Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
- Thread starter
-
- #41
ndugu, wewe ndio mpumbavu tena mpumbavu wa mwisho kabisa. na haujawahi kusoma hata Biblia, hivyo huna hata haki kujadili hapa.Kuhusu Mungu kuwa na nafsi 3 huo ni upumbavu na uongo ambao haupo hata kwenye biblia ni upumbavu kamili wa mtu asiye na chembe ya akili.
si uamin kile unachokisminWapi hapo YESU kasema yeye ni Mungu au umeamua tu kujitoa mabetri?
Mungu hayupo.Kuna nabii ametokea anadai wimbo huu mdada kauimba kwa kutumiwa na shetani bila yeye kujua, labda kwasababu amekuja wakati wa trend shetani anaagiza manabii na mitume wa uongo hao wauza mafuta waufute uungu wa Yesu. what I think about it;
1. Mungu ni mmoja tu, ila amejidhihirisha kwa nafsi tatu.
2. Yesu ni nafsi ya Mungu, hivyo ni Mungu yule yule.
3. Mzee wa ngome ya temboni ambaye namjua ni ajenti, mzee wa kibangu a.k.a Konyagi bapa, manabii mbalimbali wa uongo bongo wameibuka kwa pamoja wanadai Hakuna utatu mtakatifu na kwamba Yesu alikuwa mwanadamu wa kawaida tu, sio Mungu. wakati Biblia inasema hata kabla ya Agano JIpya (kitabu cha Isaya) kwamba Yesu ni Mungu mwenye Nguvu.
4. Wimbo huu ukiusikiliza vizuri, unaweza kuamini kwamba ni mojawapo ya shughuli za adui kuingiza ajenda zake kidogokidogo hadi aufute kabisa Uungu wa Yesu.
5. Kwa msiojua, ukijifanya wewe unamtumikia Mungu hakikisha upo vizuri kiroho, haufungui milango kama uzinzi, ugomvi, na uchafu mwingine. ukifanay hivyo hata kama wewe unajifanya kumtumikia Mungu shetani anaweza kuingia kwako akajifanya malaika wa nuru, akakupa mahubiri ya uongo, akakupa maono ya uongo, akakupa kunena kwa lugha ya uongo, akakupa nyimbo za uongo akakufanay ajenti wake bila wewe kujua kwasababu umeshafungua milango na yupo ndani yako. anaweza hata kufanya miujiza ya ajabu kabisa na watu wakakuona kama ni mtumishi au mwimbaji, kumbe shetani ameingia ndani ya kanisa anapigana kutokea ndani.
Hii ndio imewafanay wahubiri wengi wa Mungu ambao walikuwa wazuri kubadilika, walitumiwa na Mungu, wakateleza na kufungua milango, shetani akaingia akawabadilisha kabisa namna ya utendaji. hao wanaouza mafuta, maji, na keki usifikiri hawajawahi kuokoka. Majority yao wametokea kanisa la TAG, EAGT, FPCT na mengine ya kiroho. walikuwa walokole, ila walifungua mlango shetani akaingia, akabadilisha theologia yao kabisa na wanamtumikia shetani na shetani anawapa pesa.
Hii nimeipendaAtheists 24:5
Mpumbavu amesema moyoni, Kuna Mungu maana hawezi kufikiria sawasawa na hawezi kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu, Anaunda dhana za kufikirika tu.
Kubishana na muabudu ibilisi ni kupoteza muda,nenda na njia yako utapaona utakapofika.Sijakwambia uniambie huyo Mungu ni wa demokrasia.
Nataka uthibitishe uwepo wa huyo Mungu au kama huwezi kuthibitisha, Mwambie huyo Mungu aje hapa mwenyewe ajidhihirishe yupo.
YOHANA 14:7 Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona. 8Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha. 9Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?Wapi hapo YESU kasema yeye ni Mungu au umeamua tu kujitoa mabetri?
