dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
R.I.P Membe & LemutuzAma kweli Kifo ni fumboView attachment 2621190
Yule dogo wa kiume ni fala sana atamjutia mshua wake bora yule binti.Anajistukia maana nae kachangia[emoji26][emoji26]
Kutwa kumchamba baba wa watu vitu vyenyewe sensitive sasa kama familia
Tena kama hii ya juzi ameumia sana asee
Yeah ndivyo maandiko yanavyosemaKwa Hakika, na umesema vizuri ikiwa Bwana Yesu Kristo atakuwa bado hajarudi (Lazima atarudi kama alivyoahidi)
Akirudi mapema parapanda itakapolia na kukuta watakatifu walio Hai, basi hawatapitia mauti.
Atalamba makamasi sometimes Maisha yanatufundisha tuwe na akiba ya maneno tusiseme tukamala (tukamaliza) mengine save ndani tu, sasa dogo atalia hadi analamba makamasiYule dogo wa kiume ni fala sana atamjutia mshua wake bora yule binti.
Ana 66 years ?Yule ni Baba yako kabisa au anamzidi Baba yako, si Kijana
Sasa we naye ikawaje baba yako akachelewa kukuzaa?Ana 66 years ?
Ungependa akushike mubebezMi nimemuona pale Ben tower ijumaa yaan juzi[emoji26]
Kama kawaida yake na wabebez akaniita nikamsonya akacheka sana, ...masikini ningeenda hata kumsikiliza utani wake then nicheke nisepe! Imeniuma sana
Robert De Niro ana miaka 79 juzi Juzi kapata mtoto wa kike, hizo habari umezitoa wapi ?Sasa we naye ikawaje baba yako akachelewa kukuzaa?
Mwisho wa kuzaa ni 35
Huoni hao wote ni wenda wazimu?Robert De Nero ana miaka 76 juzi Juzi kapata mtoto wa kiume, hizo habari umezitoa wapi ?
Sio kucheza na Babu ?Huoni hao wote ni wenda wazimu?
Raha ya mzazi ni kuona mtoto akikua,
Raha ya mtoto ni kucheza na Baba
Ameandika kwenye ukurasa wake wa instagram kumshukuru Mungu kwa kifo cha William Malecela na kusema Mungu amejibu
My take:siku PCK akifa itakuwa 1-1 na itakuwa dakika ya FULL TIME
USSR View attachment 2621601
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekusoma mkuu, na mlengo wako wa fikra!Utasikia "Mungu wangu si jana tu tumetoka kula naye hapa ugali"
Sasa kula ugali na kifo hapo katikati kuna chemistry gani inayofanya ionekane ajabu kwa mtu mliyekula naye ugali kupatwa na mauti?
Yani kwa bongo ni kama taarifa ya mtu kufa kwako itakuwa normal as long as marehemu hakuhusika kwenye tukio lolote recently pamoja na wewe
Anajistukia maana nae kachangia[emoji26][emoji26]
Kutwa kumchamba baba wa watu vitu vyenyewe sensitive sasa kama familia
Tena kama hii ya juzi ameumia sana asee
Bado hajaamka mlongo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maana kila nikipita kwa Dada wa taifa sioni updates
Dah masikini ungejua ungempa hata mbususu.Mi nimemuona pale Ben tower ijumaa yaan juzi[emoji26]
Kama kawaida yake na wabebez akaniita nikamsonya akacheka sana, ...masikini ningeenda hata kumsikiliza utani wake then nicheke nisepe! Imeniuma sana
[emoji1787][emoji1787] ila humu jf kuna vichwa vibovu sana.Dah masikini ungejua ungempa hata mbususu.
Son wakati anakuzaa acha dharau mkuuuMaisha haya !
RIP son
Mi nimemuona pale Ben tower ijumaa yaan juzi[emoji26]
Kama kawaida yake na wabebez akaniita nikamsonya akacheka sana, ...masikini ningeenda hata kumsikiliza utani wake then nicheke nisepe! Imeniuma sana