Wito kwa Serikali yetu, Huu ni Udhalilishaji wa Bullying & Intimidation. Mbona Rais Samia Hadhalilishi? Tusiruhusu Udhalilishaji Huu Uendelee!

Wito kwa Serikali yetu, Huu ni Udhalilishaji wa Bullying & Intimidation. Mbona Rais Samia Hadhalilishi? Tusiruhusu Udhalilishaji Huu Uendelee!

Mkuu,your appreciation for my politeness is a psychological blow to push me deep down to this issue.... I accept (maybe) and thanks.


You are absolutely right and lets settle this matter as per how we look into it. Thanks once more.
I appreciate your free reasonings 👊

thanks too 🐒
 
Wanabodi,

Nimebahatika kufanya kazi na wazungu, niliajiriwa na Taasisi ya FCO ya Uingereza, nikiwa jijini New Delhi India, nikapostiwa Ubalozi wa Uingereza, Pretoria Africa Kusini, Lilongwe Malawi, Lusaka Zambia na mwisho nikatua Jiji Dar es Salaam nikiwa ni Mshauri wa Siasa wa Balozi wa Uingereza. Kati ya makosa makubwa, mabaya na very serious offenses ni racism, segregation, bullying and intimidation, yanachukuliwa very serious!.

Mtu yoyote akilalamika amakuwa segregated, au amefanyiwa bullying and intimidation, hatua ya kwanza ni huyo bully anasimamishwa kazi, inatumwa timu ya uchaguzi kutoka UK kuja kuchunguza!.

It's very unfortunately Tanzania, bullying and intimidation inafanywa na viongozi wetu, na hawafanywi chochote!.

Huko nyuma niliwahi kuzungumzia hizi bullying and intimidations Je, huu ni ufuatiliaji wa uwajibikaji au udhalilishaji kwa bullying na intimidation?.


Hiki kilichofanyika hapa ni bullying and intimidation!.


Hawa ma bullies wakiendelea kufanya bullying and intimidation na kuachiwa, wanaweza kugeuka ni ma sadist na kufanya sadisim kama huyu This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea?

Hitimisho
Natoa wito kwa serikali yetu, isiruhusu huu udhalilishaji wa bullying & Intimidation uendelee!. Mbona Rais Samia hafanyi udhalilishaji?. Hawa ma bullies na ma intimidators they should be put in their rightful places!

Paskali.

Pia soma:

Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya MaadilI ya CCM

Paul Makonda: Kiongozi Mzima Kujieleza Hujui, Mnapataje Hizi Nafasi?
Naunga mkono hoja. Makonda anafanya na amekuwa akifanya udhalilishaji kila alipopita..!! Unfortunately, anapata baraka ya wanaomteuwa..!!
 
Makonda ni kiongozi mpuuzi mno. Siungi mkono uteuzi wake. Hata viongozi wengine wengi pia wamekuwa hawajielewi kabisa. Yaani lolote watakalofanya lazima camera iwepo. Kibaya zaidi utasikia "Mama ametutuma"... ina maana mama akisahau kuwatuma hawawezi kutumia madaraka waliyopewa kuamua?
 
Kwa maelezo yako hata Samia alimdhalilisha Bwana Ndugai basi.

Baada ya ile video akiponda ukopaji kusambaa,Ndugai alijitokeza na kuomba radhi hadharani halafu akaibuka muombwa radhi na kumshambulia muombaji publicly.

Hata wazo la kuachia ngazi lilimjia Ndugai baada ya kuchambwa hadharani tu.

Then 2024 Samia anajitokeza na kukubaliana na Ndugai kuwa serikali yake imekopa sana hapa nyuma.

Au hili utalisema siku Samia hayupo madarakani?
 
Did you watch the video clearly? I doubt if you did. I can also explain based on how do I term it as Intimidation and Bullying.

Publicly questioning and criticizing an employee's qualifications and duties, especially in front of others, can be humiliating and damaging to the employee's professional reputation. This type of public scrutiny can create a hostile work environment.

Also, the fact that the questioning is coming from a senior boss suggests a misuse of power dynamics. The boss's position of authority can intensify the impact of his actions, making the civil servant feel even more vulnerable and pressured.

He was asked about the type of roads he is responsible for, to which he correctly responded that he oversees the maintenance of gazetted roads. He clarified that his duties involve only the maintenance of these specific roads.

While the RC might have intended to inquire about the employee’s qualifications for transparency or clarification, the manner and setting of the questioning, especially if it seemed confrontational or derogatory contribute to it being perceived as bullying. The impact on the employee’s emotional and professional well-being is crucial in determining if an action constitutes bullying.

The Regional Commissioner appeared to be pressing him to provide an answer that aligned with his expectations. However, the civil servant remained composed and reiterated his initial response. This repetition is what the Regional Commissioner criticized as a failure to explain adequately.

Take in mind that the event being recorded and spreading through videos exacerbates situation, as it not only impacts the individual’s current workplace dynamics but also their broader professional image and self-esteem.

It is TOTALLY unacceptable.
Kweli. RC kitaaluma ana uwezo mdogo sana.
 
