Wimbi la Vijana kutumia Pombe kwa njia ya haja kubwa, haiwezi chochea Ushoga?

Wimbi la Vijana kutumia Pombe kwa njia ya haja kubwa, haiwezi chochea Ushoga?

grand millenial Inawezekana vipi sehemu inayotumika kutengeneza mavi bado ikawa na uwezo wa kutunza kilevi cha kwenye pombe?

Kwanini hiyo pombe isichanganyike na hayo mavi nayo iwe mavi, au kuna kitu gani huko kwenye colon kinachotumika kutenganisha mavi na hiyo pombe inayoingizwa humo { kitaje kwa jina}?

Au vinginevyo tuambie, umeshawahi kutumia hiyo njia ya kuweka kilevi kwenye colon ukalewa, kama ambavyo mtu analewa akiweka pombe tumboni?

Kama hujawahi kutumia, maelezo yako hayana uthibitisho usioacha shaka. Labda kwenye ushoga nakubaliana nawe.
Yuko Sawa kabisa..
Katika sehemu ambayo Inafanya Absoption kubwa ya Fluid Huwa ni kwenye colon na hata Maji unayokunywa Asilimia Kubwa Huwa abso... Kwenye colon
 
Salaam Wakuu.

Kumeibuka wi la Vijana kutumia pombe kwa njia ya haja kubwa ili walewe kwa haraka.

Pamoja na madhara yote, naona hii inaweza chochea kuingiliana kinyume na maumbile.

Nini kifanyike ili kuepusha kizazi hiki?

Je, kuna Sheria inakataza utumiaji huu wa Pombe?

Hii haiwezi kuongeza ajali barabarani? Trafiki watapimaje kiwango cha ulevi?

View attachment 3020491
Inaitwaje?
 
Aiseeee, ngoja niisearch google
Mkuu

Kweli kuwa uyaone

Ndo najua leo
Screenshot_20240619-101024.png
 
Salaam Wakuu.

Kumeibuka wi la Vijana kutumia pombe kwa njia ya haja kubwa ili walewe kwa haraka.

Pamoja na madhara yote, naona hii inaweza chochea kuingiliana kinyume na maumbile.

Nini kifanyike ili kuepusha kizazi hiki?

Je, kuna Sheria inakataza utumiaji huu wa Pombe?

Hii haiwezi kuongeza ajali barabarani? Trafiki watapimaje kiwango cha ulevi?

View attachment 3020491
Khee hawa vijana mbona wamekuwa wa hovyo
 
Yuko Sawa kabisa..
Katika sehemu ambayo Inafanya Absoption kubwa ya Fluid Huwa ni kwenye colon na hata Maji unayokunywa Asilimia Kubwa Huwa abso... Kwenye colon
Maelezo yake hayajitoshelezi, msaidie.

Kulingana na vile nilivyomsoma, amedai kuna sehemu ndani ya colon inayohusika kuchuja mara ya mwisho kipi kiwe taka, na kipi kitumike tena na mwili.

Ndio nawataka nyie madaktari mtuambie, hiyo sehemu ndani ya colon inayotumika kuchuja inaitwaje? hiyo colon haina parts?
 
Salaam Wakuu.

Kumeibuka wi la Vijana kutumia pombe kwa njia ya haja kubwa ili walewe kwa haraka.

Pamoja na madhara yote, naona hii inaweza chochea kuingiliana kinyume na maumbile.

Nini kifanyike ili kuepusha kizazi hiki?

Je, kuna Sheria inakataza utumiaji huu wa Pombe?

Hii haiwezi kuongeza ajali barabarani? Trafiki watapimaje kiwango cha ulevi?

View attachment 3020491
Aisee, binadamu wanatumia kila njia kutafuta matatizo!
 
Salaam Wakuu.

Kumeibuka wi la Vijana kutumia pombe kwa njia ya haja kubwa ili walewe kwa haraka.

Pamoja na madhara yote, naona hii inaweza chochea kuingiliana kinyume na maumbile.

Nini kifanyike ili kuepusha kizazi hiki?

Je, kuna Sheria inakataza utumiaji huu wa Pombe?

Hii haiwezi kuongeza ajali barabarani? Trafiki watapimaje kiwango cha ulevi?

View attachment 3020491
Aisee 😯
Sikuwahi kusikia hili.
 
Back
Top Bottom