Uchaguzi 2020 Wito: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi na timu yake yote wajiuzulu

Uchaguzi 2020 Wito: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi na timu yake yote wajiuzulu

Hadi hapa huu uchaguzi ni invalid, tunarudia, hatukubali matokeo yoyote yale, kura zimekamatwa kibao je ambazo zishapitishwa ni ngapi? na majimbo mangapi?

Huu uchaguzi tushau-cancel tunarudia mwingine tukiwa na tume huru sio hii ya sasa hivi.
 
Hajapiga, haya ni maajabu, mimi sijawahi kusikia kwamba Mgombea Uraisi hajipigii kura halafu anawaambia wengine wajitokeze kumpigia kura? Huyu jamaa tundu kichwani hazimtoshi aisee, ...
Nyie mnaosema lissu hajapiga kura mna uhakika?.... kwahiyo hapo alikuwa anatalii ety??
Screenshot_20201028-170955.jpg
 
Kila uchaguzi mambo yaleyale yanajirudia kila upande(state na opposition)hawachukui hatua.

Hapa wakulaumiwa ni wote,sio tume ya uchaguzi tu
Opposition hawachukui hatua zipi ?

Sisi opposition tumefanya mengi sana na tumeumizwa sana.

Wananchi mmeshindwa kumalizia tunapoishia uchaguzi huu bila wakala kituoni ni disaster nyinyi mmepiga kura mawakala wetu wanaondolewa vituoni na polisi hamchukui hatua yoyote sisi mnataka tuwafanyie nini kingine ?
 
Hiyo si solution dhidi ya hawa wahuni wa ccm. Hawajali maslahi ya Nchi hawa zaidi ya maslahi yao binafsi.

Maccm yanajua fika hayapendwi na yamechokwa na asilimia kubwa ya Watanzania ndiyo sababu yanahofia chaguzi huru na za haki kwa kujua kwamba ndiyo itakuwa kaburi lao

Baada ya huu uhuni wao mimi naona vikwazo vya kiuchumi labda vinaweza kutusaidia ili kuwatia adabu hawa wahuni wasiwe na jinsi zaidi ya kukubali uwepo wa katiba mpya na tume huru ya Uchaguzi ili kuhakikisha chaguzi zetu ni HURU na za HAKI.

Kama Nchi nyingi za Afrika wapinzani wanashinda na kuingia madarakani bila machafuko yoyote sioni kwanini hilo lishindikane kwenye Nchi yetu. Tanzania bila maccm INAWEZEKANA KABISA.
Ni hivi:


Mimi ningependa kuona wapinzani wanasusia chaguzi zote, za ngazi zote.

Wanayo sababu ya msingi kabisa kufanya hivyo.

Wakisusia hizo chaguzi halafu CCM wajipe ushindi, so be it.

We’ve been there before.

Toka mwaka 1965 hadi 1995, nchi hii ilikuwa nchi ya chama kimoja.

Kila kitu kilianzia na kuishia na CCM.

And guess what? We survived it.

Naamini kabisa tunaweza kabisa ku survive kipindi kingine ikiwa lengo ni kudai mazingira bora yenye kutoa haki na fursa sawa kwa washindani wote.

CCM wakisusiwa, na wao wakiamua kujipa ushindi wa mezani, watakosa uhalali mbele ya wananchi na hata mbele ya jumuia za kimataifa kwa sababu, sababu za kususia chaguzi za maigizo zina mashiko.

Hivyo, kama tuli-survive miaka 30 ya chama kimoja, sioni kabisa kwa tusiweze ku survive kipindi kingine.

Acha CCM wajipe hata ushindi wa asilimia 500!

Mimi sioni kabisa mantiki ya kushiriki chaguzi ambazo mtu unajua kabisa ni zoezi la kuwapa tu uhalali CCM.

Who is going to blame you for boycotting sham elections?

Boycotting sham elections is about courage, convictions, and principles. It’s about honor.

Taking part in sham elections is about fear. Fear of your opponent taking it all.

Im not down with fear. Not now, not ever.

However, I’m down with the courage of my convictions.

Boycott these sham elections.
 
Hiyo si solution dhidi ya hawa wahuni wa ccm. Hawajali maslahi ya Nchi hawa zaidi ya maslahi yao binafsi.

Maccm yanajua fika hayapendwi na yamechokwa na asilimia kubwa ya Watanzania ndiyo sababu yanahofia chaguzi huru na za haki kwa kujua kwamba ndiyo itakuwa kaburi lao

Baada ya huu uhuni wao mimi naona vikwazo vya kiuchumi labda vinaweza kutusaidia ili kuwatia adabu hawa wahuni wasiwe na jinsi zaidi ya kukubali uwepo wa katiba mpya na tume huru ya Uchaguzi ili kuhakikisha chaguzi zetu ni HURU na za HAKI.

Kama Nchi nyingi za Afrika wapinzani wanashinda na kuingia madarakani bila machafuko yoyote sioni kwanini hilo lishindikane kwenye Nchi yetu. Tanzania bila maccm INAWEZEKANA KABISA.
So solution ni kushiriki chaguzi za maigizo?

