balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Ile kitu ya kilo kumi bado ipo?Limeibuka wimbi kubwa la wanawake wanatumia mikorogo mikali wakijidai ni vipodozi vya kisasa
Yaani hao wauzaji wameiva kama mapapai.yaani wanawake sie
Mungu akituweka miaka mitano tutajionea maajabu
Wamuulize luiza mbutu na dotinata
Ngoja nijipikie mafuta yangu ya nazi nipake usoni
Na ya mkia WA kondoo napaka makalio na sehemu za Siri
Ya ng'ombe miguuni na kichwani .siwezi kuingia uzeeni kizembe na ngozi iliyoungua kwa kweli
Ahaaa aisee wewe WA kitamboIle kitu ya kilo kumi bado ipo?
Ulinishauri kutumia Portia M,nadumu nayo mpaka Leo.(Iko poa) Kuna muuza udongo mmoja juzi kapita ofisini kwetu anatuambia kama ni below 40 usitumie serum wala sunscreen.Alikua Sahihi?Miss Natafuta mimi nadeal na vipodozi na ni caramel
Changamoto kubwa wateja hawanielew kwa sababu mimi siyo mweupe na sijataka kujibadilisha.
Wanaume wanao wanapendelea zaidi wanawake weupe(hivyo wadada wanapambana kuwaplease)
Nawakoroge mikorogo mingine navaa gloves(sababu ya hydroquinone)
Hawajali sana , siku hizi tunawapa mafuta ya maji pamoja na sunscreen kupunguza makali.
Japokua yajayo yanafurahisha.
AnakoseaUlinishauri kutumia Portia M,nadumu nayo mpaka Leo.(Iko poa) Kuna muuza udongo mmoja juzi kapita ofisini kwetu anatuambia kama ni below 40 usitumie serum wala sunscreen.Alikua Sahihi?
Asante na karibu tena.Hongera sana kwa kuitunza na kuilinda afya ya ngozi yako.
Nimewahi kununua shower gel kwako, una rangi nzuri ya asili.
💐💐💐💐💐💐💐💐
Asante sana.Asante na karibu tena.
Hujafika bado kwenye macho. Watu wanaweka mpaka lens za blue ili mradi tu.Sio kweli, hata wanawake weusi wanazingatiwa.
Tatizo ni umagharibi au sijui tuseme umashariki wa huko kwa waarabu, maana hata nywele mnataka kama za kiarabu.
kitu asilia kina raha yakeHupendi anaeglow?
Ahaaa Acha tuKujichubua ndo mnaita kuglow 😂
Yaani hivi lens ya jicho inaongeza nini?Hujafika bado kwenye macho. Watu wanaweka mpaka lens za blue ili mradi tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kawacheki insta huko wanawaka kama jua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Miaka ya sikuizi kila kiungo cha mwili kinaungwa kama pilau...ha ha ha
Wee ni muongoo!ile mi make-up dah huwa inanikata kabisa stim unakuta dem pisi haswa ila kajipaka mazaga mdomoni,kope,nyusi,makucha bandia hadi nahisi atanitoboa nayo
gademit...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kitu hawajui wanawake wanaojichubua ni kwamba hata ladha ya asili ya huko chini huwa inapotea,papuchi inakuwa kavu utelezi unautafuta kwa frequency, ukifanikiwa kupiga kimoja cha pili unamuona kama msukule kavamia chumbani kwako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mengine ni kama mazombi ya kwenye wimbo wa thriller ya Michael Jackson
Kosa linaanzia kwenye kujiweka kidangaji badala ya kujiweka ki-wife materialChanzo cha yote ni jinsia ya kiume. Wasichana weupe, wenye mishepu ndio wanakodolewa macho. Inaleta insecurity kwa wasio weupe wanakosa madanga