Wito kwa Serikali yetu, Huu ni Udhalilishaji wa Bullying & Intimidation. Mbona Rais Samia Hadhalilishi? Tusiruhusu Udhalilishaji Huu Uendelee!

Wito kwa Serikali yetu, Huu ni Udhalilishaji wa Bullying & Intimidation. Mbona Rais Samia Hadhalilishi? Tusiruhusu Udhalilishaji Huu Uendelee!

Nimebahatika kufanya kazi na wazungu, niliajiriwa na Taasisi ya FCO ya Uingereza, nikiwa jijini New Delhi India, nikapostiwa Ubalozi wa Uingereza, Pretoria Africa Kusini, Lilongwe Malawi, Lusaka Zambia na mwisho nikatua Jiji Dar es Salaam nikiwa ni Mshauri wa Siasa wa Balozi wa Uingereza. Kati ya makosa makubwa, mabaya na very serious offenses ni racism, segregation, bullying and intimidation, yanachukuliwa very serious!
Uko sahihi ila sio sahihi kabisa.

Wapalestina wanafanyiwa zaidi ya haya na watesi wao kula Gaza,West bank ila hao wenye Dunia wapo kimya tu.
 
Hii inaitwa ONDOKA USEMWE hata wewe chawa pro max wa awamu ya 5 unamsema bosi wa awamu ya 5.

Huyu Makonda na wenzie wengi wana mambo ya kishamba, kuna yule waziri eti anafanya kazi mbele ya kamera, ni vitu vya ajabu kabisa, yeye ni mahakama yeye ndio kila kitu. Sijui angefanya kimya kimya angekuwa hajafanya kazi.
mbona kwa hio link naona kama ilikua ni 2017 ndio alimsema mwendazake ni miaka minne kabla ya demise ya mzee wetu Dr Yohana au mimi nimeona tofaut?
 
Wewe unaona sawa kiongozi anaulozwa kuhusu Halmashauri yake, hata taarifa anajiumauma tu. Lazima atumbuliwe. Hii style ndo ilifaa sana coz viongozi walijisahau na kutowajibika

alikuwa na uwezo wa kumtumbua wakiwa ofisini, kwanini adhalilishe mbele ya Jamii?
 
Hao mnaosema wanafanyiwa bullying ukifika ofisini kwao kutaka huduma unaweza kumpiga risasi kwa huduma mbovu wanazotoa
 
Wanabodi,

Nimebahatika kufanya kazi na wazungu, niliajiriwa na Taasisi ya FCO ya Uingereza, nikiwa jijini New Delhi India, nikapostiwa Ubalozi wa Uingereza, Pretoria Africa Kusini, Lilongwe Malawi, Lusaka Zambia na mwisho nikatua Jiji Dar es Salaam nikiwa ni Mshauri wa Siasa wa Balozi wa Uingereza. Kati ya makosa makubwa, mabaya na very serious offenses ni racism, segregation, bullying and intimidation, yanachukuliwa very serious!

Mtu yoyote akilalamika amakuwa segregated, au amefanyiwa bullying and intimidation, hatua ya kwanza ni huyo bully anasimamishwa kazi, inatumwa timu ya uchaguzi kutoka UK kuja kuchunguza!

It's very unfortunately Tanzania, bullying and intimidation inafanywa na viongozi wetu, na hawafanywi chochote!

Huko nyuma niliwahi kuzungumzia hizi bullying and intimidations Je, huu ni ufuatiliaji wa uwajibikaji au udhalilishaji kwa bullying na intimidation?


Hiki kilichofanyika hapa ni bullying and intimidation!.


Hawa ma bullies wakiendelea kufanya bullying and intimidation na kuachiwa, wanaweza kugeuka ni ma sadist na kufanya sadisim kama huyu This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea?

Hitimisho
Natoa wito kwa serikali yetu, isiruhusu huu udhalilishaji wa bullying & Intimidation uendelee!. Mbona Rais Samia hafanyi udhalilishaji?. Hawa ma bullies na ma intimidators they should be put in their rightful places!

Paskali.

Pia soma:

Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya MaadilI ya CCM

Paul Makonda: Kiongozi Mzima Kujieleza Hujui, Mnapataje Hizi Nafasi?
Kwa kiingereza chako cha kuunga unga ni ajabu umefanya kazi huko unakodai. Labuda ulipewa kazi kwa nguvu ya personality yako na siyo kwa sababu una sharp intellect.
 
