Wito wa Religious Tolerance: Usikosoe jambo lolote ambalo si imani yako!

Wito wa Religious Tolerance: Usikosoe jambo lolote ambalo si imani yako!

Bibi unalazimisha Yesu myahudi awe mtume wa waislamu[emoji28]
Sio Yesu tu, kuanzia Adam Nuhu, Ibrahim Mussa, Ishaka, Yaakoub wote hao na wengine ni mitume wa Kiislam.

Usichanganye Uyahudi kizazi na na mnayiita "dini ya kiyahudi.

Soma kijana usidanganywe, nyie ndiyo wale mnaofikiri mpaka nchi inayojiita "Israel" kuwa ni dini, hamuelewi kuwa hiyo Israel ni nchi yenye Waislam, wakristo na wasio na dini pia. Ni tatizo la ujinga tu, hakuna zaidi.
 
Wanabodi
Huko nyuma niliwahi kutoa wito wa Political Tolerance kwa vyama na wanasiasa tunaotofautiana kwa kubishana bila kugombana au kutukanana!.

Hili ni bandiko la kutoa wito wa religious Tolerance kwa imani za wengine hata kama hatuziamini.

Usikosoe jambo lolote la kiimani la imani isiyo yako. Mfano Waraka wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kupinga mkataba wa DPW na Bandari zetu, watu pekee wenye haki ya kuukosoa waraka huo ni sisi waumini wa imani hiyo, na sio watu wa imani nyingine kutoa waraka kukosoa waraka wa imani nyingine.

Naomba kulipongeza Baraza la Waislamu Tanzania Bakwata kwa Political Tolerance, maana baada ya TEC kutoa waraka kupinga mkataba wa DPW na Bandari zetu, ilitarajiwa Bakwata nao wangetoa waraka kuunga mkono mkataba wa DPW na Bandari zetu hivyo kupelekea kuonyeshea ni watu wa dini fulani wanapinga mkataba huu kwasababu kiongozi fulani ni wa dini fulani na wengine wanaunga mkono kwasababu tuu ya dini fulani!.

Issue ya DPW na Bandari zetu sio issue ya dini fulani ni purely economical issue of national interest kuhusiana na vipengele vya mkataba!. Hakuna anayepinga uwekezaji wa Bandari!.

Sambamba na ombi hili pia nawaomba wana JF waandamizi wenye ushawishi mkubwa humu kujiheshimu kwa kuheshimu imani za wengine mfano ni huyu

Naunga mkono watu wasiharibu mada za watu kwenye majukwaa.

Kwa heshma na taadhima, Dada yangu, FaizaFoxy , I beg you please observe religious tolerance, mfano sisi tunaoamimi Yesu ni Mungu, akiibuka mtu wa imani nyingine akahubiri Yesu sii Mungu, ni kutokosea!.

Wakristo tunaamini Bible ni kitabu cha Mungu, kitendo cha wewe mtu wa imani tofauti kusema huamini Bible ni kitabu cha Mungu, sio kututendea haki sisi waamini!. Let's practice religious tolerance baina yetu kwa kuheshimu imani za wengine, hata kama wewe huziamini!. Nikiwa nchini India, nilitembelea hekalu moja wanaabudu panya!. Japo ni kivutio cha Utalii lakini waheshimu!.

Mkristo safi hawezi kusema chochote negative kuhusu Uislam, Qur'an Tukufu au Mtume Mohammed (SAW).

Paskali


1. Wewe ni mjinga wa hali ya juu.
2. Attention seeker.
3. Unaugua ugonjwa wa akili.
 
Elewa na sisi tunaamini Yesu siyo Mungu, ukiibuka na kusema Yesu Mungu, wakati hakuna ushahidi hata mmoja wa yeye mwenyewe kusema "mimi Mungu:, elewa kuwa unatukosea sana, kumpa mtume wetu uungu asiokuwa nao.

Biblia inahusishwa na Yesu ambae ni mtume kwaa Waislam, kwa hiyo mimi nnahaki ku "refute" mambo anayposingiziwa Mtume wa Kiislam, kumbuka hilo.

Hilo la India litabaki india, India wako hata wanaoabudu uume wa binaadam, siyo tatizo.


Kuhusu Yesu, elewa kuwa kila mnapomzushia kitu, Waislam hatutakaa kimya, anatuhusu sana tena sana.

Panya hawatuhusu ndee wala sikio, hatuna habari nao hata wewe ukiwaabudu.

"tolerance" unayoiongelea unataka iwe upande mmoja tu?

