mwanandila
Member
- Nov 28, 2013
- 5
- 1
ni ujingaaa,kura za siri ni kwa uchaguzi wa watu co mambo ya kitaifa kama bajeti ya nchi as same as katiba ya nchi.wapige wazi tujue wapi wawakilishi wa wananchi au wawakilishilishi wa vitambi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni ujingaaa,kura za siri ni kwa uchaguzi wa watu co mambo ya kitaifa kama bajeti ya nchi as same as katiba ya nchi.wapige wazi tujue wapi wawakilishi wa wananchi au wawakilishilishi wa vitambi...
ni ujingaaa,kura za siri ni kwa uchaguzi wa watu co mambo ya kitaifa kama bajeti ya nchi as same as katiba ya nchi.wapige wazi tujue wapi wawakilishi wa wananchi au wawakilishilishi wa vitambi...
Imepita kuwa upigaji kura ni wasiri ,kuna mtu kanibeep sasa hivi.
Mkuu, binafsi siamini kama suala hili la kura ya Siri ni la CCM. Kuna wana ccm wengi ambao wameweka msimamo wa kutopenda kura ya wazi. Pia kuna wana ccm wengi ambao hawapendi muundo wa serikali mbili. Hivyo, ingawa taasisi imetoa uamuzi huo, ila ndani yake kila mtu anawaza la kwake
Hapana mkuu. Katika hili, ni wazi kuwa wana ccm watakuwa huru kuamua. Hakuna kushurutishwaKwa hiyo bado litabaki kuwa ni la CCM ili kuwatisha wale waoga ambao wanaotaka serikali tatu wasipige kura kuunga mkono kwa kuogopa kibano baada ya kupiga kura.
Mkuu, binafsi siamini kama suala hili la kura ya Siri ni la CCM. Kuna wana ccm wengi ambao wameweka msimamo wa kutopenda kura ya wazi. Pia kuna wana ccm wengi ambao hawapendi muundo wa serikali mbili. Hivyo, ingawa taasisi imetoa uamuzi huo, ila ndani yake kila mtu anawaza la kwake
maneno magumu hayoKuna hoja zilizo ndani ya Bunge Maalumu la katiba, Eti wananchi tuliowatuma tunataka tuone kura za aina gani wajumbe mmepiga , HUU NI UONGO na ni hoja isiyo na mashiko, hivi ninyi wajumbe kabla ya kwenda huko Dodoma mlikutana nasi wapi ? Sisi HATUKUWATUMA hata kidogo, tulishatoa hoja zetu kwenye mabaraza na wala hatukutoa maagizo ya kura ya wazi, MSITUGAWE, Hatutaki kujua misimamo ya Viongozi wetu wa kiimani/kidini na baadhi ya wajumbe wetu tunaowaheshimu kupitia kura ya wazi. SISI WANANCHI TULIO WENGI TUNATAKA MPIGE KURA ZA SIRI kama mnataka kudhibiti suala la serikali 3 tafuteni njia nyingine, lakini pia kiongozi wetu alituambia TUJIANDAE KISAIKOLOJIA
Hapana mkuu. Katika hili, ni wazi kuwa wana ccm watakuwa huru kuamua. Hakuna kushurutishwa
Wameshashurutishwa mkuu. Kwani anaposimama Nape na kusema msimamo wa CCM ni serikali mbili na wamewatuma wabunge wao kulitetea hilo anamaanisha nini? Mwana CCM yeyote atakae enda kinyume na msimamo wa chama atatakiwa kujieleza kama sio kufukuzwa kabisa. Njia pekee ya kuwalinda wale wana CCM wenye mawazo tofauti ambao naamini wako wengi sana waliochoka kuburuzwa ni kura ya siri.