Wimbo bora wa kwaya wa siku zote (Best of all times)

Nyimbo zangu pendwa za zamani na za sasa
1. Simba wa yuda - unanikumbushaga siku ya send off yangu miaka hiyo, ukumbi ulirindima
2. Sauti ikatoka - kkkt mabibo
3. Albamu nzima ya mwenye mamlaka - Ulyankulu
4. Ee Mungu Nitakushukuru - Rose Muhando
5. Huyo ni Yesu - Ambassador Kigali
6. Nenda na uzima wako - AIC chang'ombe
7. Ombi langu - Magena youth
8. Haiwezekani na Nyanyua bendera - Kkkt Keko vijana
9. Mkono wa Bwana - Zabron singers
10. Alfajiri ya Kupendeza - Nairobi University
11. Mke Mwema - FPTC Kasulu vijana choir
 
Nyimbo zangu pendwa za zamani na za sasa

11. Mke Mwema - FPTC Kasulu vijana choir
Huu wimbo hua unanikumbusha mama yangu aise, alikua akitwanga mpunga anakua anauimba sana. Nikimmiss hua nauimba huu.

Nyimbo zangu pendwa ambazo sio za kikatoliki
  • Ninamjua aliyeniweka duniani
  • Katika njia ya injili
  • Safari ya mbinguni (kkkt kimara)
  • Upendo SDA
 
Kwaya ya vijana ya Mt theresia kama sikosei Unga limited vibao karibu vyote vilikuwa vikali
Amani

Tunakushukuru Mungu

My peace prevail on earth

Mtafute Bwana

Ee Mungu twaomba amani

Na vingine nimevisahau mwenye albam Zima akinipatia video zake akabarikiwa sana
 
Wewe Ni Mungu - Mt. Kizito Makuburi
Ni Kwa Neema Na Rehema - Edson Mwasabwite
Nimeonja Pendo Lako - Kapotive Star Singers
Mbali Kule Nasikia - John Maja
Mkono Wake Bwana - Zabron Singers
Upendo Wa Yesu - Upendo Nkone
Kijito Cha Utakaso - Beatrice Muhone

@Nchi Jirani
Nasema Asante - Sarah K.
Tufanye Kazi - Ambassadors of Christ
Moyo Wangu - Patrick Kubuya
Kaa Nami - Angela Chibalonza

Wakati wa Noeli huu wimbo unasuuza moyo mno
 
Faustini munishi(sio kwaya ni solo Artis lakini naupenda)- malebo
Munishi-wanamuabudu Nani
Kkkt vijana keko- amefanyaje
Tag Forest worship team- Yesu wa thamani.
Hizi tbt sijui majina ya kwaya lakini najua nyimbo
Lulu.
Kunyatanyata.
Sauli mbona waniudhi.
Kuna ile wanaimba (samsoni niambie asili ya nguvu zakooo) wanaongea kidogo😊 album nzima nyimbo zote nzuri.
Hakuna Mungu Kama wewe bwana.
Kekundu kekunduuuu.
Ambassadors of christ- kwetu pazuri,nifundishe kupenda,kazi tufanye(album Yao yote ile ilikuwa😍)
Mimina.
Nimeonja pendo lako.
Nikiziangalia mbingu.
Aisee kwaya nyingi Sana nimesikiliza na ninazipenda zingine mpaka nikiisikia ndio naikumbuka
Uzi mzuri
 
Gloria mlilo....matokeo
Ambwene..... Nataman
Sifael....naja mbele zako
Gwamaka.....shangilia
shusho.... nikumbuke
John lissu....hakuna gumu kwako
Atosha kisava....nakuamini mungu
Goodluck.....nipe
solomon mkubwa...mungu mwenye nguvu
karungu parish......neno la mungu ni neno

Naomba kwaya za karungu parish yaani nikitafuta mtandaon sizipati kabisa
 
Gloria mlilo....matokeo
Ambwene..... Nataman
Sifael....naja mbele zako
Gwamaka.....shangilia
shusho.... nikumbuke
John lissu....hakuna gumu kwako
Atosha kisava....nakuamini mungu
Goodluck.....nipe
solomon mkubwa...mungu mwenye nguvu
karungu parish......neno la mungu ni neno

Naomba kwaya za karungu parish yaani nikitafuta mtandaon sizipati kabisa
 
3 na 4, Umenikumbusha mbali.
Asante sana, Mkuu!
 
Namba mbili.
NAMBA NNE.
Namba tisa.
 
Reactions: ram
TATU BORA ZANGU
1) nyimbo nne-nyarugusu
2)inua macho-light bearers
3)nakutuma wimbo -zabrin singers
 
Kwa hili nitakuita baba samahani Kama ni mwanamke

Aisee kuna wimbo hapa huo namba 8 nimeutafuta kwa miaka mingi bila mafanikio sikujua hata nianzie wap

Nikawa naishia kujiimbia kimoyo moyo

Kwa kifupi ni wimbo wa kitambo kidogo asante sana ngoja niutafute then nienjoy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…