Wimbo gani wa King Ali Kiba unaoukubali zaidi?

Msukule wa Madale ulikamatwa kariakoo huku.

Vipi leo hamkupewa Pumba na bibi yake tiffah?
mzaramo kweli CCM inatulisha pumba na imetufanya misukule.
Biashara haziendi, vyuoni hamna Mikopo, kazini hamna Amani yaani kutumbuliwa, vitisho etc.
Mimi wewe na Yule wote ni misukule tunayoteswa na CCM
 
Mkuu hiyo kikomo si ndio ile Ali ana-rap huku dully akipiga chorus?

Ni nyimbo za mwanzo mwanzo kabisa za Ali.Nadhani ule wimbo uliitwa "Kuteseka nimechoka"
Ok ni huo huo..kuteseka mimi nimechoka..kikomo nimefika...pesa zangu umeshapata..na mwanzo we ndo ulonifata...
 
Punguza nyegeshobo, we taja wimbo unaoupenda usepe
We nawe thread sio yako povu linakutoka. Kwani we hujaona hapo nilipotaja nyimbo.

Kiba ana sura nzuri Sana .
Kuna kosa gani kusema hivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…