Chawa hao..waendesha akaunti zake ,yeye akiwa bize.You know!??Chawa njaa Kali..."....Uchaguzi ukiwa huru na haki CCM inakabidhi Ikulu".By.Humphurey Pole Pole....Muulize Leo.Zaidi You Tube kule,ukajiridhishe...hiyo zaidi ilikuwa ni kipindi cha nyuma lakini siku za karibuni hapa alianza kutukana sana wanaomkejeli hasa akiweka post kwenye page yake insta...
Ni suala na itikadi na mrengo mtu hufuata na hizi ni siasa za dunia.Kumbe mabeberu ndo wanakupa ugali afu unawakandia na kumpenda Mrusi
Walimfanyeje?Watoto wake na mama yao bila aibu watakuja kuzika
Yaani mabeberu yanakushibisha afu unawatukana?Ni suala na itikadi na mrengo mtu hufuata na hizi ni siasa za dunia.
Ugali mtu hupata popote hivyo waweza kuchukua yale yalo chanya na kuacha mabaya yao ambayo ni mengi kuliko mazuri yao.
Ukipata nafasi tembelea Moscow mkuu ujionee maajabu ya warusi.
hakika mkuu ni msiba mkubwa kwa JF nadhani Max melo na Mushi pamoja na Buchanan watatuwakilishaJF tumefiwa, ni moja ya watu waliotuvutia wengi humu enzi hizo. Alivyorudi Bongo aliishi maisha tofauti lakini kwa ambao tunakumbuka mijadala yake tunajua uwezo wake kwenye hoja.
Rest in peace brother [emoji120]
Hiyo hapo Field Marshall ESNimeitafuta id yake ya Field Marshal Es sijaipata. Yaani mzee wa masauti .Nyani kumpiga giladi.
najua mkuu utammiss thread na comment zake zilizokuwa na bashasha na hojaM.A.P Le Mutuz Mobimba Le Mutuz Kokobanga Boma Ye Nye Nye Nye Down town in Manhattan Boma Liwanza Le King of Social Media ,I'm humbled You Know Ha ha ha ha!! Social Media imepata Pigo!
Asante sana MkuuSikuzuii kuja JF lakini mimi ni mtu ambe nipo "busy" mno na mihangaiko yangu hivyo nikipata nafasi ntakupa za hapa na pale.
Kazi ya UN huwa wazitangaza kwenye website yao na watakiwa kuwa wazifuatilia.
Kwa sasa sifanyi kazi huko ila ntakupa dondoo za hapa na pale.
Lakini mimi nilianza kufanya kazi UNHCR baada ya masomo nikapangwa Kigoma enzi hizo.
Hivyo kama wapiga kazi mwajiri wako aweza kuanza kukuhamisha na mara nyingi kituo kinofuata ni Nairobi.
Baada ya hapo weye wenyewe huanza kuangalia kazi zitokazo ambazo twaziita "internal" kwa wale waajiriwa na baadae huzitoa kwa public.
Hivyo anza na UNHCR ya Tanzania, Arusha kuna ile mahakama ya kimataifa na Nairobi pia pana ofisi za mashir
Pia pale barabara ya Sokoine karibu na stesheni ya reli pana ofisi za UN karibu na ofisi za mazee.
Hivyo ukiwa JF pia pitia hizo website zao.
Na si lazima upate kazi ya juu waweza kuanza kama dereva ambae hulipwa "foreign currency" khasa dola.
najua mkuu utammiss thread na comment zake zilizokuwa na bashasha na hoja
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3] caseKuna id naitafuta kama imecoment popote leo
Kumbe na wewe huwa unaumia
So sadle mutuz lazima ameacha mali. nyumba kinyerezi sijui na vingine alikuwa anatamba navyo. sasa tunasubiri watoto wale waliomtukana baba yao na mama mwenye roho ya sumu aje kurithi. bahati mbaya nadhani le mutuz hakuna na wadogo zake ni kam alizaliwa peke yake, ila kama angekuwa na ndugu wengine, alitakuwa kuandika wosia mali zake ziende kwa ndugu zake. angetakiwa kuwaacha kabisa wale watoto wenye matusi waendelee kuishi kimama mama na mama yao.
si kwako tu kuondoka kwa lemutuz ni pigo kwa watu ambao walikuwa wakimfuatilia mitandaoni. mimi nilikuwa naongea nae kupitia cm yake ya mkononi.Mara ya mwisho kusikitika sana kwa msiba wa mtu maarufu ilikuwa ni msiba wa Seth Bikira wa Kisukuma na leo kwa mara nyingine nina huzuni mno. Lemutuz alikuwa na utu pamoja na ishu zake zingine zilizokuwa kama zinaleta ukakasi. Huyu ni mtu aliyetaka vijana wafanikiwe kimaisha... alikuwa na upendo mkubwa kwa vijana. Mwaka 2014 alituandalia semina ya ujasiriamali ambayo ilikuwa na wazungumzaji wengi heavyweights akiwemo Ruge Mutahaba, Ridhiwani, Davis Mosha, DC Zainab na wengine. Hata machapisho yake mitandaoni zilikuwa zina mafunzo mengi kwa vijana. Alikuwa akisisitiza sana vijana wajasiriamali kuhakikisha tunaaminika na wadau wote hasa taasisi za fedha. Huu ushauri wake nimekuwa nikiuzingatia sana.
MUNGU AMLAZE MAHALI PEMA. NIMESIKITIKA SANA LEO.
Mabeberu hayanishibishi chochote na wala siwatukani ila nakosoa sera zao za "hegemony" na ukabaila.Yaani mabeberu yanakushibisha afu unawatukana?
Mzee hebu kuwa ma shukrani
Walikuwa wanamtukana kupitia mange,tafuta story yake inaitwa my American experience aliwahi kushare humu utaelewa vizuri kisa chake na ex wife wake.Walimfanyeje?
Dah!No Way, Aisee.
Daaaah
Huyu Jamaa Nlikua Namuelewa Sanaa [ Hasa Madini Yake Ya Kimaisha Na Street Intelligence ] Japo Wengine Wachache Walikua Hawamuelewi + Deep Down Alikua Ana Utu Sanaaa.
Rest in Paradise The King Of All Bongo Social Media Network With Over 30 Years Experience At Downtown New York Mbelezzz.
What An Entertainer, Nimeumia Sana Daaah.
Hakika Maisha Ya Duniani Ni Safari Fupi Sana.
Bwana Mungu Akawe Muongozo Sahihi Kwa Watoto Wake Na Familia Kwa Ujumla. Amen [emoji1488]
Mobimba amepitia mengi magumu kuanzia kuzaliwa kwake alikuwa kwenye vita kali sana na ndugu zake alifanyiwa mengi maovu ikiwemo kutengwa na ndugu na kukataa kumtambua! hii kitu ilimtesa sana Mobimba...hata alivyokuja kumuoa Neema Ngululupi hiyo ndoa nayo ikaingia timbwili ikapelekea Watoto kumkimbia.Kama umesoma ile Historia ya maisha
yake utagundua hata hao ndugu zake nao hawafai hata kidogo alikuwa ktk vita nao.