Maalim Seif alisusia uchaguzi wa Zanzibar lakini Hamad Rashid wa chama cha ADC akashiriki na kuhalalisha uchaguzi ule. Vipo vyama tumeviona hata uchaguzi huu vinakauli za kuonesha kuwa pengine ni CCM BsSo?
Si ndo vizuri sasa kujua nani ni nani?
Au....?
Umeng’ng’ania Mkapa Mkapa! Huyo MkapaWewe unadhani ni kuota lakini Nchi kuendeshwa kidikteta matokeo yake ndiyo haya. Mkapa aliona mbali na ndiyo sababu bila aibu wala woga akataka kuwepo kwa wa Tume HURU lakini hakuna hata mmoja katika Wastaafu, walio ndani ya maccm au Serikali waliomuunga mkono.
Bado sijaona mbadala wa kususia chaguzi za maigizo.Nchi haina maendeleo ya kweli kwani vipaumbele vya Watanzania vinadharauliwa na kwenye uchaguzi wanashindwa kuchagua viongozi wawatakao. Itafika wakati wananchi watachoka na hapo ndiyo yatatokea machafuko makubwa na ya kutisha.
Mubarak alikaa madarakani kwa miaka mingi na chaguzi zake FAKE kwa kujiaminisha jeshi zuri kuliko yote Afrika litamlinda lakini wananchi waliposema sasa basi jeshi halikufua dafu kwenye NGUVU YA UMMA. Tanzania si kisiwa yaliyotokea Misri yanaweza kabisa kutokea hapa. Itakuwa ni kilio cha mbwa mdomo juu kwani dalili za Watanzania kutaka mabadiliko ya uongozi wa Nchi ni kubwa mno.
Sababu yake ya kususia ilikuwa nini?Maalim Seif alisusia uchaguzi wa Zanzibar lakini Hamad Rashid wa chama cha ADC akashiriki na kuhalalisha uchaguzi ule. Vipo vyama tumeviona hata uchaguzi huu vinakauli za kuonesha kuwa pengine ni CCM Bs
Tupeni nchi muone usiishi kwa kukalili wewe,Ila ni kweli hakuna mpinzani ambaye angeweza kuminya democrasia, kutumia ubabe, kuvunja katiba, kujifananisha na mungu.Nyani Ngabu hakuna mpinzani wa nchi hii ambae angeshika dola amefanya robo ya alichokifanya John Pombe Magufuli. Huo ni ukweli mchungu sana ila moyoni mwao wanajua
Wasiwalaumu watanzania ila wajilaumu wao wenyewe
Upuuzi mtupu. Watanzania sio manyumbu kama chama cha Mbowe.Viroba vya kura!View attachment 1614826
Aisee! Chadema kweli walijichanganya!Apige kwani alijiandikisha kupiga kura?
Nimeona picha zake akiwa anapiga kura,, itakuwa alijiandikisha.Huyo Lissu mwenyewe amepiga kura leo?
Sijui nini.Hujuwi nini?
Umehitimisha vizuri sanaKupitia akaunti ya twitter ya Tundu Lissu,nimeona video (bila shaka ni huko Kawe, Dar-es-salaam) inayoonyesha rundo la kura zinazidaiwa kuwa ni feki huku Polisi wakishirikishwa kuzitambua/ kushuhudia karatasi hizo za kura ambazo zimepigiwa kura mgombea wa CCM.
Video hii ni tofauti na ile inayoonyesha wananchi wakichoma moto kura walizozikamata.
Ukiacha huko Kawe, kuna video nyingine mtandaoni(twitter), inaonyesha wananchi(mkoani Kigoma) wakivamia kituo cha kupigia kura baada ya kubaini uwepo wa kura feki kwenye mfuko huku mwenye mfuko akigoma kuutoa /kukaguliwa na kusababisha vurugu kituoni hapo.
Kwakuwa hali hii inaripotiwa katika maeneo mengi nchini ,ni wazi Tume ya Uchaguzi imeshindwa kutimiza wajibu wake na hivyo inapaswa kujiuzulu yote kuanzia mwenyekiti, mkurugenzi na watendaji wengine wote waliohusika kusimamia huu uchaguzi unless watuthibitishie kuwa madai haya ni ya uongo.
Mwisho, uchaguzi huu wote ufutwe iwapo tuhuma/ madai haya yathibitika kuwa ni ya kweli.
Ameshapiga ,itakuwa alijiandiksha ila naona wengi walidhani hajajiandikisha.Aisee! Chadema kweli walijichanganya!
Kigoma mama mmoja kaona kura zinaingizwa kituoni, waliokuwepo wamemuunganishia jamaa mwenye kura fake hadi wamemmkamata na kumnyang'anya.Umehitimisha vizuri sana
Maelezo yanayotolewa juu ya kura fake, ni vigumu kudhibitishwa kama ni matukio ya kweli. Bado kuna maswali mengi kuliko majibu juu ya ukweli wa matukio hayo!!!Habari za kura fake zimezagaa nchi nzima. Zilizoonyeshwa mitandaoni zimeipigia ccm kura
Mkuu, kirahisi rahisi hivi hivi unataka tuamini maelezo yako haya? Mkuu tutake radhi, aisee!Kigoma mama mmoja kaona kura zinaingizwa kituoni, waliokuwepo wamemuunganishia jamaa mwenye kura fake hadi wamemmkamata na kumnyang'anya.
[emoji3][emoji3][emoji3]
Vituko vituko vituko.
Toa utopolo kichwani. Mwambieni Mbowe na genge lake out.Eti serikali ya mseto, wakati hata wabunge na madiwani kupata ni shughuli.Hivi nani mwenye akili zake anaweza kuchagua majizi na mawakala wa mashoga.The beginning of the end........jitihada zote hizo za kuvuruga uchaguzi ni ili kuwepo serikali ya mseto..........sasa, hakuna mseto wala combine, SISIEM OUT!
Kususia uchaguzi bado sio ufumbuzi wa tatizo.Tukiwaambia msusie chaguzi, hamsikii.
Sasa mnalialia nini? Kwani hamkujua zitakuwepo figisu?
Una uhakika kwamba hajapiga?Hajapiga, haya ni maajabu, mimi sijawahi kusikia kwamba Mgombea Uraisi hajipigii kura halafu anawaambia wengine wajitokeze kumpigia kura? Huyu jamaa tundu kichwani hazimtoshi aisee, ...
Mkuu biblia inasema asiye haki hajui kuona haya Kama vile shetani asivyoona hayaHamjawahi kuwa na aibu! Miaka yote hii kumbe mnashinda kwa wizi wa kura!!