Wimbo wa Isabela Kombo Mungu ni mmoja wazua gumzo

Wimbo wa Isabela Kombo Mungu ni mmoja wazua gumzo

Kuhusu Mungu kuwa na nafsi 3 huo ni upumbavu na uongo ambao haupo hata kwenye biblia ni upumbavu kamili wa mtu asiye na chembe ya akili.
ndugu, wewe ndio mpumbavu tena mpumbavu wa mwisho kabisa. na haujawahi kusoma hata Biblia, hivyo huna hata haki kujadili hapa.
 
Kuna nabii ametokea anadai wimbo huu mdada kauimba kwa kutumiwa na shetani bila yeye kujua, labda kwasababu amekuja wakati wa trend shetani anaagiza manabii na mitume wa uongo hao wauza mafuta waufute uungu wa Yesu. what I think about it;

1. Mungu ni mmoja tu, ila amejidhihirisha kwa nafsi tatu.
2. Yesu ni nafsi ya Mungu, hivyo ni Mungu yule yule.
3. Mzee wa ngome ya temboni ambaye namjua ni ajenti, mzee wa kibangu a.k.a Konyagi bapa, manabii mbalimbali wa uongo bongo wameibuka kwa pamoja wanadai Hakuna utatu mtakatifu na kwamba Yesu alikuwa mwanadamu wa kawaida tu, sio Mungu. wakati Biblia inasema hata kabla ya Agano JIpya (kitabu cha Isaya) kwamba Yesu ni Mungu mwenye Nguvu.

4. Wimbo huu ukiusikiliza vizuri, unaweza kuamini kwamba ni mojawapo ya shughuli za adui kuingiza ajenda zake kidogokidogo hadi aufute kabisa Uungu wa Yesu.

5. Kwa msiojua, ukijifanya wewe unamtumikia Mungu hakikisha upo vizuri kiroho, haufungui milango kama uzinzi, ugomvi, na uchafu mwingine. ukifanay hivyo hata kama wewe unajifanya kumtumikia Mungu shetani anaweza kuingia kwako akajifanya malaika wa nuru, akakupa mahubiri ya uongo, akakupa maono ya uongo, akakupa kunena kwa lugha ya uongo, akakupa nyimbo za uongo akakufanay ajenti wake bila wewe kujua kwasababu umeshafungua milango na yupo ndani yako. anaweza hata kufanya miujiza ya ajabu kabisa na watu wakakuona kama ni mtumishi au mwimbaji, kumbe shetani ameingia ndani ya kanisa anapigana kutokea ndani.

Hii ndio imewafanay wahubiri wengi wa Mungu ambao walikuwa wazuri kubadilika, walitumiwa na Mungu, wakateleza na kufungua milango, shetani akaingia akawabadilisha kabisa namna ya utendaji. hao wanaouza mafuta, maji, na keki usifikiri hawajawahi kuokoka. Majority yao wametokea kanisa la TAG, EAGT, FPCT na mengine ya kiroho. walikuwa walokole, ila walifungua mlango shetani akaingia, akabadilisha theologia yao kabisa na wanamtumikia shetani na shetani anawapa pesa.
Mungu hayupo.

Hizo zote ni siasa za watu wanaopigana na hali zao tu.
 
Soon nilijua tu huyu dada hatachukua muda mrefu atakwaa kashfa tu kwenye uimbaji wake. Sijui kuna nini kwa waimbaji hawa wazuri kisura na kiumbo nini kinawakumba wanapovuma. Kaibuka kwa kasi sana kiasi cha kuwafunika aliowakuta kwenye uimbaji. Swali la kujiuliza, huyu dada ameolewa? Tumeanza kuwa na mashaka na waimbaji wa aina hii hukengeuka wanapopata mafanikio kwenye huduma zao za uimbaji
 
Sijakwambia uniambie huyo Mungu ni wa demokrasia.

