Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
He is doing what he can.Kaijage ametia aibu sana,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
He is doing what he can.Kaijage ametia aibu sana,
Huyo Lissu mwenyewe amepiga kura leo?
Dawa ni kususia chaguzi zote.2019 si upinzani ulisusia uchaguzi ule baada ya wagombea wao wengi kuenguliwa kihuni? Kipi kilitokea?
Wangeamua kususia huu uhuni na wizi wa hali ya juu tungeujuaje? Dunia ingeujuaje?
Unadhani kwanini Mkapa alitaka iwepo tume huru ya uchaguzi?
Kwa hiyo?Ni sawa na kumsusia mifupa fisi!
Haahaa huu ushahidi utunzwe, usambazwe duni nzimaaaViroba vya kura!View attachment 1614826
Huyo Lissu mwenyewe amepiga kura leo?
Ni nani aliwadanganya kila msimu mtu anatakiwa kujiandikisha?!Apige kwani alijiandikisha kupiga kura?
Sijui.Ni nani aliwadanganya kila msimu mtu anatakiwa kujiandikisha?!
Ufutwe kwani mlivyokua mnapiga kelele mlidhani uchaguzi utasimamiwa na amstadamu tulieni matokeo yaanze kutolewa andaeni povu la kufua nguo za makamanda wote bongoKupitia akaunti ya twitter ya Tundu Lissu,nimeona video(bila shaka ni huko Kawe, Dar-es-salaam) inayoonyesha rundo la kura feki huku Polisi wakishirikishwa kuzitambua/kushuhudia karatasi hizo za kura ambazo zimepigiwa kura mgombea wa CCM...
Natamani mngekuwa mnasikiliza na akili kama mnavyosema labda mngeweza kuwashinda CCM. Siku mbili zijazo mtashangaa sana.Billions za pesa za walipa kodi wamezitumia hawa wahuni kufanya hiki kituko cha hali ya juu ili tu kuiba chaguzi kwa haya maccm ambayo yamechokwa na Watanzania kila kona Nchini lakini kwa uroho wao wa madaraka yanatumia tumeccm/tume FAKE na polisiccm ili kuiba chaguzi kila mara. Sasa basi imetosha Charles Wilson Mahera na Kaijage na tume yetu wajiuzulu haraka sana na ikiwezekana wafunguliwe mashtaka kwa kuvuruga uchaguzi kwa makusudi.
Matokeo hayapo mbali sana tuoneKila jambo lenye mwanzo halikosi mwisho. Naona mwisho wa ccm na mafisadi wake ni mbaya sana.
Yaan hawajiamini hata kidogo nimeamini ccm haijawahi kushinda kwa halali ni mafisadi kama kura wanaiba kiasi hicho vp rasimali zetu si wanajichotea tu....Yani pamoja na kujenga fly over ,kununua mandege, na mabarabara lakini bado mnakuwa wezi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio siri ya kuwambia watu wakipiga kura warudi nyumbani..kweli kabisa nimeshangaa kuona maaskari na wasimamizi wote wana mabegi wanasubiri kuweka kura feki tukiondoka