Did you watch the video clearly? I doubt if you did. I can also explain based on how do I term it as Intimidation and Bullying.

Publicly questioning and criticizing an employee's qualifications and duties, especially in front of others, can be humiliating and damaging to the employee's professional reputation. This type of public scrutiny can create a hostile work environment.

Also, the fact that the questioning is coming from a senior boss suggests a misuse of power dynamics. The boss's position of authority can intensify the impact of his actions, making the civil servant feel even more vulnerable and pressured.

He was asked about the type of roads he is responsible for, to which he correctly responded that he oversees the maintenance of gazetted roads. He clarified that his duties involve only the maintenance of these specific roads.

While the RC might have intended to inquire about the employee’s qualifications for transparency or clarification, the manner and setting of the questioning, especially if it seemed confrontational or derogatory contribute to it being perceived as bullying. The impact on the employee’s emotional and professional well-being is crucial in determining if an action constitutes bullying.

The Regional Commissioner appeared to be pressing him to provide an answer that aligned with his expectations. However, the civil servant remained composed and reiterated his initial response. This repetition is what the Regional Commissioner criticized as a failure to explain adequately.

Take in mind that the event being recorded and spreading through videos exacerbates situation, as it not only impacts the individual’s current workplace dynamics but also their broader professional image and self-esteem.

It is TOTALLY unacceptable.
We expected a Manager to give a broader view of the roads he is responsible with as a Regional manager;in terms of how many kilometers his office currently is maintaining and how far have they gone, explain to the common Wananchi to understand what are gazetted roads and how do they look like and outline broader future plans to improving roads infrastructure in the region.
 
Mi nakubaliana na Makonda huyo manager boya hata ningekuwa mimi nigefanya hivyo hivyo. Inakuwaje ashindwe kujielezea????? Tatizo inasemekana watu wanapeana vyeo either mtu wa mfumo au hela etc bila kujali vigezo. Kikubwa tuwe na katiba mpya na nafasi zote kubwa watu wafanyiwe vetting pawe na pool the waitwe interview. Lakini leo hii unakuta anatauliwa kiongozi kisa tu katoa rushwa kwa mfumo au kujuana, haya ndiyo matatizo. Mi namuunga mkono Makonda mpaka dakita ya mwisho. Ila wewe kama ni kiongozi ulihonga au ulipendelewa kupata cheo hautaelewa bosi au wewe kama ni mfumo ila sisi watoto wa masikini tunaobangaiza tunasikia tu mpaka unajiuliza hivi huyu anakuwaje kiongozi????
Kuna yule Mwamba alikuwa anasimamia ujenzi wa Barabara kule kusini na degree yake ya Philosophy na yule Mwamba alikuwa na Makamu wa Rais kule Mwanga anasimamia ujenzi wa hospitali akiwa ni Engineer wa Kilimo.
Inahitaji akili ya mwenda wazimu kuwatetea watumishi wa umma wa nchi hii!
 
No,
mbona there is no bullying or intimidations over there mkuu 🐒

every responsible civil servant, with capacity or not, anywhere within or outside the country, must be fully responsible and very aware on their roles, duties and responsibilities.

they must understand very well their job descriptions, they must be fully aware on the status of programs and projects within their areas of work etc.

there is no room, no shortcut or escape root for irresponsible civil servant on duty to hide, as we move forward in transforming the country into prosperous economically , socially and political spheres of life 🐒

kumbradhi kwa hii lugha ya malkia nimetumia, lakini hata na hivyo tunasonga kwa haraka na biidii licha ya hizo setbacks kidogo kidogo, ila nia ni kuhakikisha tumepiga hatua Fulani na kuamsha uwajibikaji na umakini wa watendaji popote walipo 🐒
Na lugha ya malkia inakusumbua kidogo.
 
mbona kwa hio link naona kama ilikua ni 2017 ndio alimsema mwendazake ni miaka minne kabla ya demise ya mzee wetu Dr Yohana au mimi nimeona tofaut?
Kwa magufuli hakufunguka, alijiweka mtu kati ni kama aliuliza swali vile, angalia aliweka na alama ya kuuliza.
 
