Within 3 month kilimo kimenipa milioni 40, vijana kilimo kinalipa

Within 3 month kilimo kimenipa milioni 40, vijana kilimo kinalipa

Mkuu huko kuna asalama?
Upo maan tuna kambi ya jeshi hapa shida ipo kwa jamaa zetu (jeshi) japo si sana si unajua zile zao mara leo hakun kwenda shamba basi wote mnabaki kijijin au leo hatutaki kitambulisho cha NIDA tunatak barua ya mwenyekiti basi kama huna au umesahau watakuchangamsha mwili wanakuacha, al muhimu kuwa na vitambulisho vyote wanavyotak muda wote viwe mfuko wa shati, ila usalama uhakika.
 
Upo maan tuna kambi ya jeshi hapa shida ipo kwa jamaa zetu (jeshi) japo si sana si unajua zile zao mara leo hakun kwenda shamba basi wote mnabaki kijijin au leo hatutaki kitambulisho cha NIDA tunatak barua ya mwenyekiti basi kama huna au umesahau watakuchangamsha mwili wanakuacha, al muhimu kuwa na vitambulisho vyote wanavyotak muda wote viwe mfuko wa shati, ila usalama uhakika.
Kama hivyo basi ni vizuri
 
kwa tz kilimo kilimo kinacholipa ni bang pekee yake nakumbuka mwaka juz njombe nilikunja m30 kwa heka mbili na hy ni hasala ila sasa kama huna bahat na maisha inakula kwako
 
It is another blessed Tuesday and thank Allah for this wonderful moment OK OK OK twenzetu kwenye Mada yetu Wakuu hahahahaha I'm back again

Wakuu ama kweli kilimo hakimtupi Mkulima aisee hawa wahenga bwana hawakukosea hata kidogo mazee within 3 month kilimo kimenipa milioni 40 na nililima hekari kadhaa za ufuta na nililima mbegu ya lindi white.

Kilimo kinalipa hasa kama unapenda kulima usiingie kwenye kilimo kwa kusikia kwa watu utakufa kwa pressure maana kilimo kina maudhi mengi, kama unalima kwa kusikia utaacha aisee.

Nyie vijana acheni kutembea na bahasha za kilimo huo ni uzoba aisee njoeni maporini huku niwafundishe kilimo hivi hamjisikii aibu? Mnavyonuka jasho kutwa kutembea kusambaza CV? Huo umburula huo aisee

Note:
Kama hauna wito na kilimo kaa pembeni kilimo ni passion na wito.

OK OK OK Nipo hapa samaki samaki Morogoro nikienjoy kama wewe ni jobless! Karibu kuna ofa na wana tunakichafua
Hongera!
 
Ufuta ni hasara tu.
Jamani hebu jaribuni kilimo cha dengu na njugu mawe pesa ipo.
Mfano njugu mawe kilo moja haishuki 4000 sokoni
 
Back
Top Bottom