Wanabodi,

Nimebahatika kufanya kazi na wazungu, niliajiriwa na Taasisi ya FCO ya Uingereza, nikiwa jijini New Delhi India, nikapostiwa Ubalozi wa Uingereza, Pretoria Africa Kusini, Lilongwe Malawi, Lusaka Zambia na mwisho nikatua Jiji Dar es Salaam nikiwa ni Mshauri wa Siasa wa Balozi wa Uingereza. Kati ya makosa makubwa, mabaya na very serious offenses ni racism, segregation, bullying and intimidation, yanachukuliwa very serious!.

Mtu yoyote akilalamika amakuwa segregated, au amefanyiwa bullying and intimidation, hatua ya kwanza ni huyo bully anasimamishwa kazi, inatumwa timu ya uchaguzi kutoka UK kuja kuchunguza!.

It's very unfortunately Tanzania, bullying and intimidation inafanywa na viongozi wetu, na hawafanywi chochote!.

Huko nyuma niliwahi kuzungumzia hizi bullying and intimidations Je, huu ni ufuatiliaji wa uwajibikaji au udhalilishaji kwa bullying na intimidation?.


Hiki kilichofanyika hapa ni bullying and intimidation!.


Hawa ma bullies wakiendelea kufanya bullying and intimidation na kuachiwa, wanaweza kugeuka ni ma sadist na kufanya sadisim kama huyu This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea?

Hitimisho
Natoa wito kwa serikali yetu, isiruhusu huu udhalilishaji wa bullying & Intimidation uendelee!. Mbona Rais Samia hafanyi udhalilishaji?. Hawa ma bullies na ma intimidators they should be put in their rightful places!

Paskali.

Pia soma:

Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya MaadilI ya CCM

Paul Makonda: Kiongozi Mzima Kujieleza Hujui, Mnapataje Hizi Nafasi?
Huu mfumo wa utawala wa vitisho uliletwa na Magufuli kiasi kwamba hata watoto wadogo hawakuupenda, rejea msiba wa kiongozi uliotokea ambapo watoto wa marehemu waligoma kushikwa mikono kutokana na baba yao alivyofanyiwa kwa kutumbuliwa hadharani na kiongozi wa juu kiasi akaugua presha na kufariki.
Hebu tujikumbushe tukio jingine la Morogoro sokoni ambapo kiongozi wa nchi anawauliza wafanyabiashara "nimtumbue nisimtumbue?" Wafanyabiashara wasiomjua mtumbuliwaji wanajibu " mtumbue" naye akamtumbua hapohapo yule mama mkurugenzi wa manispaa.
Huyu unayemtoa kama mfano alikuwa na mungu wake wa Tanzania huku yeye akijiita mungu wa Dar es Salaam!
Ni vigumu kuukomesha mfumo huu ambao umehalalishwa na viongozi wa kitaifa, na kutekelezwa na huyu mungu kama alivyozoezwa, na bahati mbaya haukuliona hilo.
 
Wanabodi,

Nimebahatika kufanya kazi na wazungu, niliajiriwa na Taasisi ya FCO ya Uingereza, nikiwa jijini New Delhi India, nikapostiwa Ubalozi wa Uingereza, Pretoria Africa Kusini, Lilongwe Malawi, Lusaka Zambia na mwisho nikatua Jiji Dar es Salaam nikiwa ni Mshauri wa Siasa wa Balozi wa Uingereza. Kati ya makosa makubwa, mabaya na very serious offenses ni racism, segregation, bullying and intimidation, yanachukuliwa very serious!.

Mtu yoyote akilalamika amakuwa segregated, au amefanyiwa bullying and intimidation, hatua ya kwanza ni huyo bully anasimamishwa kazi, inatumwa timu ya uchaguzi kutoka UK kuja kuchunguza!.

It's very unfortunately Tanzania, bullying and intimidation inafanywa na viongozi wetu, na hawafanywi chochote!.

Huko nyuma niliwahi kuzungumzia hizi bullying and intimidations Je, huu ni ufuatiliaji wa uwajibikaji au udhalilishaji kwa bullying na intimidation?.


Hiki kilichofanyika hapa ni bullying and intimidation!.


Hawa ma bullies wakiendelea kufanya bullying and intimidation na kuachiwa, wanaweza kugeuka ni ma sadist na kufanya sadisim kama huyu This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea?

Hitimisho
Natoa wito kwa serikali yetu, isiruhusu huu udhalilishaji wa bullying & Intimidation uendelee!. Mbona Rais Samia hafanyi udhalilishaji?. Hawa ma bullies na ma intimidators they should be put in their rightful places!

Paskali.

Pia soma:

Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya MaadilI ya CCM

Paul Makonda: Kiongozi Mzima Kujieleza Hujui, Mnapataje Hizi Nafasi?
Mimi Makonda nimemuelewa,
Jamaa angetoa sifa ya Barabara anazosimamia. Ni zile zenye tabia ipi. Yeye anasema Barabara zake ziko gazzeted, Sasa gazzeted lini hakuna anaejua.

Au ni kama vile yeye kakabidhiwa tu Barabara asizojijua?
 
Ila wabongo kiboko asee dah!