Wanabodi,

Nimebahatika kufanya kazi na wazungu, niliajiriwa na Taasisi ya FCO ya Uingereza, nikiwa jijini New Delhi India, nikapostiwa Ubalozi wa Uingereza, Pretoria Africa Kusini, Lilongwe Malawi, Lusaka Zambia na mwisho nikatua Jiji Dar es Salaam nikiwa ni Mshauri wa Siasa wa Balozi wa Uingereza. Kati ya makosa makubwa, mabaya na very serious offenses ni racism, segregation, bullying and intimidation, yanachukuliwa very serious!

Mtu yoyote akilalamika amakuwa segregated, au amefanyiwa bullying and intimidation, hatua ya kwanza ni huyo bully anasimamishwa kazi, inatumwa timu ya uchaguzi kutoka UK kuja kuchunguza!

It's very unfortunately Tanzania, bullying and intimidation inafanywa na viongozi wetu, na hawafanywi chochote!

Huko nyuma niliwahi kuzungumzia hizi bullying and intimidations Je, huu ni ufuatiliaji wa uwajibikaji au udhalilishaji kwa bullying na intimidation?


Hiki kilichofanyika hapa ni bullying and intimidation!.


Hawa ma bullies wakiendelea kufanya bullying and intimidation na kuachiwa, wanaweza kugeuka ni ma sadist na kufanya sadisim kama huyu This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea?

Hitimisho
Natoa wito kwa serikali yetu, isiruhusu huu udhalilishaji wa bullying & Intimidation uendelee!. Mbona Rais Samia hafanyi udhalilishaji?. Hawa ma bullies na ma intimidators they should be put in their rightful places!

Paskali.

Pia soma:

Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya MaadilI ya CCM

Paul Makonda: Kiongozi Mzima Kujieleza Hujui, Mnapataje Hizi Nafasi?
Unaweza kutuambiia kwenye video uliyoambatanisha na uzi wako ni kauli gani za Makonda zimedhihirisha “bullying” na kauli gani ni ushahidi wa “intimidation?

Pia ingependeza kama ungefafanua tuhuma zako za sadist/sadiam dhidi ya Chalamila kutokana na ushahidi wa maneno pekee yake aliyotamka kuhusu vibaka.

Mwisho kabisa, kwamba umefanya kazi ya Ushauri Ubalozi wa UK Pretoria na dunia nzima kwa ujumla, ina umuhimu gani au uzito gani na hoja zako kwenye uzi huu? Na tuseme “Mama Samia” angekuwa anafanya “bullying and intimidation”, jee ingekuwa okay kwa Makonda kufanya?
 
Unajua maana ya bullying? Nimeshindwa kuelewa huu mgogoro ulitoka wapi? Mbona Injinia alikuwa anaelezea vizuri tu? Shida ya zero brain hatoi muda wa kusikiliza! Serikali iliondie hili takataka kwenye utumishi wa umma! Pasco uko sahihi, wenzetu wako mbali sana kwenye kukemea udhalilishaji. Hata mimi niliwahi kufanyakazi kwenye taasisi ya Kiingereza wako vizuri sana kwenye mambo ya safeguarding! Sasa hii punda inamdhalilisha mtumishi mwenzake mbele ya kadamnasi, halafu na watumishi wa umma nao wapuuzi tu eti wanashagilia! Kikao kilitakiwa kinune mwanzo mwisho mpaka zero ajione mjinga!
Mkuu. Wasomi wetu nao ni waoga kupitiliza. Kila baada ya neno moja anaweka maneno ''mheshimiwa mkuu wa mkoa''. Nidhamu ya woga kabisa. Anyways, nimufurahi sana kwa sababu Makonda anazidi kujichimbia kaburi mwenyewe. Ni laana ya ukatili aliofanya.
 
