Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Kwa bei ya Sasa ili apate hiyo 40M lazima awe amevuna kg 11700+ na hapo si chini ya heka 40 kuzipata hizoUfuta hadi upate faida ya milioni 40,!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa bei ya Sasa ili apate hiyo 40M lazima awe amevuna kg 11700+ na hapo si chini ya heka 40 kuzipata hizoUfuta hadi upate faida ya milioni 40,!!!
😂 Bora wewe ulipata mwaka 2022 nililima heka 60 kilichonikuta sina hamu na hilo zao maana pesa niliyoipata hata milioni haikufikaHahahaha binafsi nililima heka 30 sehemu inaitwa naungo ipo karibu na nanjilinji, nilikodi kila heka kwa elfu 40, kila heka nilifyeka kwa 30000 na kila heka nilitumia lita 2 za kiua magugu,wasukuma walinitibulia kwa ng'ombe kila heka 45000 na kunipandia ilikuwa 15000 kwa heka,palizi ilikuwa 50000 kwa heka na kiufupi nilitumia wastani wa laki 2 kwakila heka mpaka navuna nikaja kupata mavuno ya tani 5 na nusu
Ulilimia wapi? Kuhusu kilimo ukiwasikiliza watu wa humu hautakaa ulime kabisa,hebu nikupe mbinu ambayo mimi naitumia ni kwamba silimi shamba zaidi ya heka 20 sehemu moja😂 Bora wewe ulipata mwaka 2022 nililima heka 60 kilichonikuta sina hamu na hilo zao maana pesa niliyoipata hata milioni haikufika
Tuko pamoja KILIMO NI FURSA ila ngoja soko liko vizuri kwa zao ulilo lima ?Nyie vijana acheni kutembea na bahasha za kilimo huo ni uzoba aisee njoeni maporini huku niwafundishe kilimo hivi hamjisikii aibu? Mnavyonuka jasho kutwa kutembea kusambaza CV? Huo umburula huo aisee
😀😀Kwanza karibu sana JF. Maana mwezi wa nne toka ujiunge bado una ugeni mwingi. Mimi natoa ukaribisho tuu napita.
Kaka kafanye kazi ya kupromote matangazo... Kilimo hakikufai tuachie sisi wakulimaIt is another blessed Tuesday and thank Allah for this wonderful moment OK OK OK twenzetu kwenye Mada yetu Wakuu hahahahaha I'm back again
Wakuu ama kweli kilimo hakimtupi Mkulima aisee hawa wahenga bwana hawakukosea hata kidogo mazee within 3 month kilimo kimenipa milioni 40 na nililima hekari kadhaa za ufuta na nililima mbegu ya lindi white.
Kilimo kinalipa hasa kama unapenda kulima usiingie kwenye kilimo kwa kusikia kwa watu utakufa kwa pressure maana kilimo kina maudhi mengi, kama unalima kwa kusikia utaacha aisee.
Nyie vijana acheni kutembea na bahasha za kilimo huo ni uzoba aisee njoeni maporini huku niwafundishe kilimo hivi hamjisikii aibu? Mnavyonuka jasho kutwa kutembea kusambaza CV? Huo umburula huo aisee
Note:
Kama hauna wito na kilimo kaa pembeni kilimo ni passion na wito.
OK OK OK Nipo hapa samaki samaki Morogoro nikienjoy kama wewe ni jobless! Karibu kuna ofa na wana tunakichafua
"It is another blessed Tuesday and thank Allah for this wonderful moment OK OK OK twenzetu kwenye Mada yetu Wakuu hahahahaha I'm back again"Kaka kafanye kazi ya kupromote matangazo... Kilimo hakikufai tuachie sisi wakulima
Mkuu naomba mawasiliano yako na mm natka nilime mkuuUlilimia wapi? Kuhusu kilimo ukiwasikiliza watu wa humu hautakaa ulime kabisa,hebu nikupe mbinu ambayo mimi naitumia ni kwamba silimi shamba zaidi ya heka 20 sehemu moja
Nimekucheki pm mzeeMkuu naomba mawasiliano yako na mm natka nilime mkuu
Bahati jf awaluhusu matusi , Hilo tu pia ukitoa mazao ya bustani baadhi akuna zao la kuvuna miezi mitatu neti akunaIt is another blessed Tuesday and thank Allah for this wonderful moment OK OK OK twenzetu kwenye Mada yetu Wakuu hahahahaha I'm back again
Wakuu ama kweli kilimo hakimtupi Mkulima aisee hawa wahenga bwana hawakukosea hata kidogo mazee within 3 month kilimo kimenipa milioni 40 na nililima hekari kadhaa za ufuta na nililima mbegu ya lindi white.
Kilimo kinalipa hasa kama unapenda kulima usiingie kwenye kilimo kwa kusikia kwa watu utakufa kwa pressure maana kilimo kina maudhi mengi, kama unalima kwa kusikia utaacha aisee.
Nyie vijana acheni kutembea na bahasha za kilimo huo ni uzoba aisee njoeni maporini huku niwafundishe kilimo hivi hamjisikii aibu? Mnavyonuka jasho kutwa kutembea kusambaza CV? Huo umburula huo aisee
Note:
Kama hauna wito na kilimo kaa pembeni kilimo ni passion na wito.
OK OK OK Nipo hapa samaki samaki Morogoro nikienjoy kama wewe ni jobless! Karibu kuna ofa na wana tunakichafua
Akikujibu nitagi maan hata me nimelima ila sio heka kadhaa kama alivyolima mtoa mada.
Umelima mkoa gani ufuta