Within 3 month kilimo kimenipa milioni 40, vijana kilimo kinalipa

Within 3 month kilimo kimenipa milioni 40, vijana kilimo kinalipa

It is another blessed Tuesday and thank Allah for this wonderful moment OK OK OK twenzetu kwenye Mada yetu Wakuu hahahahaha I'm back again

Wakuu ama kweli kilimo hakimtupi Mkulima aisee hawa wahenga bwana hawakukosea hata kidogo mazee within 3 month kilimo kimenipa milioni 40 na nililima hekari kadhaa za ufuta na nililima mbegu ya lindi white.

Kilimo kinalipa hasa kama unapenda kulima usiingie kwenye kilimo kwa kusikia kwa watu utakufa kwa pressure maana kilimo kina maudhi mengi, kama unalima kwa kusikia utaacha aisee.

Nyie vijana acheni kutembea na bahasha za kilimo huo ni uzoba aisee njoeni maporini huku niwafundishe kilimo hivi hamjisikii aibu? Mnavyonuka jasho kutwa kutembea kusambaza CV? Huo umburula huo aisee

Note:
Kama hauna wito na kilimo kaa pembeni kilimo ni passion na wito.

OK OK OK Nipo hapa samaki samaki Morogoro nikienjoy kama wewe ni jobless! Karibu kuna ofa na wana tunakichafua
Dha! Nilikosa ofa ya nyama choma. Lini tena mkuu utakuwa hapo nyumbani lounge unipe ofa ya kuku choma
 
It is another blessed Tuesday and thank Allah for this wonderful moment OK OK OK twenzetu kwenye Mada yetu Wakuu hahahahaha I'm back again

Wakuu ama kweli kilimo hakimtupi Mkulima aisee hawa wahenga bwana hawakukosea hata kidogo mazee within 3 month kilimo kimenipa milioni 40 na nililima hekari kadhaa za ufuta na nililima mbegu ya lindi white.

Kilimo kinalipa hasa kama unapenda kulima usiingie kwenye kilimo kwa kusikia kwa watu utakufa kwa pressure maana kilimo kina maudhi mengi, kama unalima kwa kusikia utaacha aisee.

Nyie vijana acheni kutembea na bahasha za kilimo huo ni uzoba aisee njoeni maporini huku niwafundishe kilimo hivi hamjisikii aibu? Mnavyonuka jasho kutwa kutembea kusambaza CV? Huo umburula huo aisee

Note:
Kama hauna wito na kilimo kaa pembeni kilimo ni passion na wito.

OK OK OK Nipo hapa samaki samaki Morogoro nikienjoy kama wewe ni jobless! Karibu kuna ofa na wana tunakichafua
Mkulima serious hawezi kuandika hivi.
 
It is another blessed Tuesday and thank Allah for this wonderful moment OK OK OK twenzetu kwenye Mada yetu Wakuu hahahahaha I'm back again

Wakuu ama kweli kilimo hakimtupi Mkulima aisee hawa wahenga bwana hawakukosea hata kidogo mazee within 3 month kilimo kimenipa milioni 40 na nililima hekari kadhaa za ufuta na nililima mbegu ya lindi white.

Kilimo kinalipa hasa kama unapenda kulima usiingie kwenye kilimo kwa kusikia kwa watu utakufa kwa pressure maana kilimo kina maudhi mengi, kama unalima kwa kusikia utaacha aisee.

Nyie vijana acheni kutembea na bahasha za kilimo huo ni uzoba aisee njoeni maporini huku niwafundishe kilimo hivi hamjisikii aibu? Mnavyonuka jasho kutwa kutembea kusambaza CV? Huo umburula huo aisee

Note:
Kama hauna wito na kilimo kaa pembeni kilimo ni passion na wito.

OK OK OK Nipo hapa samaki samaki Morogoro nikienjoy kama wewe ni jobless! Karibu kuna ofa na wana tunakichafua
mbona unakimbilia kwenye kupata milioni 40? Hizo heka kadhaa ni nini?

sema ulilima heka ngapi?
ulitumia sh. ngapi kulimia?

Palizi sh. ngapi kama ipo

kama mbolea inahusika sema ilitumika gharama kiasi gani?

Umeuza kwa sh. ngapi mpaka umepata hiyo milion 40? na je hiyo Miln 40 ni baada ya gharama zote? usiwaingize wenzio chaka
 
mbona unakimbilia kwenye kupata milioni 40? Hizo heka kadhaa ni nini?

sema ulilima heka ngapi?
ulitumia sh. ngapi kulimia?

Palizi sh. ngapi kama ipo

kama mbolea inahusika sema ilitumika gharama kiasi gani?

Umeuza kwa sh. ngapi mpaka umepata hiyo milion 40? na je hiyo Miln 40 ni baada ya gharama zote? usiwaingize wenzio chaka
Kuna jamaa aliletaga uzi wake mzuri tu na mchanganuo jinsi alivyolima mahindi na faida aliyoipata, aliweka kwa mtindo wa episode nimeisahau jina la uzi
 
Kuna jamaa aliletaga uzi wake mzuri tu na mchanganuo jinsi alivyolima mahindi na faida aliyoipata, aliweka kwa mtindo wa episode nimeisahau jina la uzi
Hiyo ndio inayotakiwa ili mtu akitaka akitaka kuytimba ayatimbe mwenyewe
 
mbona unakimbilia kwenye kupata milioni 40? Hizo heka kadhaa ni nini?

sema ulilima heka ngapi?
ulitumia sh. ngapi kulimia?

Palizi sh. ngapi kama ipo

kama mbolea inahusika sema ilitumika gharama kiasi gani?

Umeuza kwa sh. ngapi mpaka umepata hiyo milion 40? na je hiyo Miln 40 ni baada ya gharama zote? usiwaingize wenzio chaka
Hahahaha binafsi nililima heka 30 sehemu inaitwa naungo ipo karibu na nanjilinji, nilikodi kila heka kwa elfu 40, kila heka nilifyeka kwa 30000 na kila heka nilitumia lita 2 za kiua magugu,wasukuma walinitibulia kwa ng'ombe kila heka 45000 na kunipandia ilikuwa 15000 kwa heka,palizi ilikuwa 50000 kwa heka na kiufupi nilitumia wastani wa laki 2 kwakila heka mpaka navuna nikaja kupata mavuno ya tani 5 na nusu
 
Back
Top Bottom