Ni Prof Mbele, si Mbena

Shukrani, naiweka sawa ni Prof. Joseph L. Mbele anayesisitiza kuhusu tamaduni ngeni na umuhimu wa kujifunza kujua uzito wake katika fikra za mtu, mienendo na matendo yake ili kufanikisha lengo kama la Paul Makonda

1713791609621.png
 
No,
mbona there is no bullying or intimidations over there mkuu 🐒

every responsible civil servant, with capacity or not, anywhere within or outside the country, must be fully responsible and very aware on their roles, duties and responsibilities.

they must understand very well their job descriptions, they must be fully aware on the status of programs and projects within their areas of work etc.

there is no room, no shortcut or escape root for irresponsible civil servant on duty to hide, as we move forward in transforming the country into prosperous economically , socially and political spheres of life 🐒

kumbradhi kwa hii lugha ya malkia nimetumia, lakini hata na hivyo tunasonga kwa haraka na biidii licha ya hizo setbacks kidogo kidogo, ila nia ni kuhakikisha tumepiga hatua Fulani na kuamsha uwajibikaji na umakini wa watendaji popote walipo 🐒
Tatizo na upungufu wako ni mmoja tu. Kwamba kwa akili na ufahamu wako unadhani Paul Makonda ana moral authority ya kuwa treat viongozi wenzake kwa namna ile.

Tunasema hivi;

Likely, (labda) ni kweli kuna weaknesses kwa uongozi wa TARURA hapo Arusha ktk usimamizi na utendaji wa shughuli zao

Swali ni, Je hiyo inampa uhalali gani wa kimaadili Paul Makonda kushughulikia mapungufu hayo kwa staili hiyo?

Je, Hakuna taratibu za kawaida za kiutumishi za kumwajibisha kiongozi mzembe na asiyetimiza wajibu wake ipasavyo?

Iko hivi.

Mimi sina shida kabisa na kiongozi wa juu kumsimamisha kiongozi yeyote wa umma, taasisi au shirika la umma mbele ya watu wengine, wananchi watoto kwa watu wazima na mbele ya kamera za TV ajibu maswali fulani juu ya majukumu na utendaji wake wa kila siku juu ya mipango, sera na utekelezaji wake ktk taasisi au shirika analoongoza/simamia.

Shida yangu mimi ni Moja tu. Na ofcoz ndio kiini cha hoja ya mleta hoja ndugu Pascal Mayalla kwamba, serikali sio mtu mmoja bali ni mfumo unaohusisha mnyororo mrefu ktk utendaji wake.

Wewe unasema hivi👇👇

".....every responsible civil servant, with capacity or not, anywhere within or outside the country, must be fully responsible and very aware on their roles, duties and responsibilities.

they must understand very well their job descriptions, they must be fully aware on the status of programs and projects within their areas of work etc...
"

That's right..

Unadhani huyu mtu hayajui yote hayo; job description yake? Roles and his responsibilities zake?

Unadhani hajui miradi anayoisimamia na status zake ktk eneo lake?

Paul Makonda angekuwa patient kidogo tu na kuomba taarifa ya anachokitaka kukifahamu au kuelewa ktk taasisi hiyo angeshindwaje kwa mfano kiasi cha kutumia njia dhalili na ngumu kiasi kile?

Kumbuka Meneja ni kiongozi mkuu wa taasisi ndani ya mkoa yenye wilaya kadhaa na miradi mingi inayotekelezea. Na chini yake wako wakuu wa idara wengi wengine huko wilayani.

Na kama alimshitukiza tu na kutaka awe na taarifa zote kichwani na kwa usahihi kumpa yeye na Mr TARURA kujitetea kuwa taarifa zingine ziko kwenye mafaili na bado RC akang'aka na kuporomosha maneno ya kashfa yenye nia ya kutweza utu na kudhalilisha, basi obvious shida iko kwa RC Makonda.

Na hiyo ndiyo bullying & intimidation yenyewe. Kwa sababu RC ametumia madaraka yake kusema lolote lisilofaa kwa ndugu huyu. Akatengeneza mazingira ya kufanya huyu kiongozi aonekane kwa jamii yote kuwa hafai, hawezi kazi na kumfanya awe na hofu, atishike. Hiyo siyo sawa hata kidogo!

Lakini nyuma ya RC kiuhalisia lengo si kuboresha au kutengeneza bali anakuwa na ajenda nyingine ya siri kabisa mara nyingi ikiwani ovu.

Wote tunajua tabia ya Paul Makonda. Ni kiongozi "populist", mpenda umaarufu. Ni aina copyright ya John P. Magufuli.

Makonda ni kiongozi mpenda madaraka kwa gharama yoyote hata kama ni kumwaga damu ya watu achilia mbali kudhalilisha kwa namna hii.

