Wako mtiifu!!View attachment 1614822
Mbona hawa jamaa wanafanana? Inaelekea wana asili ya katoka sehemu moja!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wako mtiifu!!View attachment 1614822
kweli kabisa nimeshangaa kuona maaskari na wasimamizi wote wana mabegi wanasubiri kuweka kura feki tukiondoka
Naunga mkono hoja, natamani ningekuwa Tanzania.Baada ya uchaguzi huu hawa watendaji wa tume waanze kushikishwa adabu mmoja mmoja kimya kimya
Changamoto ni kwamba vipo vyama vibaraka zaidi ya 10. Upinzani halisi ukisusa,upinzani mamluki uta cover gap. Hivyo unachokikusudia kionekane na kutokea kwa njia hiyo hakitatokea.Ni hivi:
Mimi ningependa kuona wapinzani wanasusia chaguzi zote, za ngazi zote...
Vikwazo kawekewe wewe na ukoo wako..Tuliwaambia uchaguzi sio mihemko yenu ya kuropokaropoka haya angalieni mnalialia.Solution kwa sasa baada ya huu uhuni ni kuwepo kwa Serikali ya maridhano au mpito ili kupata Katiba mpya na tume huru ya Uchaguzi ili uchaguzi urudiwe haraka iwezekanavyo ndani ya miezi sita au 12. Haiwezekani basi vikwazo vya kiuchumi vinatuhusu.
Endelea kuota!
2025 mtashiriki tena uchaguzi mkuu katika mazingira haya haya halafu mkipigwa kwenye sanduku la kura, mtarudia vilio vilevile.
Vile vyama vya msimu kumi na ngapi vile, vinavyopewa pesa na ccm vitajitokeza na kushiriki uchaguzi kama vyama vikubwa vitasusia, na kwa hivyo kususia hakutasaidia.Dawa ni kususia chaguzi zote.
Kususia huko ndo kuta highlight upumbavu uliopo.
Kuendelea kushiriki chaguzi ambazo mnajua kabisa hazina mazingira yaliyo sawa kwa washiriki wote, ni uwendawazimu.
Anywho, endeleeni kushiriki na endeleeni kuwapa uhalali CCM.
Pia, endeleeni kulialia kuwa hakuna tume huru ilhali mnajua kabisa hatma yenu.
Huyo Mkapa angeyasema hayo ya tume huru ya uchaguzi kabla ya 1995, basi ningemwona wa maana sana.
Lakini kusema hivyo 2019 baada ya yeye kunufaika na hiyo hiyo tume isiyo huru, ni unafiki tu. 1995 na 2000 hakujua kuwa tume yetu ya uchaguzi si huru?
Hata Afrika Kusini enzi za utawala wa makaburu, mamluki walikuwepo waliokuwa wakifanya kazi na hao makaburu.Changamoto ni kwamba vipo vyama vibaraka zaidi ya 10. Upinzani halisi ukisusa,upinzani mamluki uta cover gap. Hovyo unachokikusudia kionekane na kutokea kwa njia hiyo hakitatokea.
Tusubiri matokeo sasa.
Tusubiri matokeo sasa.Amepiga .. akiwa Singida
Hawa watapandishwa vyeo wote. Maana wanachokifanya wamepewa maelekezo. Ili uchaguzi ufutwe labda itokee fujo na jumuiya ya kimataifa iingilie.Kupitia akaunti ya twitter ya Tundu Lissu,nimeona video(bila shaka ni huko Kawe, Dar-es-salaam) inayoonyesha rundo la kura zinazidaiwa kuwa ni feki huku Polisi wakishirikishwa kuzitambua/kushuhudia karatasi hizo za kura ambazo zimepigiwa kura mgombea wa CCM...
Hata sijui.Aligombea kujipigia kura?
Tusubiri matokeo sasa.
So?Vile vyama vya msimu kumi na ngapi vile, vinavyopewa pesa na ccm vitajitokeza na kushiriki uchaguzi kama vyama vikubwa vitasusia, na kwa hivyo kususia hakutasaidia.
Hawa wapinzani wa Tanzania hawaambiliki!
Ni sikio la kufa.
Endelea kuota!
2025 mtashiriki tena uchaguzi mkuu katika mazingira haya haya halafu mkipigwa kwenye sanduku la kura, mtarudia vilio vilevile.
Tusubiri matokeo sasa.
Hujuwi nini?Hata sijui.