Ni hivi:
Mimi ningependa kuona wapinzani wanasusia chaguzi zote, za ngazi zote.
Wanayo sababu ya msingi kabisa kufanya hivyo.
Wakisusia hizo chaguzi halafu CCM wajipe ushindi, so be it.
We’ve been there before.
Toka mwaka 1965 hadi 1995, nchi hii ilikuwa nchi ya chama kimoja.
Kila kitu kilianzia na kuishia na CCM.
And guess what? We survived it.
Naamini kabisa tunaweza kabisa ku survive kipindi kingine ikiwa lengo ni kudai mazingira bora yenye kutoa haki na fursa sawa kwa washindani wote.
CCM wakisusiwa, na wao wakiamua kujipa ushindi wa mezani, watakosa uhalali mbele ya wananchi na hata mbele ya jumuia za kimataifa kwa sababu, sababu za kususia chaguzi za maigizo zina mashiko.
Hivyo, kama tuli-survive miaka 30 ya chama kimoja, sioni kabisa kwa tusiweze ku survive kipindi kingine.
Acha CCM wajipe hata ushindi wa asilimia 500!
Mimi sioni kabisa mantiki ya kushiriki chaguzi ambazo mtu unajua kabisa ni zoezi la kuwapa tu uhalali CCM.
Who is going to blame you for boycotting sham elections?
Boycotting sham elections is about courage, convictions, and principles. It’s about honor.
Taking part in sham elections is about fear. Fear of your opponent taking it all.
Im not down with fear. Not now, not ever.
However, I’m down with the courage of my convictions.
Boycott these sham elections.