Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Wanahofia aibu pale kundi fulani litapotawaliwa na shule za serikali tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo haliwezekani, shule za binafsi zilivyoruhusiwa tayari serikali ilikuwa imebinafsisha je mpaka leo shule za binafsi zinatosha kwa wanafunzi wote? je kuna aliyekatazwa kujenga shule?Kwa kifupi serikali haiwezi tena kusimamia huduma ya kijamii.. ..wafanye kitu kimoja wabaki na shule chache, wabinafishe idara ya Elimu ili ibaki biashara. Na wenyewe wabaki na shule wanazo weza ku-afford
Then wenyewe wabaki kama wasimamizi..tu. Hii itafanya shule, ziwe na ushindani mkubwa....