Within 3 month kilimo kimenipa milioni 40, vijana kilimo kinalipa

Within 3 month kilimo kimenipa milioni 40, vijana kilimo kinalipa

Hahahaha binafsi nililima heka 30 sehemu inaitwa naungo ipo karibu na nanjilinji, nilikodi kila heka kwa elfu 40, kila heka nilifyeka kwa 30000 na kila heka nilitumia lita 2 za kiua magugu,wasukuma walinitibulia kwa ng'ombe kila heka 45000 na kunipandia ilikuwa 15000 kwa heka,palizi ilikuwa 50000 kwa heka na kiufupi nilitumia wastani wa laki 2 kwakila heka mpaka navuna nikaja kupata mavuno ya tani 5 na nusu
😂 Bora wewe ulipata mwaka 2022 nililima heka 60 kilichonikuta sina hamu na hilo zao maana pesa niliyoipata hata milioni haikufika
 
Nyie vijana acheni kutembea na bahasha za kilimo huo ni uzoba aisee njoeni maporini huku niwafundishe kilimo hivi hamjisikii aibu? Mnavyonuka jasho kutwa kutembea kusambaza CV? Huo umburula huo aisee
Tuko pamoja KILIMO NI FURSA ila ngoja soko liko vizuri kwa zao ulilo lima ?
 
It is another blessed Tuesday and thank Allah for this wonderful moment OK OK OK twenzetu kwenye Mada yetu Wakuu hahahahaha I'm back again

Wakuu ama kweli kilimo hakimtupi Mkulima aisee hawa wahenga bwana hawakukosea hata kidogo mazee within 3 month kilimo kimenipa milioni 40 na nililima hekari kadhaa za ufuta na nililima mbegu ya lindi white.

Kilimo kinalipa hasa kama unapenda kulima usiingie kwenye kilimo kwa kusikia kwa watu utakufa kwa pressure maana kilimo kina maudhi mengi, kama unalima kwa kusikia utaacha aisee.

Nyie vijana acheni kutembea na bahasha za kilimo huo ni uzoba aisee njoeni maporini huku niwafundishe kilimo hivi hamjisikii aibu? Mnavyonuka jasho kutwa kutembea kusambaza CV? Huo umburula huo aisee

Note:
Kama hauna wito na kilimo kaa pembeni kilimo ni passion na wito.

OK OK OK Nipo hapa samaki samaki Morogoro nikienjoy kama wewe ni jobless! Karibu kuna ofa na wana tunakichafua
Kaka kafanye kazi ya kupromote matangazo... Kilimo hakikufai tuachie sisi wakulima
 
Haujaandika kama mkulima asee, mwandiko wako haujaenda shamba

Mwalimu nimekupa 0%
 
Ulilimia wapi? Kuhusu kilimo ukiwasikiliza watu wa humu hautakaa ulime kabisa,hebu nikupe mbinu ambayo mimi naitumia ni kwamba silimi shamba zaidi ya heka 20 sehemu moja
Mkuu naomba mawasiliano yako na mm natka nilime mkuu
 
It is another blessed Tuesday and thank Allah for this wonderful moment OK OK OK twenzetu kwenye Mada yetu Wakuu hahahahaha I'm back again

Wakuu ama kweli kilimo hakimtupi Mkulima aisee hawa wahenga bwana hawakukosea hata kidogo mazee within 3 month kilimo kimenipa milioni 40 na nililima hekari kadhaa za ufuta na nililima mbegu ya lindi white.

Kilimo kinalipa hasa kama unapenda kulima usiingie kwenye kilimo kwa kusikia kwa watu utakufa kwa pressure maana kilimo kina maudhi mengi, kama unalima kwa kusikia utaacha aisee.

Nyie vijana acheni kutembea na bahasha za kilimo huo ni uzoba aisee njoeni maporini huku niwafundishe kilimo hivi hamjisikii aibu? Mnavyonuka jasho kutwa kutembea kusambaza CV? Huo umburula huo aisee

Note:
Kama hauna wito na kilimo kaa pembeni kilimo ni passion na wito.

OK OK OK Nipo hapa samaki samaki Morogoro nikienjoy kama wewe ni jobless! Karibu kuna ofa na wana tunakichafua
Bahati jf awaluhusu matusi , Hilo tu pia ukitoa mazao ya bustani baadhi akuna zao la kuvuna miezi mitatu neti akuna
 
Back
Top Bottom