Wito kwa Serikali yetu, Huu ni Udhalilishaji wa Bullying & Intimidation. Mbona Rais Samia Hadhalilishi? Tusiruhusu Udhalilishaji Huu Uendelee!

Wito kwa Serikali yetu, Huu ni Udhalilishaji wa Bullying & Intimidation. Mbona Rais Samia Hadhalilishi? Tusiruhusu Udhalilishaji Huu Uendelee!

Wanabodi,

Nimebahatika kufanya kazi na wazungu, niliajiriwa na Taasisi ya FCO ya Uingereza, nikiwa jijini New Delhi India, nikapostiwa Ubalozi wa Uingereza, Pretoria Africa Kusini, Lilongwe Malawi, Lusaka Zambia na mwisho nikatua Jiji Dar es Salaam nikiwa ni Mshauri wa Siasa wa Balozi wa Uingereza. Kati ya makosa makubwa, mabaya na very serious offenses ni racism, segregation, bullying and intimidation, yanachukuliwa very serious!.

Mtu yoyote akilalamika amakuwa segregated, au amefanyiwa bullying and intimidation, hatua ya kwanza ni huyo bully anasimamishwa kazi, inatumwa timu ya uchaguzi kutoka UK kuja kuchunguza!.

It's very unfortunately Tanzania, bullying and intimidation inafanywa na viongozi wetu, na hawafanywi chochote!.

Huko nyuma niliwahi kuzungumzia hizi bullying and intimidations Je, huu ni ufuatiliaji wa uwajibikaji au udhalilishaji kwa bullying na intimidation?.


Hiki kilichofanyika hapa ni bullying and intimidation!.


Hawa ma bullies wakiendelea kufanya bullying and intimidation na kuachiwa, wanaweza kugeuka ni ma sadist na kufanya sadisim kama huyu This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea?

Hitimisho
Natoa wito kwa serikali yetu, isiruhusu huu udhalilishaji wa bullying & Intimidation uendelee!. Mbona Rais Samia hafanyi udhalilishaji?. Hawa ma bullies na ma intimidators they should be put in their rightful places!

Paskali.

Pia soma:

Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya MaadilI ya CCM

Paul Makonda: Kiongozi Mzima Kujieleza Hujui, Mnapataje Hizi Nafasi?


Chawa keshamgeuka bocy wake
 
No,
mbona there is no bullying or intimidations over there mkuu 🐒

every responsible civil servant, with capacity or not, anywhere within or outside the country, must be fully responsible and very aware on their roles, duties and responsibilities.....

they must understand very well their job descriptions, they must be fully aware on the status of programs and projects within their areas of work etc.....

there is no room, no shortcut or escape root for irresponsible civil servant on duty to hide, as we move forward in transforming the country into prosperous economically , socially and political spheres of life 🐒

kumbradhi kwa hii lugha ya malkia nimetumia, lakini hata na hivyo tunasonga kwa haraka na biidii licha ya hizo setbacks kidogo kidogo, ila nia ni kuhakikisha tumepiga hatua Fulani na kuamsha uwajibikaji na umakini wa watendaji popote walipo 🐒

Unajua ulichoandika? Na hoja ya Pascal?
 
Kuna kitu wazungu hujifunza kuhusu tamaduni ngeni.

Mfano profesa Joseph L. Mbena anasema wazungu wamefundishwa kuhusu utamaduni (umuhimu wake ktk asili ya mtu) wasishangae wakiona mswahili amebeba jogoo ndani ya basi kwa kuwa mswahili naye hushangaa mzungu kupanda basi na mbwa wake
View attachment 2970602
Kuna vitu tunafanya wanakuangalia tu moyoni wanatamani wakuchapa mijeledi kama alivyofanya Jerumani kwa mababu zetu ili kuturudisha katika reli jinsi wanavyofikiria wao lakini wazungu hao wanarudi hatua moja nyuma na kukumbuka huyu jamaa mswahili fikra, mazoea na matendo yake yameathiriwa sana na tamaduni zake za asili za kiafrika tumuache kama alivyo.

Peasants of the Empire. Rural Schools and the Colonial Imaginary in 1930s French West Africa​

Harry Gamble


Ila mheshimiwa Paul Makonda anafanya kitu kinaitwa a big conversation / brainstorming yaani mkutano wa wazi kabisa na waswahili wenziwe ambao ungeweza kufanyika chini ya mwembe au ukumbi wa kisasa wa AICC ili kuweza kutafuta ufumbuzi wa changamoto za matatizo.

