TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

Uzi huu nimeusoma kwa umakini nimefurahi kuona comments za watu waliojiunga jf wakati inaanza wakati huo sisi tuko secondly hatujui yanayoendelea duniani. Shikamoo.
 
Duh,Apumnzike kwa amani. Huyu alikuwa anakula good time na Wabebez. Ila maisha yanazidi kunifundisha kuwa Humble.
HEEEeeeHeeEEeeh!

Dakika chache tu zilizopita baada ya kuandika hayo ukawa umesahau kila kitu!

Hayo ndiyo maisha.

Watu wangetembea na zigo la huzuni kila siku, sijui dunia ingekuwaje?

Ishi maisha yako tu, kama ulivyopangiwa kuyaishi, usitafute kurekebisha kwa matukio yanayopita haraka haraka.
 
Death Is the Destination we all share

Death is Certain

Kifo ni hakika, sote tutakipitia endapo Bwana atachelewa Rudi
Kwa Hakika, na umesema vizuri ikiwa Bwana Yesu Kristo atakuwa bado hajarudi (Lazima atarudi kama alivyoahidi)

Akirudi mapema parapanda itakapolia na kukuta watakatifu walio Hai, basi hawatapitia mauti.
 
Uzi huu nimeusoma kwa umakini nimefurahi kuona comments za watu waliojiunga jf wakati inaanza wakati huo sisi tuko secondly hatujui yanayoendelea duniani. Shikamoo.
Taasisi huanzishwa na waasisi.

Tumetoka mbali sana, msituone hivi ujue?

Kulikuwa na chama la uhakika hapa likijadili issues, Field Marshal, Kibunango, Steve D, Mwanakijiji, Balantanda, Kana ka Nsungu na wengine wengi sana.

Ila mimi umri nao waanza kuingia utu uzima sema mazoezi ya hapa na pale, kunyanyua vitu vizito, kukimbia na napapenda sana Arusha nikiwa kwa kazi.

Arusha ndo kituo changu cha kwanza cha zile kazi zetu zile za kuonyesha watalii wapi pa kwenda kazi na mihangaiko baada ya shule.

You know what I mean?

😉
 
Duuuh Aiseee Jana tu alipost ofisi yake ya TANCOT House Down town Posta!

Poleni Ndugu ,Jamaa na Marafiki.
Mi nimemuona pale Ben tower ijumaa yaan juzi[emoji26]

Kama kawaida yake na wabebez akaniita nikamsonya akacheka sana, ...masikini ningeenda hata kumsikiliza utani wake then nicheke nisepe! Imeniuma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…