Wito kwa Serikali yetu, Huu ni Udhalilishaji wa Bullying & Intimidation. Mbona Rais Samia Hadhalilishi? Tusiruhusu Udhalilishaji Huu Uendelee!

Huo ndio urasimu unaowalinda watumishi wasiozimudu kazi walizopewa. Mtaalamu akiifanya kazi yake inavyopaswa hakuna mwanasiasa anayeweza kumyumbisha. Engineer anashindwa kueleza majukumu yake kwa lugha rahisi.. halafu tumlaumu Makonda?
Ungekuwa na familia usingesema hivyo, ukiajiriwa unawajibika kwa aliyekuandikia barua ya ajira.
 
Ungekuwa na familia usingesema hivyo, ukiajiriwa unawajibika kwa aliyekuandikia barua ya ajira.
Sahihi! Na mwajiri hapa ni Serikali. Kuna mwajiri mwingine kwenye Public Services?... Familia ninayo lakini haiitegemei Serikali kwenye ajira.
 
Mara nyingi napingana sana na hoja zako humu jukwaani Ila Kwa hii hoja nakuunga mkono
Haiwezekani video ya vikao vya kazi vya ndani vya serikali virushwe hovyo Mitandaoni just ili viongozi flani wajipatie sifa Ila pia na kuzalilisha watu wengine.
Kurekodi vikao vya ndani inakubalika Kwa ajili ya kumbukumbu Ila kuvirusha hewani sio sahihi hata alivyofanya jerr slaa waziri wa ardhi kuruhusu kurushwa Mitandaoni video ya kikao chake na tapeli msama sijui alipokuwa anadeal na ishu yake ya utapeli wa viwanja ilikuwa sio sahihi.
Kuna taasi MF tra wanawahoji wafanyabiashara Kwenye vikao vya ndani kuhusu na ukwepaji kodi wa hao wafanyabiashara nao waanze kurusha hewani hizo video clips.
Hawa viongozi wanapoapa kwamba nitatunza siri za mambo yote nitakayoyafahamu Kwenye utendaji wangu wajue hiyo ni dhana pana sana
 
Mimi binafsi nilidhani mjadala unahusu mtumishi kusimamishwa mbele ya kundi la watu wanaohusika na wasiohusika na kuanza kuhojiwa kama mtoto mdogo au mhalifu, huku anayehoji akiwa na mtazamo wake wa kujipatia umaarufu bila kujali staha kwa anayemhoji, hilo swala la kurusha video ni dogo.
 
Nadhani kwa maoni yangu suala la kurusha video ndilo chanzo cha sisi tusiohusika kuona kuna uzalilishahi ambayo ni character assassination.
Hata isingerusha bado hicho anachokiita BULLYING kipo as long as walikuwepo watu wengine zaidi ya mtumishi na mwajiri wake.
 
Kile kilikuwa kikao kazi cha utendaji cha ndani Kati ya watumishi na RC kurusha Ile video sio sawa kama ndio hivyo basi tungekuwa tunarushiwa video ya vikao vya Baraza la mawaziri
Unafikiria Kwenye vikao vya Baraza la mawaziri hakuna mawaziri wanaobabaika kujieleza mbele ya Rais? Ule ulikuwa ni ujinga na mfano wa utoaji wa siri za serikali
 
Wafanyakazi wengi (kama sio wote) wa serikalini ni matutusa, bila kuwacharaza viboko kama hivi hawasongi mbele. Namuunga mkono Paulo.
 
Microphone Fever.
 
Ila wabongo kiboko asee dah!

Leo hata wewe NJAA unasimama kwa ukali unamsema Magu?

Kweli mtu ukifa unakufa na yako yote. We si ulikuwa mmoja wa timu chawa pro wa kusifu na kuabudu kila kitu
Nimeshangaaa sana jiniasi pasikali. Magu kwake alikua ni malaika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…