Kwa kujaribu kuongea kwa uwazi wapi tunakwama ili kutafuta 'kufahamiana' na kujenga fikra pia mtazamo mpya wa ushirikishwaji viongozi na umma tuwe tuna fikiria sawia kufikia malengo maana inaonekana viongozi na umma kila mmoja yupo ktk dunia yake tofauti na kwa namba hiyo ni ngumu kufikia malengo au matamanio kama jamii kubwa.

Dola yoyote kubwa kama ya China, Uingereza, USA, Japan, Byzantine, Ottoman, Greek Empires ziliweza kupiga hatua kwa kuwa na watu wenye uwezo wa kujiuliza wamekwama wapi kama jamii kubwa na nini kifanyike kama jamii moja.

Na ndiyo maana dola hizo zikaanzisha shule, madrasa, Sunday school n.k ili kuifinyanga akili ya watoto wa jamii yao kufikiri sawia kutatua matatizo na changamoto ktk dola zao. Shule za dola za kikweli nilizotaja hapo awali paragraph ya juu hutumia shule kama kifaa cha social engineering / kuondoa tofauti ya maono ili kwa umoja wao waweze kufikia malengo au utatuzi wa changamoto.


Paul Makonda anatumia njia hiyo hiyo ya elimu haina mwisho kwa kufanya mkutano wa wazi wote kujifunza ikiwamo yeye na kujaribu kufanya mapinduzi ya kifikra yanayokubalika kwa pamoja baada ya mjadala mpana ili mafanikio yapatikane.
Ni Prof Mbele, si Mbena
 
Wanabodi,

Nimebahatika kufanya kazi na wazungu, niliajiriwa na Taasisi ya FCO ya Uingereza, nikiwa jijini New Delhi India, nikapostiwa Ubalozi wa Uingereza, Pretoria Africa Kusini, Lilongwe Malawi, Lusaka Zambia na mwisho nikatua Jiji Dar es Salaam nikiwa ni Mshauri wa Siasa wa Balozi wa Uingereza. Kati ya makosa makubwa, mabaya na very serious offenses ni racism, segregation, bullying and intimidation, yanachukuliwa very serious!.

Mtu yoyote akilalamika amakuwa segregated, au amefanyiwa bullying and intimidation, hatua ya kwanza ni huyo bully anasimamishwa kazi, inatumwa timu ya uchaguzi kutoka UK kuja kuchunguza!.

It's very unfortunately Tanzania, bullying and intimidation inafanywa na viongozi wetu, na hawafanywi chochote!.

Huko nyuma niliwahi kuzungumzia hizi bullying and intimidations Je, huu ni ufuatiliaji wa uwajibikaji au udhalilishaji kwa bullying na intimidation?.


Hiki kilichofanyika hapa ni bullying and intimidation!.


Hawa ma bullies wakiendelea kufanya bullying and intimidation na kuachiwa, wanaweza kugeuka ni ma sadist na kufanya sadisim kama huyu This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea?

Hitimisho
Natoa wito kwa serikali yetu, isiruhusu huu udhalilishaji wa bullying & Intimidation uendelee!. Mbona Rais Samia hafanyi udhalilishaji?. Hawa ma bullies na ma intimidators they should be put in their rightful places!

Paskali.

Pia soma:

Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya MaadilI ya CCM

Paul Makonda: Kiongozi Mzima Kujieleza Hujui, Mnapataje Hizi Nafasi?
wewe Paskali ulishasema anafaa kuwa President huyu! hebu tema mate chini bana!

hizi aibu hizi hakuna anyezitaka!

Alikaa dar es salaam vhininya babayake Nduli yule mbona barabara hazikujengwa mji wote? zaidi ya flyover tu na barabara chachee! kungine ni mashimo ukisafiri unabeba na chakula njiani! kama jimbo la ukonga ni aibu
 
Wanabodi,

Nimebahatika kufanya kazi na wazungu, niliajiriwa na Taasisi ya FCO ya Uingereza, nikiwa jijini New Delhi India, nikapostiwa Ubalozi wa Uingereza, Pretoria Africa Kusini, Lilongwe Malawi, Lusaka Zambia na mwisho nikatua Jiji Dar es Salaam nikiwa ni Mshauri wa Siasa wa Balozi wa Uingereza. Kati ya makosa makubwa, mabaya na very serious offenses ni racism, segregation, bullying and intimidation, yanachukuliwa very serious!.