Makonda is a bully iwe unajua hivyo au hujui. Uongozi ni HEKIMA na BUSARA. Huyu ndugu yako hana hayo mawili. Hastahili kuongoza kabisa.!!!

NB:
By the way nikuulize swali Moja tu ndugu Tlaatlaah kwamba, Itakuwaje iwapo Rais Samia Suluhu Hassan akimshitukiza RC Makonda hapo Arusha na kuanza kumshona maswali mbalimbali mfululizo kuhusu jambo lolote mkoani kwake mbele ya umati wa wananchi?

Unadhani huyu jamaa yako anaweza kuwa na jibu sahihi kwa kila swali bila kutegemea msaada wa watendaji na wasaidizi wake ndani ya mkoa? Na vipi sasa akikosea kujibu swali Moja au mawili? Je, unadhani ni halali Rais aanze kumvurumishia maneno ya kashfa na kumdhalilisha kuwa hajui job description yake au roles and responsibilities zake kama RC?

Ni halali Rais Samia Suluhu Hassan ajute hadharani kusema sijui ulipataje nafasi ya u-RC?

Hebu tafakari halafu njoo tusemezane..
 
Kazi za serikali zinasimamiwa na waziri na katibu mkuu wa wizara husika, Makonda anaingilia majukumu ya watendaji wengine, kama kunajambo haliko sawa anatakiwa awaone hawa na si vinginevyo.
Barua za wajiriwa zina maelekezo yote na hatua mtumishi atazochukuliwa dhidi ya utendaji mbovu na utovu wa nidhamu, nazo ni za ndani ya ajira yake tu.
Huo ndio urasimu unaowalinda watumishi wasiozimudu kazi walizopewa. Mtaalamu akiifanya kazi yake inavyopaswa hakuna mwanasiasa anayeweza kumyumbisha. Engineer anashindwa kueleza majukumu yake kwa lugha rahisi.. halafu tumlaumu Makonda?
 
Tatizo na upungufu wako ni mmoja tu. Kwamba kwa akili na ufahamu wako unadhani Paul Makonda ana moral authority ya kuwa treat viongozi wenzake kwa namna ile.

Tunasema hivi;

Likely, (labda) ni kweli kuna weaknesses kwa uongozi wa TARURA hapo Arusha ktk usimamizi na utendaji wa shughuli zao

Swali ni, Je hiyo inampa uhalali gani wa kimaadili Paul Makonda kushughulikia mapungufu hayo kwa staili hiyo?

Je, Hakuna taratibu za kawaida za kiutumishi za kumwajibisha kiongozi mzembe na asiyetimiza wajibu wake ipasavyo?

Iko hivi.

Mimi sina shida kabisa na kiongozi wa juu kumsimamisha kiongozi yeyote wa umma, taasisi au shirika la umma mbele ya watu wengine, wananchi watoto kwa watu wazima na mbele ya kamera za TV ajibu maswali fulani juu ya majukumu na utendaji wake wa kila siku juu ya mipango, sera na utekelezaji wake ktk taasisi au shirika analoongoza/simamia.

Shida yangu mimi ni Moja tu. Na ofcoz ndio kiini cha hoja ya mleta hoja ndugu Pascal Mayalla kwamba, serikali sio mtu mmoja bali ni mfumo unaohusisha mnyororo mrefu ktk utendaji wake.

Wewe unasema hivi👇👇

".....every responsible civil servant, with capacity or not, anywhere within or outside the country, must be fully responsible and very aware on their roles, duties and responsibilities.

they must understand very well their job descriptions, they must be fully aware on the status of programs and projects within their areas of work etc...
"

That's right..

Unadhani huyu mtu hayajui yote hayo; job description yake? Roles and his responsibilities zake?

Unadhani hajui miradi anayoisimamia na status zake ktk eneo lake?

Paul Makonda angekuwa patient kidogo tu na kuomba taarifa ya anachokitaka kukifahamu au kuelewa ktk taasisi hiyo angeshindwaje kwa mfano kiasi cha kutumia njia dhalili na ngumu kiasi kile?

Kumbuka Meneja ni kiongozi mkuu wa taasisi ndani ya mkoa yenye wilaya kadhaa na miradi mingi inayotekelezea. Na chini yake wako wakuu wa idara wengi wengine huko wilayani.

