TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

Lemutuz alikwa na miaka 60 +.Sema post zake Instagram zilikuwa zinamfanya aonekane mdogo kuliko umri wake halisi.
Nilikua namuona kwenye 40 hivi, kumbe ni mtu mzima hivyo? mitandao hii inatuvua nguo mno!
 
Ndo mkuu, nimekaa pale kama mwaka hivi nazunguka hapo na Geneva.

Mimi nimefanya kazi kwenye mashirika ya kimataifa na mojawapo ni UNHCR hivyo nimezunguka kidogo hii dunia yetu tambarare.
Mkuu, naomba nije PM kwa sababu huko ulipopita ndipo na mimi natamani kupita,mimi ni kijana nina degree na leseni ya udereva, naamini nikiwa nawasiliana na watu wa aina yako kuna mawili, huenda na mimi nikatimiza ndoto yangu ya kufanya kazi hizo NGO au nikapata chochote kizuri katika maisha
 
Wanawake ndo chanzo, mnapenda kubaki na watoto mkiwafundisha sisi ni wabaya
 
Sikuzuii kuja JF lakini mimi ni mtu ambe nipo "busy" mno na mihangaiko yangu hivyo nikipata nafasi ntakupa za hapa na pale.

Kazi ya UN huwa wazitangaza kwenye website yao na watakiwa kuwa wazifuatilia.

Kwa sasa sifanyi kazi huko ila ntakupa dondoo za hapa na pale.

Lakini mimi nilianza kufanya kazi UNHCR baada ya masomo nikapangwa Kigoma enzi hizo.

Hivyo kama wapiga kazi mwajiri wako aweza kuanza kukuhamisha na mara nyingi kituo kinofuata ni Nairobi.

Baada ya hapo weye wenyewe huanza kuangalia kazi zitokazo ambazo twaziita "internal" kwa wale waajiriwa na baadae huzitoa kwa public.

Hivyo anza na UNHCR ya Tanzania, Arusha kuna ile mahakama ya kimataifa na Nairobi pia pana ofisi za mashir

Pia pale barabara ya Sokoine karibu na stesheni ya reli pana ofisi za UN karibu na ofisi za mazee.

Hivyo ukiwa JF pia pitia hizo website zao.

Na si lazima upate kazi ya juu waweza kuanza kama dereva ambae hulipwa "foreign currency" khasa dola.
 
Kumbe mabeberu ndo wanakupa ugali afu unawakandia na kumpenda Mrusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…