Mtu yoyote akilalamika amakuwa segregated, au amefanyiwa bullying and intimidation, hatua ya kwanza ni huyo bully anasimamishwa kazi, inatumwa timu ya uchaguzi kutoka UK kuja kuchunguza!.

It's very unfortunately Tanzania, bullying and intimidation inafanywa na viongozi wetu, na hawafanywi chochote!.

Huko nyuma niliwahi kuzungumzia hizi bullying and intimidations Je, huu ni ufuatiliaji wa uwajibikaji au udhalilishaji kwa bullying na intimidation?.


Hiki kilichofanyika hapa ni bullying and intimidation!.


Hawa ma bullies wakiendelea kufanya bullying and intimidation na kuachiwa, wanaweza kugeuka ni ma sadist na kufanya sadisim kama huyu This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea?

Hitimisho
Natoa wito kwa serikali yetu, isiruhusu huu udhalilishaji wa bullying & Intimidation uendelee!. Mbona Rais Samia hafanyi udhalilishaji?. Hawa ma bullies na ma intimidators they should be put in their rightful places!

Paskali.

Pia soma:

Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya MaadilI ya CCM

Paul Makonda: Kiongozi Mzima Kujieleza Hujui, Mnapataje Hizi Nafasi?
Wewe teuzi tushakupa ni MWANDISHI WA JAMII FORUM ....... DC WA WILAYA YA JAMII FORUM.....
Hata uandike vipi huji TEULIWA KOKOTE ZAIDI JAMII FORUM
 
Wanabodi,

Nimebahatika kufanya kazi na wazungu, niliajiriwa na Taasisi ya FCO ya Uingereza, nikiwa jijini New Delhi India, nikapostiwa Ubalozi wa Uingereza, Pretoria Africa Kusini, Lilongwe Malawi, Lusaka Zambia na mwisho nikatua Jiji Dar es Salaam nikiwa ni Mshauri wa Siasa wa Balozi wa Uingereza. Kati ya makosa makubwa, mabaya na very serious offenses ni racism, segregation, bullying and intimidation, yanachukuliwa very serious!.

Mtu yoyote akilalamika amakuwa segregated, au amefanyiwa bullying and intimidation, hatua ya kwanza ni huyo bully anasimamishwa kazi, inatumwa timu ya uchaguzi kutoka UK kuja kuchunguza!.

It's very unfortunately Tanzania, bullying and intimidation inafanywa na viongozi wetu, na hawafanywi chochote!.

Huko nyuma niliwahi kuzungumzia hizi bullying and intimidations Je, huu ni ufuatiliaji wa uwajibikaji au udhalilishaji kwa bullying na intimidation?.


Hiki kilichofanyika hapa ni bullying and intimidation!.


Hawa ma bullies wakiendelea kufanya bullying and intimidation na kuachiwa, wanaweza kugeuka ni ma sadist na kufanya sadisim kama huyu This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea?

Hitimisho
Natoa wito kwa serikali yetu, isiruhusu huu udhalilishaji wa bullying & Intimidation uendelee!. Mbona Rais Samia hafanyi udhalilishaji?. Hawa ma bullies na ma intimidators they should be put in their rightful places!

Paskali.

Pia soma:

Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya MaadilI ya CCM

Paul Makonda: Kiongozi Mzima Kujieleza Hujui, Mnapataje Hizi Nafasi?
Pascal Mayalla , yes tunategemea thinking kama hizi toka kwako! Hapa umeandiki sense tupu. Great Mayalla kwa hili!
 
Kuna kitu wazungu hujifunza kuhusu tamaduni ngeni.

Mfano profesa Joseph L. Mbena anasema wazungu wamefundishwa kuhusu utamaduni (umuhimu wake ktk asili ya mtu) wasishangae wakiona mswahili amebeba jogoo ndani ya basi kwa kuwa mswahili naye hushangaa mzungu kupanda basi na mbwa wake
View attachment 2970602
Kuna vitu tunafanya wanakuangalia tu moyoni wanatamani wakuchapa mijeledi kama alivyofanya Jerumani kwa mababu zetu ili kuturudisha katika reli jinsi wanavyofikiria wao lakini wazungu hao wanarudi hatua moja nyuma na kukumbuka huyu jamaa mswahili fikra, mazoea na matendo yake yameathiriwa sana na tamaduni zake za asili za kiafrika tumuache kama alivyo.

