MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
we mzee unazeeka vibaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
....akipata matako hulia mbwata.....maskini
Khaaa yaani apo si ajabu ume maliza kudeki sebuleni kwa shemej yako na bukta lako la Chelsea uku una kuna kuna tu hizo Poumbu ukaona uje uwananage vijana kwa ndoto zako za alinachaIt is another blessed Tuesday and thank Allah for this wonderful moment OK OK OK twenzetu kwenye Mada yetu Wakuu hahahahaha I'm back again
Wakuu ana kweli kilimo hakimtupi Mkulima aisee hawa wahenga bwana hawakukosea hata kidogo mazee within 3 month kilimo kimenipa milioni 40 na nililima hekari kadhaa Za ufuta na nililima mbegu ya lindi white
Kilimo kinalipa hasa kama unapenda kulima usiingie kwenye kilimo kwa kusikia kwa watu utakufa kwa pressure maana kilimo kina maudhi mengi Kama unalima kwa kusikia utaacha aisee
Nyie vijana acheni kutembea na bahasha za kilimo huo ni uzoba aisee njoeni maporini huku niwafundishe kilimo hivi hamjisikii aibu? Mnavyonuka jasho kutwa kutembea kusambaza CV? Huo umburula huo aisee
Note:
Kama hauna wito na kilimo kaa pembeni kilimo ni passion na wito
OK OK OK Nipo hapa samaki samaki Morogoro nikienjoy Kama weww ni jobless! Karibu kuna ofa na wana tunakichafua
Mimi ni mwenyeji humu kuliko hata wewe
Hongera sana mkuu!It is another blessed Tuesday and thank Allah for this wonderful moment OK OK OK twenzetu kwenye Mada yetu Wakuu hahahahaha I'm back again
Wakuu ana kweli kilimo hakimtupi Mkulima aisee hawa wahenga bwana hawakukosea hata kidogo mazee within 3 month kilimo kimenipa milioni 40 na nililima hekari kadhaa Za ufuta na nililima mbegu ya lindi white
Kilimo kinalipa hasa kama unapenda kulima usiingie kwenye kilimo kwa kusikia kwa watu utakufa kwa pressure maana kilimo kina maudhi mengi Kama unalima kwa kusikia utaacha aisee
Nyie vijana acheni kutembea na bahasha za kilimo huo ni uzoba aisee njoeni maporini huku niwafundishe kilimo hivi hamjisikii aibu? Mnavyonuka jasho kutwa kutembea kusambaza CV? Huo umburula huo aisee
Note:
Kama hauna wito na kilimo kaa pembeni kilimo ni passion na wito
OK OK OK Nipo hapa samaki samaki Morogoro nikienjoy Kama weww ni jobless! Karibu kuna ofa na wana tunakichafua
Wote wanao comment hapa ni expert members na wengine wako verified, haya wewe mwenzetu "member" tupange sasa.Mimi ni mwenyeji humu kuliko hata wewe
It is another blessed Tuesday and thank Allah for this wonderful moment OK OK OK twenzetu kwenye Mada yetu Wakuu hahahahaha I'm back again
Wakuu ama kweli kilimo hakimtupi Mkulima aisee hawa wahenga bwana hawakukosea hata kidogo mazee within 3 month kilimo kimenipa milioni 40 na nililima hekari kadhaa za ufuta na nililima mbegu ya lindi white.
Kilimo kinalipa hasa kama unapenda kulima usiingie kwenye kilimo kwa kusikia kwa watu utakufa kwa pressure maana kilimo kina maudhi mengi, kama unalima kwa kusikia utaacha aisee.
Nyie vijana acheni kutembea na bahasha za kilimo huo ni uzoba aisee njoeni maporini huku niwafundishe kilimo hivi hamjisikii aibu? Mnavyonuka jasho kutwa kutembea kusambaza CV? Huo umburula huo aisee
Note:
Kama hauna wito na kilimo kaa pembeni kilimo ni passion na wito.
OK OK OK Nipo hapa samaki samaki Morogoro nikienjoy kama wewe ni jobless! Karibu kuna ofa na wana tunakichafua
Hakuna binadamu anayetoa code za mafanikio online,huo ni uongo ,hapo unatangaza soko tu la mbegu na kukodisha mashamba.It is another blessed Tuesday and thank Allah for this wonderful moment OK OK OK twenzetu kwenye Mada yetu Wakuu hahahahaha I'm back again
Wakuu ama kweli kilimo hakimtupi Mkulima aisee hawa wahenga bwana hawakukosea hata kidogo mazee within 3 month kilimo kimenipa milioni 40 na nililima hekari kadhaa za ufuta na nililima mbegu ya lindi white.
Kilimo kinalipa hasa kama unapenda kulima usiingie kwenye kilimo kwa kusikia kwa watu utakufa kwa pressure maana kilimo kina maudhi mengi, kama unalima kwa kusikia utaacha aisee.
Nyie vijana acheni kutembea na bahasha za kilimo huo ni uzoba aisee njoeni maporini huku niwafundishe kilimo hivi hamjisikii aibu? Mnavyonuka jasho kutwa kutembea kusambaza CV? Huo umburula huo aisee
Note:
Kama hauna wito na kilimo kaa pembeni kilimo ni passion na wito.
OK OK OK Nipo hapa samaki samaki Morogoro nikienjoy kama wewe ni jobless! Karibu kuna ofa na wana tunakichafua
Hakuna mkulima hapa ndugu yangu.Million 40 ulilima ufuta ekari ngapi na ulivuna ekari ngapi? Hapa lazima nikukamate
Muongo huyo.Hakuna milioni 40 hapa.
Imeisha hiiHakuna binadamu anayetoa code za mafanikio online,huo ni uongo ,hapo unatangaza soko tu la mbegu na kukodisha mashamba.
Hawa sii watanzania tuwatakao.Kwahiyo hii ndio Story of Change?
Rubbish...