Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Isije kuwa kuwekewa betri aina ya pacemaker for prevention of chronic atrial fibrillationNilisikia upasuaji wa Moyo.
huwezi jua mzee, hukuona au umesahau zile "bring back" zilivyowasaidia wale jamaa kipindi Cha wasiojulikana.Yaani watu wengine, unaumwa unapata wapi hata muda wa kuomba upigwe picha, ili iweje? Ukipost mtandaoni zile comments za pole ndiyo zinaponesha? Ujinga mtupu.......
Yaani watu wengine, unaumwa unapata wapi hata muda wa kuomba upigwe picha, ili iweje? Ukipost mtandaoni zile comments za pole ndiyo zinaponesha? Ujinga mtupu.......
Shida anayopata hapo ungekuta yuko na mwanae wa kiume anamuangalia,sasa yeye alikimbia familia nw stress zitampeleka putaAmepungua, maskini pole sana Le Mutuz
Get well soon.
Daaah mama kubwa mstiri bilionea wa kigogoGhafla nimekumbuka alivyojitetea kuwa kibamia kilipungua Kwa kuwa alioga Maji ya baridi. Kweli kuta za vyumba zinaona mengi.
[emoji16][emoji16]alirudi na kaptula za sendozTujaribu kumheshimu huyu jamaa. Pamoja na kwamba ana mambo yake ya kitotooo lakini anakaribia miaka 60 hapo alipo. pia ameishi marekani akafurushwa na mwanamke akarudi na suruali na shati tu. tumheshimu basi.
W. J. Malecela Huyu ni mwanaJF mwenzetu muda kidogo hajaonekana huku yuko matatizoni kwa kuumwa tumkumbuke kwenye maombi.
Kwa mujibu wa maelezo yake huko Instragram hapo pichani akiwa ametoka ICU na kesho atarudishwa wodini kwa upasuaji.(hajasema ni upasuaji wa nini.
Pole sana Mungu akutangulie.
View attachment 1726599
Huyu alisomea ubaharia,Sema huku bongo meli zimeanza kutengenezwa kipindi kazeeka,hawezi tena shusha nanga.Alikaa New York maisha yake akashindwa hata kujiendeleza kielimu. Kweli simba anaweza kuzaa mbwa! Waangalie akina Dr Mwinyi na January Makamba waliotumia majina na nafasi za baba zao vizuri.
Duh ana degree tatu uyo mkuuAlikaa New York maisha yake akashindwa hata kujiendeleza kielimu. Kweli simba anaweza kuzaa mbwa! Waangalie akina Dr Mwinyi na January Makamba waliotumia majina na nafasi za baba zao vizuri.
Acha kumpa sifa asizo nazo. Shahada za nini na amefanya nini zaidi ya kuchemka kila kona ya maisha? Unaweza kumlinganisha na watu kama January Makamba, Nchimbi hata kama PhD yake ni magumashi au Dr Mwinyi hata Matayo Matayo tunayeambiwa ni mtoto wa Msuya?Duh ana degree tatu uyo mkuu
Ngoja amalize matibabu yake uko India akiwa anaishi katika 5 star hotel alafu atakuja kukujibu...you know le akili kubwazAcha kumpa sifa asizo nazo. Shahada za nini na amefanya nini zaidi ya kuchemka kila kona ya maisha? Unaweza kumlinganisha na watu kama January Makamba, Nchimbi hata kama PhD yake ni magumashi au Dr Mwinyi hata Matayo Matayo tunayeambiwa ni mtoto wa Msuya?
Mi mwenyewe nimeshangaa kanzu ya kunitosha mie eti imekuwa kubwa kwa le mutuzKweli anaumwa cheki alivyokonda. Ugua pole le mutuz