Within 3 month kilimo kimenipa milioni 40, vijana kilimo kinalipa

Within 3 month kilimo kimenipa milioni 40, vijana kilimo kinalipa

Tajiri wa matajiri

Senior Member
Joined
Apr 17, 2024
Posts
166
Reaction score
649
It is another blessed Tuesday and thank Allah for this wonderful moment OK OK OK twenzetu kwenye Mada yetu Wakuu hahahahaha I'm back again

Wakuu ama kweli kilimo hakimtupi Mkulima aisee hawa wahenga bwana hawakukosea hata kidogo mazee within 3 month kilimo kimenipa milioni 40 na nililima hekari kadhaa za ufuta na nililima mbegu ya lindi white.

Kilimo kinalipa hasa kama unapenda kulima usiingie kwenye kilimo kwa kusikia kwa watu utakufa kwa pressure maana kilimo kina maudhi mengi, kama unalima kwa kusikia utaacha aisee.

Nyie vijana acheni kutembea na bahasha za kilimo huo ni uzoba aisee njoeni maporini huku niwafundishe kilimo hivi hamjisikii aibu? Mnavyonuka jasho kutwa kutembea kusambaza CV? Huo umburula huo aisee

Note:
Kama hauna wito na kilimo kaa pembeni kilimo ni passion na wito.

OK OK OK Nipo hapa samaki samaki Morogoro nikienjoy kama wewe ni jobless! Karibu kuna ofa na wana tunakichafua
 
It is another blessed Tuesday and thank Allah for this wonderful moment OK OK OK twenzetu kwenye Mada yetu Wakuu hahahahaha I'm back again

Wakuu ana kweli kilimo hakimtupi Mkulima aisee hawa wahenga bwana hawakukosea hata kidogo mazee within 3 month kilimo kimenipa milioni 40 na nililima hekari kadhaa Za ufuta na nililima mbegu ya lindi white

Kilimo kinalipa hasa kama unapenda kulima usiingie kwenye kilimo kwa kusikia kwa watu utakufa kwa pressure maana kilimo kina maudhi mengi Kama unalima kwa kusikia utaacha aisee

Nyie vijana acheni kutembea na bahasha za kilimo huo ni uzoba aisee njoeni maporini huku niwafundishe kilimo hivi hamjisikii aibu? Mnavyonuka jasho kutwa kutembea kusambaza CV? Huo umburula huo aisee

Note:
Kama hauna wito na kilimo kaa pembeni kilimo ni passion na wito

OK OK OK Nipo hapa samaki samaki Morogoro nikienjoy Kama weww ni jobless! Karibu kuna ofa na wana tunakichafua
Wewe ni mwanaume dhaifu. Unadharau juhudi za watu katika kazi zao, ungekuwa na maarifa ungeandika njia zote ulizopita na nini cha kujifunza.
 
It is another blessed Tuesday and thank Allah for this wonderful moment OK OK OK twenzetu kwenye Mada yetu Wakuu hahahahaha I'm back again

Wakuu ana kweli kilimo hakimtupi Mkulima aisee hawa wahenga bwana hawakukosea hata kidogo mazee within 3 month kilimo kimenipa milioni 40 na nililima hekari kadhaa Za ufuta na nililima mbegu ya lindi white

Kilimo kinalipa hasa kama unapenda kulima usiingie kwenye kilimo kwa kusikia kwa watu utakufa kwa pressure maana kilimo kina maudhi mengi Kama unalima kwa kusikia utaacha aisee

Nyie vijana acheni kutembea na bahasha za kilimo huo ni uzoba aisee njoeni maporini huku niwafundishe kilimo hivi hamjisikii aibu? Mnavyonuka jasho kutwa kutembea kusambaza CV? Huo umburula huo aisee

Note:
Kama hauna wito na kilimo kaa pembeni kilimo ni passion na wito

OK OK OK Nipo hapa samaki samaki Morogoro nikienjoy Kama weww ni jobless! Karibu kuna ofa na wana tunakichafua
Mlima ufuta Wa mchongo
 
Leta mchanganuo labda na sisi majobless unaweza kutupa mwanga. Sii tu kuja kujisifia kwenye makaratasi hata kilimo cha matikiti kinaweza kuingiza zaidi ya hiyo.

Unaweza kusema umeingiza milion 40 kumbe umewekeza milioni 38 faida milion 2
 
Million 40 ulilim aufita ekari ngapi na ulivuna ekari ngapi? Hapa lazima nikukamate
Akikujibu nitagi maan hata me nimelima ila sio heka kadhaa kama alivyolima mtoa mada.

IMG-20240423-WA0000.jpg
 
Back
Top Bottom