Peasants of the Empire. Rural Schools and the Colonial Imaginary in 1930s French West Africa​

Harry Gamble


Ila mheshimiwa Paul Makonda anafanya kitu kinaitwa a big conversation / brainstorming yaani mkutano wa wazi kabisa na waswahili wenziwe ambao ungeweza kufanyika chini ya mwembe au ukumbi wa kisasa wa AICC ili kuweza kutafuta ufumbuzi wa changamoto za matatizo.

Kwa kujaribu kuongea kwa uwazi wapi tunakwama ili kutafuta 'kufahamiana' na kujenga fikra pia mtazamo mpya wa ushirikishwaji viongozi na umma tuwe tuna fikiria sawia kufikia malengo maana inaonekana viongozi na umma kila mmoja yupo ktk dunia yake tofauti na kwa namba hiyo ni ngumu kufikia malengo au matamanio kama jamii kubwa.

Dola yoyote kubwa kama ya China, Uingereza, USA, Japan, Byzantine, Ottoman, Greek Empires ziliweza kupiga hatua kwa kuwa na watu wenye uwezo wa kujiuliza wamekwama wapi kama jamii kubwa na nini kifanyike kama jamii moja.

Na ndiyo maana dola hizo zikaanzisha shule, madrasa, Sunday school n.k ili kuifinyanga akili ya watoto wa jamii yao kufikiri sawia kutatua matatizo na changamoto ktk dola zao. Shule za dola za kikweli nilizotaja hapo awali paragraph ya juu hutumia shule kama kifaa cha social engineering / kuondoa tofauti ya maono ili kwa umoja wao waweze kufikia malengo au utatuzi wa changamoto.


Paul Makonda anatumia njia hiyo hiyo ya elimu haina mwisho kwa kufanya mkutano wa wazi wote kujifunza ikiwamo yeye na kujaribu kufanya mapinduzi ya kifikra yanayokubalika kwa pamoja baada ya mjadala mpana ili mafanikio yapatikane.

..mkutano ule nadhani hauna vigezo vya kuitwa mkutano wa wazi.

..pale kulikuwa na watu wako meza kuu na baadhi yao wana nguvu za dola nyuma yao.

..katika mazingira kama yale mwenye nguvu za dola na anayekaa meza kuu hoja zake hupitishwa hata kama ni za hovyo.
 
No,
mbona there is no bullying or intimidations over there mkuu 🐒

every responsible civil servant, with capacity or not, anywhere within or outside the country, must be fully responsible and very aware on their roles, duties and responsibilities.....

they must understand very well their job descriptions, they must be fully aware on the status of programs and projects within their areas of work etc.....

there is no room, no shortcut or escape root for irresponsible civil servant on duty to hide, as we move forward in transforming the country into prosperous economically , socially and political spheres of life 🐒

kumbradhi kwa hii lugha ya malkia nimetumia, lakini hata na hivyo tunasonga kwa haraka na biidii licha ya hizo setbacks kidogo kidogo, ila nia ni kuhakikisha tumepiga hatua Fulani na kuamsha uwajibikaji na umakini wa watendaji popote walipo 🐒
Mr. English,here we go.
I thought you understand the clear meaning of bullying or intimidation....if yes then as a leader you don't need to destroy ones' personality on any basis....whatsoever for any case.

From the video,that is far behind a direct attack and assault....
Kuna vikao vya kuwajibisha wataalam kama hao sio hivi vya wana siasa.

Bwana Tarura anajibu kitaalam , ndugu makonda anajibu kisiasa ....lazima tu watuchanganye.
 
Ila wabongo kiboko asee dah!

Leo hata wewe NJAA unasimama kwa ukali unamsema Magu?

Kweli mtu ukifa unakufa na yako yote. We si ulikuwa mmoja wa timu chawa pro wa kusifu na kuabudu kila kitu
Huyu hajielewi au itakuwa anatumika. Hivi ndivyo nchi ilivyotakiwa kubadilishwa
 
Did you watch the video clearly? I doubt if you did. I can also explain based on how do I term it as Intimidation and Bullying.

Publicly questioning and criticizing an employee's qualifications and duties, especially in front of others, can be humiliating and damaging to the employee's professional reputation. This type of public scrutiny can create a hostile work environment.

Also, the fact that the questioning is coming from a senior boss suggests a misuse of power dynamics. The boss's position of authority can intensify the impact of his actions, making the civil servant feel even more vulnerable and pressured.

