Wimbi la Vijana kutumia Pombe kwa njia ya haja kubwa, haiwezi chochea Ushoga?

Kwamba wana vifaa maalum kama vile vya hospital vinavgotumika kufanya Anal retrograde injections?
Huo ni ulevi ghali na wa kisasa zaidi.
 
What about the spillover effects to the nearby(Closest) organs e.g the reproductive system?
 
Yameanzia kwa mazayuni na wazungu, sasa afrika inakuja kwa kasi sana. Ni kama nguo fupi wameiga kwa wazungu, kwa sasa afrika naweza kusema ni mwalimu ama second master wa wazungu kwa kuvaa vimini n.k, ushoga nao unakuja kwa speed ya 5G 😄
 
JF ukihoji na watu wanakuhoji. Mtu kauliza kuliko na sisi kuuliza afadhali kukaa kimya ili kama wapo wanaofahamu ndipo watoe ufafanuzi na sisi ambao hatujui tujue
Wote wako sahihi kabisa. Kinachafanyika ni kukufanya wewe uliyeuliza swali uwe umefikiri hadi kweli umeshindwa hupati majibu i.e. umekwama unaomba usaidiwe. Lakini ukiuliza swali la kejeli au swali linalokufanya uonekane ww sio GT i.e unataka spoon feeding, basi nawewe unaulizwa swali litakalokufanya ufikirie zaidi.
 
Sipati picha hio pombe ikaekewa na ugoro ,,,huu ni ushoga na ujinga uliopitiliza
 
Mhhhh aisee Kweli dunia duara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…