Leo hata wewe NJAA unasimama kwa ukali unamsema Magu?

Kweli mtu ukifa unakufa na yako yote. We si ulikuwa mmoja wa timu chawa pro wa kusifu na kuabudu kila kitu
Paskali huuma na kupuliza. Kamsifia sana jamaa huyu katika mada zake nyingi humu jamvini hata kufikia hatua kwamba anafaa kuwa Mkuu wa Nchi. Fikiria sasa ni Boss wa Mkoa tu. Je akipewa zaidi ya hapo mambo yatakuwaje?
 
Uwasilishaji wa mada yoyote ile kutoka kwa fanani kwenda kwa hadhira huwa ina sehemu muhimu kubwa tatu. za kuzingatia
1. Utangulizi
2. Maudhui makuu au "body"
3. Hitimisho

Ni vyema muwasilishaji angepewa muda wa kutosha ili aweze kumalizia kufanya wasilisho lake lote, kabla ya kuanza kumkatisha katisha na kumkosoa kwa kila sentensi ambayo aliyokuwa akiitoa.

Mwenye kikao ni kama alikuwa amemkamia, ama alikuwa anatuma ujumbe fulani kwa wasaidizi wake. Kikao chenye uwasilishaji wa ajenda mbalimbali ikiwemo ile ya TARURA, naamini kuna baadhi ya ufafanuzi angaliweza kuupata baada ya muwasilishaji kumaliza kuwasilisha kile chote ambacho alikiandaa.
 
Mimi Makonda nimemuelewa,
Jamaa angetoa sifa ya Barabara anazosimamia. Ni zile zenye tabia ipi. Yeye anasema Barabara zake ziko gazzeted, Sasa gazzeted lini hakuna anaejua.

Au ni kama vile yeye kakabidhiwa tu Barabara asizojijua?
Hapa nadhani kinachojadiliwa ni mwenendo wa utendaji kazi, zipo kanuni za utendaji kazi ambao haufanywi kimahakama. Mtindo huu si mtindo rasmi dhidi ya waajiriwa serikalini, ni mtindo wa kisiasa za kutafuta sifa tu.
 
Hapa nadhani kinachojadiliwa ni mwenendo wa utendaji kazi, zipo kanuni za utendaji kazi ambao haufanywi kimahakama. Mtindo huu si mtindo rasmi dhidi ya waajiriwa serikalini, ni mtindo wa kisiasa za kutafuta sifa tu.
Mtu unasema unasimamia Barabara,
Tuelezee Barabara unazosimamia wewe zina sifa zipi. Ili tunapoamua kukuuliza maswali tujue kabisa hizi zinakuhusu na hizi hazikuhusu.

Ukituambia wewe Barabara zako ziko gazzeted sisi hatujaona hilo gazette. Unless utuambie kua hata wewe mwenyewe hujui unasimamia Barabara gani.

Tuambie hata upana labda, au zenye changarawe au hata zinazopita mitaani. La sivyo tunaweza kukuuliza ukawa unatujibu kua haziko chini yako tukakosa majibu tarajiwa.

Na bahati mbaya au nzuri Makonda alimpa muongozo kabisa kwamba aelezee kazi zake katika muktadha upi. Lakini still bado jamaa hakumuelewa.

Watendaji wengi wa Serikali wanafanya kazi "Bora liende" sana.
 
Double standards juzi ukuona video ya ‘Jerry Slaa’ na ‘Alex Msama’ au? Ingekuwa Makonda ndio kafanya vile mngekuwa na kusema.

Sio muda mrefu kulikuwa ya video ya Mtatiro na mfanyakazi wa SHUWASA akimtolea lugha mbofu mbofu, matter of fact karibu kila kiongozi anafanya ivyo pale ambapo maelezo ya watendaji ayajanyooka. Ila Makonda tu ndio anaonekana.
 
Samia ndiyo nani? Kiongozi weak and ignorant ndiyo unaowataka Tanzania hii? Hatuhitaji viongozi waoga waoga wasio na uthubutu! Lazima watu wawajibike
 
Paschal umefanya kazi Serikalini na unajua jinsi watumishi wanavyofanya kazi kimazoea na kufunika uzembe.

Makonda yuko sahihi kwa staili hii ya kukabili uzembe kazini, unachofanya hapa ni kujaribu kulinda legacy ya uzembe wa kitaasisi, kitu ambacho CCM itakifanya muda si mrefu.

Acha Makonda awanyooshe! Ndicho tunachotaka.
 
Kwa maelezo yako hata Samia alimdhalilisha Bwana Ndugai basi.

Baada ya ile video akiponda ukopaji kusambaa,Ndugai alijitokeza na kuomba radhi hadharani halafu akaibuka muombwa radhi na kumshambulia muombaji publicly.

Hata wazo la kuachia ngazi lilimjia Ndugai baada ya kuchambwa hadharani tu.

Then 2024 Samia anajitokeza na kukubaliana na Ndugai kuwa serikali yake imekopa sana hapa nyuma.

Au hili utalisema siku Samia hayupo madarakani?
Ndugai for President

Vote Yes[✓]
 
Back
Top Bottom