He was asked about the type of roads he is responsible for, to which he correctly responded that he oversees the maintenance of gazetted roads. He clarified that his duties involve only the maintenance of these specific roads.

While the RC might have intended to inquire about the employee’s qualifications for transparency or clarification, the manner and setting of the questioning, especially if it seemed confrontational or derogatory contribute to it being perceived as bullying. The impact on the employee’s emotional and professional well-being is crucial in determining if an action constitutes bullying.

The Regional Commissioner appeared to be pressing him to provide an answer that aligned with his expectations. However, the civil servant remained composed and reiterated his initial response. This repetition is what the Regional Commissioner criticized as a failure to explain adequately.

Take in mind that the event being recorded and spreading through videos exacerbates situation, as it not only impacts the individual’s current workplace dynamics but also their broader professional image and self-esteem.

It is TOTALLY unacceptable.
Absolutely right from your point of view. Huna baya tajiri ukifa dhambi zako wagawiwe wakuria wote.
 
Hizo ndio khulka za watu wa hii nchi, cha ajabu wengi hapa watakuja na watakushangaa wewe. Kudhalilishana wao wanaona ni jambo lakawaida sana
Wewe unaona sawa kiongozi anaulozwa kuhusu Halmashauri yake, hata taarifa anajiumauma tu. Lazima atumbuliwe. Hii style ndo ilifaa sana coz viongozi walijisahau na kutowajibika
 
Mr. English,here we go.
I thought you understand the clear meaning of bullying or intimidation....if yes then as a leader you don't need to destroy ones' personality on any basis....whatsoever for any case.

From the video,that is far behind a direct attack and assault....
Kuna vikao vya kuwajibisha wataalam kama hao sio hivi vya wana siasa.

Bwana Tarura anajibu kitaalam , ndugu makonda anajibu kisiasa ....lazima tu watuchanganye.
then where is the sense of bullying coming from, if the gentleman anajibu kitaalamu? can mtaalamu be bulled or intimidated by none mtaalamu na akawa confused?🐒

able civil servant, who is responsible for anything, anywhere, must take ownership, control and authority over every activities delegated to them. and effectively with efficiency be aware on the status over it, and be ready to explain and communicate it at any time to the publics, through members of press or whatever 🐒

understanding what is bullying or intimidations remains at your own perceptions and definition freely 🐒
 
Unajua ulichoandika? Na hoja ya Pascal?
ndugu mwanainchi,
unaniuliza tena mimi niliekwisha toa maoni yangu?🐒

swali lako kwangu, si ndio bullying na intimidations tunayoongelea hapa 🤣

mimi nimewajibika kutoa maelezo yangu huru kadiri nionavyo, wewe una hoji bila kuelezea yako kwa angle yako. si useme tu unaunga mkono hoja ya mtoa hoja 🐒
 
Project hazikamiliki kwa sababu ya hao wanasiasa,na wala sio hao watendaji..
na for your information projects hazikamiliki kwa katiba pia.

we need responsible, accountable, committed and able civil servant to plan, organize and supervise the implementation of development programs and projects, effectively and efficiently in regards of laws, quality and value for money. Full stop 🐒
 
Wanabodi,
Nimebahatika kufanya kazi na wazungu, niliajiriwa na Taasisi ya FCO ya Uingereza, nikiwa jijini New Delhi India, nikapostiwa Ubalozi wa Uingereza, Pretoria Africa Kusini, Lilongwe Malawi, Lusaka Zambia na mwisho nikatua Jiji Dar es Salaam nikiwa ni Mshauri wa Siasa wa Balozi wa Uingereza. Kati ya makosa makubwa, mabaya na very serious offenses ni racism, segregation, bullying and intimidation, yanachukuliwa very serious!. Mtu yoyote akilalamika amakuwa segregated, au amefanyiwa bullying and intimidation, hatua ya kwanza ni huyo bully anasimamishwa kazi, inatumwa timu ya uchaguzi kutoka UK kuja kuchunguza!.

It's very unfortunately Tanzania, bullying and intimidation inafanywa na viongozi wetu, na hawafanywi chochote!.

Huko nyuma niliwahi kuzungumzia hizi bullying and intimidations Je, huu ni ufuatiliaji wa uwajibikaji au udhalilishaji kwa bullying na intimidation?.


Hiki kilichofanyika hapa ni bullying and intimidation!.


