Wimbi la wanawake wanatumia vipodozi vikali nchini, hali itakuwa mbaya miaka mitano ijayo

Hao wauzaji wanaonyesha mfano na wao wanaamua wajikoboe, huwa nawasikitikia sana nikiwaangalia wanavyoharibu ngozi zao natural nzuri, unakuta mwengine mweupe lakini anatumia hayo madude ili ang'ae zaidi
 
Kumbe dotinata bado yupo duniani!
 
Rahisi mbona we chukua Caustic Soda weka kwenye lotion yako, ichanganye vizuri lazima utakuwa mweupe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…