua ukweli wa habari hii mpya, ila umefanya vyema kutoa ufafanuzi kwa spidi inayotakiwa .
Ndo mkuu, nimekaa pale kama mwaka hivi nazunguka hapo na Geneva.Niliposoma hapo umesema ulikuwa zurich akili yangu inaenda mbali natamani sana, you are living the life i dream of
Mlongo tuingie chemba court kidogo...kwani marekani bado usiku?Kabisaa Mlongo, mie kila nikikumbuka umbea wake wa Tunda kuzurura mahotelini, bas hoi.
Jaman tumefiwaa sie
Nilikua namuona kwenye 40 hivi, kumbe ni mtu mzima hivyo? mitandao hii inatuvua nguo mno!Lemutuz alikwa na miaka 60 +.Sema post zake Instagram zilikuwa zinamfanya aonekane mdogo kuliko umri wake halisi.
Uliwapima?View attachment 2621191
Third wave ya corona imerudi ndio maana Mama Membe wanemzungushia uzio kumlinda na maambukizi.
Membe kachomoka na Corona,na hata Lemutuz ni corona.
Ningeshangaa kukukosa hapa😀, Le baharia ulikua unacomment threads zake nyingiStraight Talk ,Free Education ,Case Closed.
Mkuu, naomba nije PM kwa sababu huko ulipopita ndipo na mimi natamani kupita,mimi ni kijana nina degree na leseni ya udereva, naamini nikiwa nawasiliana na watu wa aina yako kuna mawili, huenda na mimi nikatimiza ndoto yangu ya kufanya kazi hizo NGO au nikapata chochote kizuri katika maishaNdo mkuu, nimekaa pale kama mwaka hivi nazunguka hapo na Geneva.
Mimi nimefanya kazi kwenye mashirika ya kimataifa na mojawapo ni UNHCR hivyo nimezunguka kidogo hii dunia yetu tambarare.
Yule ni Baba yako kabisa au anamzidi Baba yako, si KijanaVijana wanazidi kuisha daah very sad
Wanawake ndo chanzo, mnapenda kubaki na watoto mkiwafundisha sisi ni wabayaSidhani kama watawaza,,,,,,
Mimi kiukweli Sina excuse yoyote na baba anaekimbia watoto.sina.
Kulea watoto mwenyewe kunaleta simanzi moyo unaweza ukafa ganzi ukatamani huyo jamaa afe
Yeye alisemaga aligombanaga na mama Yao,,,ila watoto wanasema aliwaaga anaenda kusalimia bongo na hakukua na ugomvi na haluwai kurudi na wala hakuwahi kiwatafuta..
My dear baba ambaye hakuwajal tangu watoto Leo hii unafikiri watakua na uchungu?
Na SI ajabu wamekua Kwa taaabu...
Kama wewe ni mwanaume hata kama unampitia taabu vip na uliyezaa nae hakikisha upotezi mawasiliano/ukaribu na wanao hata kama huna pesa ...usije baadae ukapopup tu....kulea watoto mwenyewe ni taaabu sana
Sikuzuii kuja JF lakini mimi ni mtu ambe nipo "busy" mno na mihangaiko yangu hivyo nikipata nafasi ntakupa za hapa na pale.Mkuu, naomba nije PM kwa sababu huko ulipopita ndipo na mimi natamani kupita,mimi ni kijana nina degree na leseni ya udereva, naamini nikiwa nawasiliana na watu wa aina yako kuna mawili, huenda na mimi nikatimiza ndoto yangu ya kufanya kazi hizo NGO au nikapata chochote kizuri katika maisha
Kumbe mabeberu ndo wanakupa ugali afu unawakandia na kumpenda MrusiSisi kwetu Tanga twasema "Mtumba Tikubada" yaani mjomba kaenda.
Ilikuwa ni mwaka 2005 nikiwa States kwenye jitihada zangu za kusaka vyeti, nikakutana na Field Marshal aka Le Mutuz real name William Malecela.
Nilikuwa namuita uncle kwani alikuwa ni mkubwa kidogo kwangu ila ukija kwenye kukaa na kujadili politics na mikakati ya maisha, kwa kweli Le Mutuz alikuwa nguli.
Katika watoto wa wakubwa ambao nimekutana nao iwe ndani au nje ya nchi Le Mutuz huwezi fahamu kuwa ni mtoto wa mkubwa yaani mzee John Malecela alikuwa ni mmoja wa viongozi ambao wana vijana walo "humble" sana si wa kujikweza.
Wapo watoto wengi wa wakubwa wa siku hizi ambao hujidai na kutukana watu na kufanya ujinga mwingi lakini huyu Le Mutuz aliheshimu watu na ukiwa na hoja basi mtabishana kwa hoja.
Ndie alienieleza kuhusu JF enzi hizo imetoka kuanzishwa ikiitwa Jambo Forums na baadae nilipokuwa Zurich kikazi mwaka 2006 nikajiunga rasmi hadi leo.
Tukiwa JF, tuwe na staha na kuheshimu michango ya wengine na kuheshimu watu khasa wale usowafahamu maana hatufahamu ya kesho.
Binadamu tuhangaike kwa namna yoyote ile hapa duniani bado yabaki kuwa Dunia ni mapito na sote tutailamba vumbi iwe kwa hiari au kwa mshinikizo lakini Mungu hutupokea.
RIP Le Mutuz aka Field Marshal, baharia, real Name William Malecela mzee wa "You Know I know".
Hawa wanaolike maudhui kama hayo wana akili gani?Ameandika kwenye ukurasa wake wa instagram kumshukuru Mungu kwa kifo cha William Malecela na kusema Mungu amejibu
My take:siku PCK akifa itakuwa 1-1 na itakuwa dakika ya FULL TIME
USSR View attachment 2621601
Sent using Jamii Forums mobile app