Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
![]()
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage amesema Tume hiyo haijapokea taarifa za uwepo wa kura feki katika majimbo ya Kawe, Pangani na Kigoma.
Amewataka wananchi kuendelea kujitokeza kupiga kura katika muda huu mchache.
Chanzo: Millard Ayo.
Dawa ni kususia chaguzi zote.
Kususia huko ndo kuta highlight upumbavu uliopo.
Kuendelea kushiriki chaguzi ambazo mnajua kabisa hazina mazingira yaliyo sawa kwa washiriki wote, ni uwendawazimu.
Anywho, endeleeni kushiriki na endeleeni kuwapa uhalali CCM.
Pia, endeleeni kulialia kuwa hakuna tume huru ilhali mnajua kabisa hatma yenu.
Huyo Mkapa angeyasema hayo ya tume huru ya uchaguzi kabla ya 1995, basi ningemwona wa maana sana.
Lakini kusema hivyo 2019 baada ya yeye kunufaika na hiyo hiyo tume isiyo huru, ni unafiki tu. 1995 na 2000 hakujua kuwa tume yetu ya uchaguzi si huru?
kiroba kilidondoka🤔Viroba vya kura!View attachment 1614826
Huyo Lissu mwenyewe amepiga kura leo?
Mapichapicha hayatawasaidia
Huyo Lissu mwenyewe amepiga kura leo?
Huyo Lissu mwenyewe amepiga kura leo?
Basi walaumu wapinzani kwa ujinga wao2019 si upinzani ulisusia uchaguzi ule wa Mitaa baada ya wagombea wao wengi kuenguliwa kihuni? Kipi kilitokea?
Wangeamua kususia huu uhuni na wizi wa hali ya juu tungeujuaje? Dunia ingeujuaje?
Unadhani kwanini Mkapa alitaka iwepo tume huru ya uchaguzi?
View attachment 1614828
Tuonyeshe hiyo video ya tweeter ikionyesha hao polisi wakihakiki hizo karatasi, msije kua ni mkatengeza karatasi zilizopigwa kura kutaka kuaminisha watu kua uchaguzi haukua fair, mlichoma ofisi yenu hili litawashindaje?, Kubalini tu matokeo, hii janja haiwasaidia kamweKupitia akaunti ya twitter ya Tundu Lissu,nimeona video(bila shaka ni huko Kawe, Dar-es-salaam) inayoonyesha rundo la kura zinazidaiwa kuwa ni feki huku Polisi wakishirikishwa kuzitambua/kushuhudia karatasi hizo za kura ambazo zimepigiwa kura mgombea wa CCM.
Video hii ni tofauti na ile inayoonyesha wananchi wakichoma moto kura walizozikamata.
Ukiacha huko Kawe, kuna video nyingine mtandaoni(twitter), inaonyesha wananchi(mkoani Kigoma) wakivamia kituo cha kupigia kura baada ya kubaini uwepo wa kura feki kwenye mfuko huku mwenye mfuko akigoma kuutoa /kukaguliwa na kusababisha vurugu kituoni hapo.
Kwakuwa hali hii inaripotiwa katika maeneo mengi nchini ,ni wazi Tume ya Uchaguzi imeshindwa kutimiza wajibu wake na hivyo inapaswa kujiuzulu yote kuanzia mwenyekiti,mkurugenzi na watendaji wengine wote waliohusika kusimamia huu uchaguzi.
Mwisho, uchaguzi huu wote ufutwe.
Mkuu japo tunakinzana ki ideology you have my respectHe is doing what he can.
Huyo Lissu mwenyewe amepiga kura leo?
Weka ushahidi hapa Tundu Lisu akipiga kura kama ilivyo kawaida kwa Wagombea wote Duniani, weka ushahidi tu, its eaaasy , ...
Kama hakujiandika sasa alikuwa anagombea nini?
Sasa Mama D kama Lorry limejaa sana viroba vya kura fake si lazima vingine vitadondoka tu?kiroba kilidondoka[emoji848]
Babako huyu?View attachment 1614902
Na nilazima tume yote mpaka ngazi ya Jimbo warudishe pesa yote ya uchaguzi ni Kama pesa umetumika bureKupitia akaunti ya twitter ya Tundu Lissu,nimeona video(bila shaka ni huko Kawe, Dar-es-salaam) inayoonyesha rundo la kura zinazidaiwa kuwa ni feki huku Polisi wakishirikishwa kuzitambua/kushuhudia karatasi hizo za kura ambazo zimepigiwa kura mgombea wa CCM.
Video hii ni tofauti na ile inayoonyesha wananchi wakichoma moto kura walizozikamata.
Ukiacha huko Kawe, kuna video nyingine mtandaoni(twitter), inaonyesha wananchi(mkoani Kigoma) wakivamia kituo cha kupigia kura baada ya kubaini uwepo wa kura feki kwenye mfuko huku mwenye mfuko akigoma kuutoa /kukaguliwa na kusababisha vurugu kituoni hapo.
Kwakuwa hali hii inaripotiwa katika maeneo mengi nchini ,ni wazi Tume ya Uchaguzi imeshindwa kutimiza wajibu wake na hivyo inapaswa kujiuzulu yote kuanzia mwenyekiti,mkurugenzi na watendaji wengine wote waliohusika kusimamia huu uchaguzi.
Mwisho, uchaguzi huu wote ufutwe.
Kwa hiyo?
Ni hivi:Hujajibu swali kuhusu uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka jana ambao ulisusiwa na wapinzani baada ya 98% ya wagombea wao kuenguliwa. Maccm bila woga wala aibu yakajipa ushindi wa bila kupingwa Nchi nzima. Nini kingewafanya washindwe kujipa ushindi mwingine Nchi nzima wa bila kupingwa kwa miaka mingine mitano kama upinzani ungesusia uchaguzi?
Wapinzani waliliona hilo na mimi nawapongeza sana kushiriki kwani wameweza kuionyesha dunia jinsi ambavyo chaguzi zetu zilivyojaa wizi, vitisho na kukosa uhuru na haki kwa wapiga kura kuchagua viongozi wawatakao.