Naomba andiko linaloelezea Utatu mtakatifu
Na Yesu akaongeza hapohapo;
Unamlaumu tu ila ameiokoa nafsi yake kwa kutoruhusu kukufuruSiku hizi Mzee wa upako kabakiza jina tu na wafuasi. Yeye kila siku ni kuikanja Biblia na jiana la Yesu. Unadai hakuna utatu mtakatifu halafu bado unalazimisha kuwa Mkristo. Uzuri Hawa matapeli huwa hawadumu wanapiga na kusahaulika.
Nimekusoma lakini bado sijakuelewa hususani hiyo namba 4.Kuna nabii ametokea anadai wimbo huu mdada kauimba kwa kutumiwa na shetani bila yeye kujua, labda kwasababu amekuja wakati wa trend shetani anaagiza manabii na mitume wa uongo hao wauza mafuta waufute uungu wa Yesu. what I think about it;
1. Mungu ni mmoja tu, ila amejidhihirisha kwa nafsi tatu.
2. Yesu ni nafsi ya Mungu, hivyo ni Mungu yule yule.
3. Mzee wa ngome ya temboni ambaye namjua ni ajenti, mzee wa kibangu a.k.a Konyagi bapa, manabii mbalimbali wa uongo bongo wameibuka kwa pamoja wanadai Hakuna utatu mtakatifu na kwamba Yesu alikuwa mwanadamu wa kawaida tu, sio Mungu. wakati Biblia inasema hata kabla ya Agano JIpya (kitabu cha Isaya) kwamba Yesu ni Mungu mwenye Nguvu.
4. Wimbo huu ukiusikiliza vizuri, unaweza kuamini kwamba ni mojawapo ya shughuli za adui kuingiza ajenda zake kidogokidogo hadi aufute kabisa Uungu wa Yesu.
5. Kwa msiojua, ukijifanya wewe unamtumikia Mungu hakikisha upo vizuri kiroho, haufungui milango kama uzinzi, ugomvi, na uchafu mwingine. ukifanay hivyo hata kama wewe unajifanya kumtumikia Mungu shetani anaweza kuingia kwako akajifanya malaika wa nuru, akakupa mahubiri ya uongo, akakupa maono ya uongo, akakupa kunena kwa lugha ya uongo, akakupa nyimbo za uongo akakufanay ajenti wake bila wewe kujua kwasababu umeshafungua milango na yupo ndani yako. anaweza hata kufanya miujiza ya ajabu kabisa na watu wakakuona kama ni mtumishi au mwimbaji, kumbe shetani ameingia ndani ya kanisa anapigana kutokea ndani.
Hii ndio imewafanay wahubiri wengi wa Mungu ambao walikuwa wazuri kubadilika, walitumiwa na Mungu, wakateleza na kufungua milango, shetani akaingia akawabadilisha kabisa namna ya utendaji. hao wanaouza mafuta, maji, na keki usifikiri hawajawahi kuokoka. Majority yao wametokea kanisa la TAG, EAGT, FPCT na mengine ya kiroho. walikuwa walokole, ila walifungua mlango shetani akaingia, akabadilisha theologia yao kabisa na wanamtumikia shetani na shetani anawapa pesa.
Mzee wa upako ni mlevi na tapeli wa siku nyingi sana, kule kuhubiri ni kwa ajili ya kuvuna pesa kupitia Injili.Unamlaumu tu ila ameiokoa nafsi yake kwa kutoruhusu kukufuru
Wewe endelea kuamini hivyo hivyo, lakini ipo siku moja utakuja hapa hapa JF kukiri Mungu yupo.Mungu hayupo.
Hizo zote ni siasa za watu wanaopigana na hali zao tu.
Habari yako mama DMungu ni mmoja tuu
Yesu ni Mungu
Mpunbavu unetunga hiu baada ya mama D kukupiga za uso na kukuita mpumbavu japo hujui kama u mpumbavu ila u mpumbavu na leo nakujulisha Ya kuwa wewe ni Mpumbavu ambaye unasema moyoni mwako hakuna Mungu.Atheists 24:5
Mpumbavu amesema moyoni, Kuna Mungu maana hawezi kufikiria sawasawa na hawezi kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu, Anaunda dhana za kufikirika tu.
Ni sahihi sijui kwanini Wakristo wengi wakiwemo viongozi wetu hawatambui hilo.Mungu ni mmoja tuu
Yesu ni Mungu