Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
Yani ukristo ni ajabu sana wao wenyewe wanakataana dini haina misingi vikundi kibao kila mtu anasema lake hivi hiyo ni dini kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba Jina la Wimbo umeimbwa na Msanii J Martin's nakumbuka baadhi ya lyrics kuna line anasemaHuo wimbo sijausikiliza ila ni wimbo mzuri na nmeupenda sana
Nenda Shazam afu Anza kuimba huo wimbo mana lyrics unazijuaNaomba Jina la Wimbo umeimbwa na Msanii J Martin's nakumbuka baadhi ya lyrics kuna line anasema
Who do you dey, my Girl she gon cheat on me (cheating on me)
Jina la Wimbo tafadhari kwa Hisani ya Watu wa JF
Wewe Wimbo hauujui hujausikiliza Ila umeupendaNenda Shazam afu Anza kuimba huo wimbo mana lyrics unazijua
Si ndiooooo 😂Wewe Wimbo hauujui hujausikiliza Ila umeupenda
Hakuna Mungu anaitwa Yesu
Ye mwenyewe anamuomba Mungu
Yesu ni mwana wa Mungu kama wewe ulivyomwana wa Mungu na kuitwa mwana wa Mungu ni sababu ya uumbaji Mungu alipuliza uhai kwa kitu alicholiunda kwa udongo
Ndio nikakupa H/W unitafutie Jina la huo Wimbo wa J Martin'sSi ndiooooo 😂
Kuiacha dunia hata wewe utaiacha na wala mimi sitakuwa wa kwanza wala wa mwisho kuiacha dunia.Kwangu Mungu ni dhahiri
Ombi lako limefika na atajidhihirisha kwako Kabla hujaiacha Dunia
Ukumhuke kuleta mrejesho hapa
Hata huo siujui japokuwa naupendaNdio nikakupa H/W unitafutie Jina la huo Wimbo wa J Martin's
Isaya 41Si ndiooooo 😂
Kuiacha dunia hata wewe utaiacha na wala mimi sitakuwa wa kwanza wala wa mwisho kuiacha dunia.
Kama kwako Mungu huyo ni dhahiri, thibitisha udhahiri wake kwamba yupo.
Kama wewe huwezi kuthibitisha, Mwambie huyo Mungu wako ambaye ni dhahiri aje hapa ajidhihirishe mwenyewe uwepo wake.
Wapi hapo YESU kasema yeye ni Mungu au umeamua tu kujitoa mabetri?Yohana 8
52 Basi Wayahudi wakamwambia, Sasa tumeng'amua ya kuwa una pepo. Ibrahimu amekufa, na manabii wamekufa; nawe wasema, Mtu akilishika neno langu, hataonja mauti milele.
53 Wewe u mkuu kuliko baba yetu Ibrahimu, ambaye amekufa? Nao manabii wamekufa. Wajifanya u nani?
56 Ibrahimu, baba yenu, alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu; naye akaiona, akafurahi.
57 Basi Wayahudi wakamwambia, Wewe hujapata bado miaka hamsini, nawe umemwona Ibrahimu?
58 Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.
Kuhusu Mungu kuwa na nafsi 3 huo ni upumbavu na uongo ambao haupo hata kwenye biblia ni upumbavu kamili wa mtu asiye na chembe ya akili.Kuna nabii ametokea anadai wimbo huu mdada kauimba kwa kutumiwa na shetani bila yeye kujua, labda kwasababu amekuja wakati wa trend shetani anaagiza manabii na mitume wa uongo hao wauza mafuta waufute uungu wa Yesu. what I think about it;
1. Mungu ni mmoja tu, ila amejidhihirisha kwa nafsi tatu.
2. Yesu ni nafsi ya Mungu, hivyo ni Mungu yule yule.
3. Mzee wa ngome ya temboni ambaye namjua ni ajenti, mzee wa kibangu a.k.a Konyagi bapa, manabii mbalimbali wa uongo bongo wameibuka kwa pamoja wanadai Hakuna utatu mtakatifu na kwamba Yesu alikuwa mwanadamu wa kawaida tu, sio Mungu. wakati Biblia inasema hata kabla ya Agano JIpya (kitabu cha Isaya) kwamba Yesu ni Mungu mwenye Nguvu.
4. Wimbo huu ukiusikiliza vizuri, unaweza kuamini kwamba ni mojawapo ya shughuli za adui kuingiza ajenda zake kidogokidogo hadi aufute kabisa Uungu wa Yesu.
5. Kwa msiojua, ukijifanya wewe unamtumikia Mungu hakikisha upo vizuri kiroho, haufungui milango kama uzinzi, ugomvi, na uchafu mwingine. ukifanay hivyo hata kama wewe unajifanya kumtumikia Mungu shetani anaweza kuingia kwako akajifanya malaika wa nuru, akakupa mahubiri ya uongo, akakupa maono ya uongo, akakupa kunena kwa lugha ya uongo, akakupa nyimbo za uongo akakufanay ajenti wake bila wewe kujua kwasababu umeshafungua milango na yupo ndani yako. anaweza hata kufanya miujiza ya ajabu kabisa na watu wakakuona kama ni mtumishi au mwimbaji, kumbe shetani ameingia ndani ya kanisa anapigana kutokea ndani.
Hii ndio imewafanay wahubiri wengi wa Mungu ambao walikuwa wazuri kubadilika, walitumiwa na Mungu, wakateleza na kufungua milango, shetani akaingia akawabadilisha kabisa namna ya utendaji. hao wanaouza mafuta, maji, na keki usifikiri hawajawahi kuokoka. Majority yao wametokea kanisa la TAG, EAGT, FPCT na mengine ya kiroho. walikuwa walokole, ila walifungua mlango shetani akaingia, akabadilisha theologia yao kabisa na wanamtumikia shetani na shetani anawapa pesa.
Nawe acha ubishi, mbona jamaa kakujibu kwa maandiko kuthibitisha hilo. Kwa mfanoWapi hapo YESU kasema yeye ni Mungu au umeamua tu kujitoa mabetri?
Rudi upya ukajifunze upya Biblia. Biblia yote imejaa ufunuo wa utatu mtakatifu. Huwezi kupingana na huo ukweli.Kuhusu Mungu kuwa na nafsi 3 huo ni upumbavu na uongo ambao haupo hata kwenye biblia ni upumbavu kamili wa mtu asiye na chembe ya akili.