Abou Shaymaa
JF-Expert Member
- Oct 19, 2022
- 1,479
- 3,229
Mtwara wilaya ya masasi kijiji cha ujamaa mgwegule huko mpakani na msumbijiUmelima mkoa gani ufuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtwara wilaya ya masasi kijiji cha ujamaa mgwegule huko mpakani na msumbijiUmelima mkoa gani ufuta
Mkuu huko kuna asalama?Mtwara wilaya ya masasi kijiji cha ujamaa mgwegule huko mpakani na msumbiji
Upo maan tuna kambi ya jeshi hapa shida ipo kwa jamaa zetu (jeshi) japo si sana si unajua zile zao mara leo hakun kwenda shamba basi wote mnabaki kijijin au leo hatutaki kitambulisho cha NIDA tunatak barua ya mwenyekiti basi kama huna au umesahau watakuchangamsha mwili wanakuacha, al muhimu kuwa na vitambulisho vyote wanavyotak muda wote viwe mfuko wa shati, ila usalama uhakika.Mkuu huko kuna asalama?
Kama hivyo basi ni vizuriUpo maan tuna kambi ya jeshi hapa shida ipo kwa jamaa zetu (jeshi) japo si sana si unajua zile zao mara leo hakun kwenda shamba basi wote mnabaki kijijin au leo hatutaki kitambulisho cha NIDA tunatak barua ya mwenyekiti basi kama huna au umesahau watakuchangamsha mwili wanakuacha, al muhimu kuwa na vitambulisho vyote wanavyotak muda wote viwe mfuko wa shati, ila usalama uhakika.
Maskini akipata matraayoo hulia mbwata🤣Waungwana naomba mnikumbushe Ile methali ya wahenga sijui maskini akifanya nini hulia bwataa
Naweza kukubaliana nae.Wabongo kwa janjajanja hawapoi
sio ajabu ukakuta mletamada ni jangili mwandamizi hlf anakuja na mada za ukulima
HahahaNaweza kukubaliana nae.
😂😂😂Hekari kadhaa nimepata milioni 40.
Kazi ni kipimo cha UTU
Unasemaa!?!Hakuna milioni 40 hapa.
Hongera!It is another blessed Tuesday and thank Allah for this wonderful moment OK OK OK twenzetu kwenye Mada yetu Wakuu hahahahaha I'm back again
Wakuu ama kweli kilimo hakimtupi Mkulima aisee hawa wahenga bwana hawakukosea hata kidogo mazee within 3 month kilimo kimenipa milioni 40 na nililima hekari kadhaa za ufuta na nililima mbegu ya lindi white.
Kilimo kinalipa hasa kama unapenda kulima usiingie kwenye kilimo kwa kusikia kwa watu utakufa kwa pressure maana kilimo kina maudhi mengi, kama unalima kwa kusikia utaacha aisee.
Nyie vijana acheni kutembea na bahasha za kilimo huo ni uzoba aisee njoeni maporini huku niwafundishe kilimo hivi hamjisikii aibu? Mnavyonuka jasho kutwa kutembea kusambaza CV? Huo umburula huo aisee
Note:
Kama hauna wito na kilimo kaa pembeni kilimo ni passion na wito.
OK OK OK Nipo hapa samaki samaki Morogoro nikienjoy kama wewe ni jobless! Karibu kuna ofa na wana tunakichafua
Hongera!
Unasemaa!?!Hakuna milioni 40 hapa.
Kuna maeneo wananchi hawaruhusu upande njuguUfuta ni hasara tu.
Jamani hebu jaribuni kilimo cha dengu na njugu mawe pesa ipo.
Mfano njugu mawe kilo moja haishuki 4000 sokoni