Na kama alimshitukiza tu na kutaka awe na taarifa zote kichwani na kwa usahihi kumpa yeye na Mr TARURA kujitetea kuwa taarifa zingine ziko kwenye mafaili na bado RC akang'aka na kuporomosha maneno ya kashfa yenye nia ya kutweza utu na kudhalilisha, basi obvious shida iko kwa RC Makonda.

Na hiyo ndiyo bullying & intimidation yenyewe. Kwa sababu RC ametumia madaraka yake kusema lolote lisilofaa kwa ndugu huyu. Akatengeneza mazingira ya kufanya huyu kiongozi aonekane kwa jamii yote kuwa hafai, hawezi kazi na kumfanya awe na hofu, atishike. Hiyo siyo sawa hata kidogo!

Lakini nyuma ya RC kiuhalisia lengo si kuboresha au kutengeneza bali anakuwa na ajenda nyingine ya siri kabisa mara nyingi ikiwani ovu.

Wote tunajua tabia ya Paul Makonda. Ni kiongozi "populist", mpenda umaarufu. Ni aina copyright ya John P. Magufuli.

Makonda ni kiongozi mpenda madaraka kwa gharama yoyote hata kama ni kumwaga damu ya watu achilia mbali kudhalilisha kwa namna hii.

Makonda is a bully iwe unajua hivyo au hujui. Uongozi ni HEKIMA na BUSARA. Huyu ndugu yako hana hayo mawili. Hastahili kuongoza kabisa.!!!

NB:
By the way nikuulize swali Moja tu ndugu Tlaatlaah kwamba, Itakuwaje iwapo Rais Samia Suluhu Hassan akimshitukiza RC Makonda hapo Arusha na kuanza kumshona maswali mbalimbali mfululizo kuhusu jambo lolote mkoani kwake mbele ya umati wa wananchi?

Unadhani huyu jamaa yako anaweza kuwa na jibu sahihi kwa kila swali bila kutegemea msaada wa watendaji na wasaidizi wake ndani ya mkoa? Na vipi sasa akikosea kujibu swali Moja au mawili? Je, unadhani ni halali Rais aanze kumvurumishia maneno ya kashfa na kumdhalilisha kuwa hajui job description yake au roles and responsibilities zake kama RC?

Ni halali Rais Samia Suluhu Hassan ajute hadharani kusema sijui ulipataje nafasi ya u-RC?

Hebu tafakari halafu njoo tusemezane..
Mkuu. Watu kama huyo unapoteza muda wako kujadiliana nao. Fikiria: mtu mzima mwenye akili kama hawezi kuona tatizo kwenye hayo ''mahojiano'' unaweza kumwelimishaje akuelewe?. Kitendo tu cha kuona Makonda yuko right kinatakiwa kikufanye uone upeo wake wa kuchanganua mambo ni mdogo. Ajira, namna ya kufanya kazi nk zina taratibu zake. Japo Tanzania ina tatizo kubwa la utendaji kazini lakini kuna namna ya kushughulikia na siyo usanii wa namna hiyo.
 
Kuna yule Mwamba alikuwa anasimamia ujenzi wa Barabara kule kusini na degree yake ya Philosophy na yule Mwamba alikuwa na Makamu wa Rais kule Mwanga anasimamia ujenzi wa hospitali akiwa ni Engineer wa Kilimo.
Inahitaji akili ya mwenda wazimu kuwatetea watumishi wa umma wa nchi hii!
Utendaji wa watumishi wa umma unaboreshwa kwa kuwahoji kwa kuwafokea kwenye vikao?
 
Huo ndio urasimu unaowalinda watumishi wasiozimudu kazi walizopewa. Mtaalamu akiifanya kazi yake inavyopaswa hakuna mwanasiasa anayeweza kumyumbisha. Engineer anashindwa kueleza majukumu yake kwa lugha rahisi.. halafu tumlaumu Makonda?

Huo ndio urasimu unaowalinda watumishi wasiozimudu kazi walizopewa. Mtaalamu akiifanya kazi yake inavyopaswa hakuna mwanasiasa anayeweza kumyumbisha. Engineer anashindwa kueleza majukumu yake kwa lugha rahisi.. halafu tumlaumu Makonda?
Siyo kosa lako. Ni upeo wako wa kuona na kuchanganua mambo. Pole.
 
Back
Top Bottom