Hawa ma bullies wakiendelea kufanya bullying and intimidation na kuachiwa, wanaweza kugeuka ni ma sadist na kufanya sadisim kama huyu This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea?

Hitimisho
Natoa wito kwa serikali yetu, isiruhusu huu udhalilishaji wa bullying & Intimidation uendelee!. Mbona Rais Samia hafanyi udhalilishaji?. Hawa ma bullies na ma intimidators they should be put in their rightful places!

Paskali.
Mkuu sisi tusha sema ukwa unaona kama tuna chuki na huyu ndugu yako. Huyu jamaa frustrations zake
Wanabodi,

Nimebahatika kufanya kazi na wazungu, niliajiriwa na Taasisi ya FCO ya Uingereza, nikiwa jijini New Delhi India, nikapostiwa Ubalozi wa Uingereza, Pretoria Africa Kusini, Lilongwe Malawi, Lusaka Zambia na mwisho nikatua Jiji Dar es Salaam nikiwa ni Mshauri wa Siasa wa Balozi wa Uingereza. Kati ya makosa makubwa, mabaya na very serious offenses ni racism, segregation, bullying and intimidation, yanachukuliwa very serious!.

Mtu yoyote akilalamika amakuwa segregated, au amefanyiwa bullying and intimidation, hatua ya kwanza ni huyo bully anasimamishwa kazi, inatumwa timu ya uchaguzi kutoka UK kuja kuchunguza!.

It's very unfortunately Tanzania, bullying and intimidation inafanywa na viongozi wetu, na hawafanywi chochote!.

Huko nyuma niliwahi kuzungumzia hizi bullying and intimidations Je, huu ni ufuatiliaji wa uwajibikaji au udhalilishaji kwa bullying na intimidation?.


Hiki kilichofanyika hapa ni bullying and intimidation!.


Hawa ma bullies wakiendelea kufanya bullying and intimidation na kuachiwa, wanaweza kugeuka ni ma sadist na kufanya sadisim kama huyu This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea?

Hitimisho
Natoa wito kwa serikali yetu, isiruhusu huu udhalilishaji wa bullying & Intimidation uendelee!. Mbona Rais Samia hafanyi udhalilishaji?. Hawa ma bullies na ma intimidators they should be put in their rightful places!

Paskali.

Pia soma:

Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya MaadilI ya CCM

Paul Makonda: Kiongozi Mzima Kujieleza Hujui, Mnapataje Hizi Nafasi?
📝👌👍👏🤝👊🙏🆒
 
makonda alimdhalilishaga piere likwid pale mlimani city, akimuita mtu wa hovyo hovyo, niliyaona maumivu ya piere wakat wa ule udhalilishaji, na makonda alimdhalilisha piere kisa tu alihisi piere anapata umaarufu kwa kasi sana. sasa kama rc mzima unaweza mdhalilisha petty comedian kama piere hadharani we ni kiongozi au takataka tu? kuhusu chongolo Chakaza kaweka na clip kabisa

baada ya hapo piere alipewa nafasi ya kusafiri na wabunge kwenda misri kama sijakosea kama sehemu ya wahamasishaji (pm ndo aliomba hyo nafasi), (hli jambo pia lilimuudhi kocha fulani na akaongea shombo kuhusu piere)

hv piere aliishiaga wapi wajameni?
Piere alikiwa mtu wa hovyo kweli kweli wala hilo halina ubishi!
 
Katiba mpya itatusaidia kuweka ukomo kwa mamlaka za hawa wanasiasa. Na pia tutaondokana na huu mfumo wa kuwa na wakuu wa mikoa,na wilaya.
Yaani katika hali ya kawaida,kwa jinsi makonda alivyokuwa anataka hao wakurugenzi waongee,inaonekana wazi kuwa anafanya siasa,anafanya kampeni..
Kwa ufupi hicho kikao hakina tija.kuna vikao vya baraza la madiwani,kazi yake ni nini?
kwamba muwakilishi wa Rais eneo husika asimuwakilishe Rais kwenda kukagua mipango na miradi ya kimkakati katika eneo mahalia mpaka Rais mwenyewe au hiyo Katiba imkataze hata Rais kwenda kukagua miradi hata kama imeborongwa basi iachwe hivyo hivyo, right?

kuna siasa gani na kampeni ya nini?

unahoji kazi za baraza la madiwani ni nini tena, si uelezee kisha uelekezwa 🤣
 
Back
Top Bottom