Nataka uthibitishe uwepo wa huyo Mungu au kama huwezi kuthibitisha, Mwambie huyo Mungu aje hapa mwenyewe ajidhihirishe yupo.
Kubishana na muabudu ibilisi ni kupoteza muda,nenda na njia yako utapaona utakapofika.
 
Wapi hapo YESU kasema yeye ni Mungu au umeamua tu kujitoa mabetri?
YOHANA 14:7 Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona. 8Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha. 9Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?
 
Kama hawa waimbaji binafsi ni rahisi kutumiwa na shetani itabidi tuendelee kusikiliza kwaya tu. Kwaya wako strictlly na mambo ya kiroho na wapo macho na hila za shetani. Mwanakwaya mmoja akikengeuka anatengwa hadi ushirika, asipotubu na kuacha uovu wake anafukuzwa kabisa akafanye uovu wake nje kwa uhuru. Hawa waimbaji binafsi wamekuwa wakikwaa kashfa mbalimbali ikiwemo za ndoa na kufanya collabo na waimbaji wa kidunia huku wimbo maudhui yake yakiwa hayaeleweki hadhira yake ni akina nani
 
Kama hawa waimbaji binafsi ni rahisi kutumiwa na shetani itabidi tuendelee kusikiliza kwaya tu. Kwaya wako strictlly na mambo ya kiroho na wapo macho na hila za shetani. Mwanakwaya mmoja akikengeuka anatengwa hadi ushirika, asipotubu na kuacha uovu wake anafukuzwa kabisa akafanye uovu wake nje kwa uhuru. Hawa waimbaji binafsi wamekuwa wakikwaa kashfa mbalimbali ikiwemo za ndoa na kufanya collabo na waimbaji wa kidunia huku wimbo maudhui yake yakiwa hayaeleweki hadhira yake ni akina nani
 
Kama hawa waimbaji binafsi ni rahisi kutumiwa na shetani itabidi tuendelee kusikiliza kwaya tu. Kwaya wako strictlly na mambo ya kiroho na wapo macho na hila za shetani. Mwanakwaya mmoja akikengeuka anatengwa hadi ushirika, asipotubu na kuacha uovu wake anafukuzwa kabisa akafanye uovu wake nje kwa uhuru. Hawa waimbaji binafsi wamekuwa wakikwaa kashfa mbalimbali ikiwemo za ndoa na kufanya collabo na waimbaji wa kidunia huku wimbo maudhui yake yakiwa hayaeleweki hadhira yake ni akina nani
 
Kama hawa waimbaji binafsi ni rahisi kutumiwa na shetani itabidi tuendelee kusikiliza kwaya tu. Kwaya wako strictlly na mambo ya kiroho na wapo macho na hila za shetani. Mwanakwaya mmoja akikengeuka anatengwa hadi ushirika, asipotubu na kuacha uovu wake anafukuzwa kabisa akafanye uovu wake nje kwa uhuru. Hawa waimbaji binafsi wamekuwa wakikwaa kashfa mbalimbali ikiwemo za ndoa na kufanya collabo na waimbaji wa kidunia huku wimbo maudhui yake yakiwa hayaeleweki hadhira yake ni akina nani
 
Siku hizi Mzee wa upako kabakiza jina tu na wafuasi. Yeye kila siku ni kuikanja Biblia na jiana la Yesu. Unadai hakuna utatu mtakatifu halafu bado unalazimisha kuwa Mkristo. Uzuri Hawa matapeli huwa hawadumu wanapiga na kusahaulika.
Unamlaumu tu ila ameiokoa nafsi yake kwa kutoruhusu kukufuru
 
Kuna nabii ametokea anadai wimbo huu mdada kauimba kwa kutumiwa na shetani bila yeye kujua, labda kwasababu amekuja wakati wa trend shetani anaagiza manabii na mitume wa uongo hao wauza mafuta waufute uungu wa Yesu. what I think about it;

1. Mungu ni mmoja tu, ila amejidhihirisha kwa nafsi tatu.
2. Yesu ni nafsi ya Mungu, hivyo ni Mungu yule yule.
3. Mzee wa ngome ya temboni ambaye namjua ni ajenti, mzee wa kibangu a.k.a Konyagi bapa, manabii mbalimbali wa uongo bongo wameibuka kwa pamoja wanadai Hakuna utatu mtakatifu na kwamba Yesu alikuwa mwanadamu wa kawaida tu, sio Mungu. wakati Biblia inasema hata kabla ya Agano JIpya (kitabu cha Isaya) kwamba Yesu ni Mungu mwenye Nguvu.

