Kama alifanyiwa hivyo kimtego na wapinzani wake wa siasa, lazima polisi ifanye uchunguzi. Kwenye siasa kuna mambo ya honey trapping
Kabisa, hapa ni habari ya kuambiwa changanya na zako. Sina imani na maelezo yoyote ya jeshi la polisi. Fuatilia ukweli wa hiyo story utakuta ni tofauti kabisa na wanavyosema hao policcm.
Alitumia kipimo gani kujua kama alilewa ... na ni kilevi gani
Uzuri hao wote ni Wana CCM wazinifu wenzenu. Ingekua CHADEMA sijui muda huu kama pangetosha. Mngekopa Hadi mabando
View attachment 2237277
View attachment 2237278
Nilimsikiliza kamanda ila sikuelewa kisa cha kututangazia wapenzi kukutwa nyumbani kwao huku kukiwa hakuna jinai yoyote. Jeshi la polisi lingeweza kuweka staha kwa wapenzi hao bila kuleta gumzo mitaani, mbaya zaidi kwa mdada kutajwa jina na kabila kama vile ni mhalifu, hapa nadhani huyo dada anahitaji msaada wa kisheria dhidi ya kamanda kwa kumvunjia heshima hadharani.
Mkuu Kulikua na haja gani ya Polisi kumtaja Ashura, Umri wake, Kabila lake na Makazi yake?
CHADEMA ingekuwa kata imeshatangazwa kuwa ipo wazi
Mbona kwa Ben Saanane wanakuja na story.....!!Binafsi sijsona kosa la PT watu walishadhani kuwa wale wasiojulikana wamerudi, pili sadaka za kanisani tumejua zinapoenda, tatu kuonyesha kuwa jeshi lipo active muda wote, asante jeshi letu.
Ashura mnara tutakujengea pale tabata bima
Kabisa tuna polisi ya hovyo snHata Taarifa ya Polisi ingekuwa ya udhalilishaji Mara tatu ya hii inayomuhusu Mutta. . Tungeambiwa amekamatwa akiwa na mwenzi wake wa kiume, Bora Muta wamesema rafiki wa kike, ingekuwa yupo CHADEMA to ungeambiwa amekamatwa akiwa na mpenzi wake wa kiume ili uaibike kwa ushoga. Mutta ashukuru yupo CCM wamemsitiri mengi.
Ben aliuliwa na jiwe ulitaja wasemejeMbona kwa Ben Saanane wanakuja na story.....!!
Si rahisi kizazi hiki cha nyoka kukuelewaMchungaji kakutwa na mwanamke wa mjini akila maisha, ustadhi nae hakuwa nyuma kalawiti watoto 22
Hivi vita ni ngumu ndugu zangu.
Angejitokeza kuwa yuko wapihivi ww unaona sawa kabisa kuanikwa mambo yako binafsi kwenye media.je ungekuwa wewe unaanikwa mambo yako binafsi kwenye hadhara ungekubali?au mnaongea tu kwa ushabiki!
Mkuu ulisha sikia court martialAmiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama,jeshini kauli ya mkubwa wako ni amri,rais akisema polisi muueni katitu utauliwa tu wala hawatauliza sababu
Zamani tungeambiwa CHADEMA inahusika!Kama alifanyiwa hivyo kimtego na wapinzani wake wa siasa, lazima polisi ifanye uchunguzi. Kwenye siasa kuna mambo ya honey trapping
This shows the corruption within ccm. This guy Mutta has been a Kawe division executive for two consecutive terms, all this time it was an open secret that he had issues with drugs and yet they recommended him to the electorate to vie for the Kawe seat!! Ccm has betrayed the trust of the Kawe residents by hiding Mutta's ailment when vying for these representative political positions.
Huyo ni kiongozi wa watu na wanastahili kujua aliko.Upo sahihi kabisa, polisi wamekosea kuingilia faragha binafsi ya mtu.
Unaongea tu hujui ulisemalo hakuna askari wa kupinga amri ya rais ukiambiwa muue fulani ukigoma utauliwa wewe tuMkuu ulisha sikia court martial
So chief wako akikwambia ua wwe una ua tuu so far ni amri you must be kidding
Sasa kwenye kujitetea utasema was an order from ur commanding officer
Hivi ulisha sikia kuhusu maadili ya kazi au ni kila kitu ni kupelekeshwa tuu kama nyumbu porini
Mambo mengine lazima ufanye reasoning coz si kila amri lazima iwe executed
Reasoning ni bora zaidi