TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

Ole wenu mseme nahamisha mahudhui ya uzi au nachochea ugomvi atapigwa mtu kerebu akaangukie karibu na kaburi kuuliza sio ujinga, eti kanatoka kamtu kameshiba magimbi ya msibani kanareport eti huyu anachochea ugomvi ana lugha chafu anatutoa kwenye uzi afu Moderator nae jamaa asivyo na akili za kutulia anaenda tu km likondoo fulani anaminya ban bila hata kufuatilia mjadala ulikuaje hapo kabla, kuuliza sio ujinga sisi sio makondoo humu Jf lazima tuhoji lazima tuulizane maswali lazima tupate majibu ya maswali tunayoyauliza sisi sio wajinga wajinga wa kupelekwa pelekwa ovyo tu km makondoo we're educated people in here tunatambua nini tunafanya, sasa mtu akiona inamuuma ameshikwa pabaya mtu anapohoji nakuuliza swali/maswali ili apate majibu hata km ni nje ya uzi si anapita kushoto tu kwan lazima tufanane?

R.I.P Lemutuz
 
Hii video sjui kweli
 

Attachments

  • 0553f0f9871b7a284c7af46b660c91c2.mp4
    2.8 MB
Afe mdomo wazi ama kafumba kikubwa kavuta, ila mange atavuta mdomo wazi kweli maana so Kwa shit na umbea alienae kmmke
mwenzio anatoa umbea wewe unamuombea kufa nikuulize yupi ana dhambi kubwa, asee binadamu kwa kujipa kazi za Mungu za kujaji watu
 
Wewe ni kubwa jingaa. Period [emoji38][emoji38]
 
Hamchelewi kureport alafu maujinga mnaanzisha wenyewe afu mods sijui shule sifure wanachojua ni kubonyeza ban shenzi type,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…