4. Wimbo huu ukiusikiliza vizuri, unaweza kuamini kwamba ni mojawapo ya shughuli za adui kuingiza ajenda zake kidogokidogo hadi aufute kabisa Uungu wa Yesu.

5. Kwa msiojua, ukijifanya wewe unamtumikia Mungu hakikisha upo vizuri kiroho, haufungui milango kama uzinzi, ugomvi, na uchafu mwingine. ukifanay hivyo hata kama wewe unajifanya kumtumikia Mungu shetani anaweza kuingia kwako akajifanya malaika wa nuru, akakupa mahubiri ya uongo, akakupa maono ya uongo, akakupa kunena kwa lugha ya uongo, akakupa nyimbo za uongo akakufanay ajenti wake bila wewe kujua kwasababu umeshafungua milango na yupo ndani yako. anaweza hata kufanya miujiza ya ajabu kabisa na watu wakakuona kama ni mtumishi au mwimbaji, kumbe shetani ameingia ndani ya kanisa anapigana kutokea ndani.

Hii ndio imewafanay wahubiri wengi wa Mungu ambao walikuwa wazuri kubadilika, walitumiwa na Mungu, wakateleza na kufungua milango, shetani akaingia akawabadilisha kabisa namna ya utendaji. hao wanaouza mafuta, maji, na keki usifikiri hawajawahi kuokoka. Majority yao wametokea kanisa la TAG, EAGT, FPCT na mengine ya kiroho. walikuwa walokole, ila walifungua mlango shetani akaingia, akabadilisha theologia yao kabisa na wanamtumikia shetani na shetani anawapa pesa.
Nimekusoma lakini bado sijakuelewa hususani hiyo namba 4.

Shida iko kwa huo wimbo (kupotosha) au shida iko kwa wahubiri (wapotoshaji) kuupinga huo wimbo?
 
Unamlaumu tu ila ameiokoa nafsi yake kwa kutoruhusu kukufuru
Mzee wa upako ni mlevi na tapeli wa siku nyingi sana, kule kuhubiri ni kwa ajili ya kuvuna pesa kupitia Injili.
Hata siku moja usijenge sana tumaini la kutaka kumuelewa au kumkubali, mchukulie kama saa mbovu ya mshale.

Wewe ulishaona wapi mhubiri wa kilokole anakunywa pombe au kuhalalisha pombe?
 
Mungu hayupo.

Hizo zote ni siasa za watu wanaopigana na hali zao tu.
Wewe endelea kuamini hivyo hivyo, lakini ipo siku moja utakuja hapa hapa JF kukiri Mungu yupo.
Haihitaji kubishana kuwa Mungu yupo au hayupo (maana haibadilishi chochote) maana Udhihirisho wa Mungu upo kiimani, na imani ni suala binafsi sana, na bahati nzuri wanadamu wote tumeumbwa kuamini, tutake au tusitake.
 
Atheists 24:5

Mpumbavu amesema moyoni, Kuna Mungu maana hawezi kufikiria sawasawa na hawezi kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu, Anaunda dhana za kufikirika tu.
Mpunbavu unetunga hiu baada ya mama D kukupiga za uso na kukuita mpumbavu japo hujui kama u mpumbavu ila u mpumbavu na leo nakujulisha Ya kuwa wewe ni Mpumbavu ambaye unasema moyoni mwako hakuna Mungu.
 
Back
Top Bottom