Haya sawa.

Kila siku mkipigwa kwenye sanduku la kura mtaendelea kulialia kama mnavyolia sasa hivi.

Endeleeni kuwapa uhalali CCM.
 
Weka ushahidi hapa Tundu Lisu akipiga kura kama ilivyo kawaida kwa Wagombea wote Duniani, weka ushahidi tu, its eaaasy , ...

Kwa hiyo hujaona ushahidi niliokuwekea?
Au hujaona kutoka kwa wengine walioku quote?
IMG_2184.jpg

IMG_2183.jpg

Haya hizo picha ni za nani, akiwa anafanya nini na wapi!?
Naona ulivyopandwa na hasira, hadi kukukaba kooni!
Umefeli na hako kapropaganda kako uchwara!
Haya anzisha propaganda nyingine kuwa mgombea Urais ataendaje kupiga kura akiwa kavaa jinsi na kofia basi!
 
Hiyo si solution dhidi ya hawa wahuni wa ccm. Hawajali maslahi ya Nchi hawa zaidi ya maslahi yao binafsi.

Maccm yanajua fika hayapendwi na yamechokwa na asilimia kubwa ya Watanzania ndiyo sababu yanahofia chaguzi huru na za haki kwa kujua kwamba ndiyo itakuwa kaburi lao

Baada ya huu uhuni wao mimi naona vikwazo vya kiuchumi labda vinaweza kutusaidia ili kuwatia adabu hawa wahuni wasiwe na jinsi zaidi ya kukubali uwepo wa katiba mpya na tume huru ya Uchaguzi ili kuhakikisha chaguzi zetu ni HURU na za HAKI.

Kama Nchi nyingi za Afrika wapinzani wanashinda na kuingia madarakani bila machafuko yoyote sioni kwanini hilo lishindikane kwenye Nchi yetu. Tanzania bila maccm INAWEZEKANA KABISA.

Zito na Tundu walishazunguka duniani kuomba pia sijui walifanikiwa kwa asilimia ngapi

Ila kama wewe pamoja na wazazi wako, shangazi zako, wajomba zako, bibi zako, babu zako, ndugu zako wote wako nje ya Tanzania kazia hapohapo wawekewe vikwazo maana hutafikwa na msiba
 
Solution kwa sasa baada ya huu uhuni ni kuwepo kwa Serikali ya maridhano au mpito ili kupata Katiba mpya na tume huru ya Uchaguzi ili uchaguzi urudiwe haraka iwezekanavyo ndani ya miezi sita au 12. Haiwezekani basi vikwazo vya kiuchumi vinatuhusu.
So solution ni kushiriki chaguzi za maigizo?

Haya sawa.

Kila siku mkipigwa kwenye sanduku la kura mtaendelea kulialia kama mnavyolia sasa hivi.

Endeleeni kuwapa uhalali CCM.
 
Hebu acha kuwahusisha watu wangu taahira wewe! Hunijui sikujui!
Zito na Tundu walishazunguka duniani kuomba pia sijui walifanikiwa kwa asilimia ngapi
Ila kama wewe pamoja na wazazi wako, shangazi zako, wajomba zako, bibi zako, babu zako, ndugu zako wote wako nje ya Tanzania kazia hapohapo wawekewe vikwazo maana hutafikwa na msiba
 
Opposition hawachukui hatua zipi ?

Sisi opposition tumefanya mengi sana na tumeumizwa sana.

Wananchi mmeshindwa kumalizia tunapoishia uchaguzi huu bila wakala kituoni ni disaster nyinyi mmepiga kura mawakala wetu wanaondolewa vituoni na polisi hamchukui hatua yoyote sisi mnataka tuwafanyie nini kingine ?
Tiba ya hayo yote ni katiba mpya.opposition,wananchi Na serikali hawajafanya vya kutosha kudai/kusaidia upatikanaji wake

Nani mwenye copyright ya katiba?
 
Solution kwa sasa baada ya huu uhuni ni kuwepo kwa Serikali ya maridhano au mpito ili kupata Katiba mpya na tume huru ya Uchaguzi ili uchaguzi urudiwe haraka iwezekanavyo ndani ya miezi sita au 12. Haiwezekani basi vikwazo vya kiuchumi vinatuhusu.
Endelea kuota!

2025 mtashiriki tena uchaguzi mkuu katika mazingira haya haya halafu mkipigwa kwenye sanduku la kura, mtarudia vilio vilevile.
 
Zito na Tundu walishazunguka duniani kuomba pia sijui walifanikiwa kwa asilimia ngapi
Ila kama wewe pamoja na wazazi wako, shangazi zako, wajomba zako, bibi zako, babu zako, ndugu zako wote wako nje ya Tanzania kazia hapohapo wawekewe vikwazo maana hutafikwa na msiba
Hawa wapinzani wa Tanzania hawaambiliki!

Ni sikio la kufa.
 
Back
Top Bottom