Yesu siyo Mungu na hakuna popote aliposema "Mimi mungu" au "niabuduni".

Biblia siyo kitabu cha Mungu, hata biblia yenyewe haijuwi kama inaitwa Biblia. Hotolikuta neno "biblia" ndani ya biblia, ni uzushi tu.
Gombaneni mi simo.
 
Usikosoe jambo lolote la kiimani la imani isiyo yako. Mfano Waraka wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kupinga mkataba wa DPW na Bandari zetu, watu pekee wenye haki ya kuukosoa waraka huo ni sisi waumini wa imani hiyo, na sio watu wa imani nyingine kutoa waraka kukosoa waraka wa imani nyingine.
Huo waraka ulikuwa kwa ajili ya waumini wa katoliki tu ?... Kama ni hivyo, hayo makundi yanayoishambulia Tec binafsi badala ya kujikita kwenye huo waraka wanalenga nini ?
 
Kwa majibizano ya hapa naona kabisa watu tunatofautiana ujuzi katika kufikiri mada tofauti tofauti.

Kuna watu wapo vizuri kwenye kuchangia mada
1.Za dini(yakwakwe)
2.Siasa
3.Mahusiano
4.Sheria
5.Udaku
6.Mapenzi
7.Uchawa
8.Uchawi
9.Kimataifa
10.
N.k
Sasa kwenye mambo nje na anayojua hupuyanga vibaya sanaaaa na hujishushia heshima katika yale anayoyajua...
 
Wanabodi
Huko nyuma niliwahi kutoa wito wa Political Tolerance kwa vyama na wanasiasa tunaotofautiana kwa kubishana bila kugombana au kutukanana!.

Hili ni bandiko la kutoa wito wa religious Tolerance kwa imani za wengine hata kama hatuziamini.

Usikosoe jambo lolote la kiimani la imani isiyo yako. Mfano Waraka wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kupinga mkataba wa DPW na Bandari zetu, watu pekee wenye haki ya kuukosoa waraka huo ni sisi waumini wa imani hiyo, na sio watu wa imani nyingine kutoa waraka kukosoa waraka wa imani nyingine.

Naomba kulipongeza Baraza la Waislamu Tanzania Bakwata kwa Political Tolerance, maana baada ya TEC kutoa waraka kupinga mkataba wa DPW na Bandari zetu, ilitarajiwa Bakwata nao wangetoa waraka kuunga mkono mkataba wa DPW na Bandari zetu hivyo kupelekea kuonyeshea ni watu wa dini fulani wanapinga mkataba huu kwasababu kiongozi fulani ni wa dini fulani na wengine wanaunga mkono kwasababu tuu ya dini fulani!.

Issue ya DPW na Bandari zetu sio issue ya dini fulani ni purely economical issue of national interest kuhusiana na vipengele vya mkataba!. Hakuna anayepinga uwekezaji wa Bandari!.

Sambamba na ombi hili pia nawaomba wana JF waandamizi wenye ushawishi mkubwa humu kujiheshimu kwa kuheshimu imani za wengine mfano ni huyu

Naunga mkono watu wasiharibu mada za watu kwenye majukwaa.

Kwa heshma na taadhima, Dada yangu, FaizaFoxy , I beg you please observe religious tolerance, mfano sisi tunaoamimi Yesu ni Mungu, akiibuka mtu wa imani nyingine akahubiri Yesu sii Mungu, ni kutokosea!.

Wakristo tunaamini Bible ni kitabu cha Mungu, kitendo cha wewe mtu wa imani tofauti kusema huamini Bible ni kitabu cha Mungu, sio kututendea haki sisi waamini!. Let's practice religious tolerance baina yetu kwa kuheshimu imani za wengine, hata kama wewe huziamini!. Nikiwa nchini India, nilitembelea hekalu moja wanaabudu panya!. Japo ni kivutio cha Utalii lakini waheshimu!.

Mkristo safi hawezi kusema chochote negative kuhusu Uislam, Qur'an Tukufu au Mtume Mohammed (SAW).

Paskali
Huu mshangao umeutoa wapi? Nani amekataza?
 
Sio Yesu tu, kuanzia Adam Nuhu, Ibrahim Mussa, Ishaka, Yaakoub wote hao na wengine ni mitume wa Kiislam.

Usichanganye Uyahudi kizazi na na mnayiita "dini ya kiyahudi.

Soma kijana usidanganywe, nyie ndiyo wale mnaofikiri mpaka nchi inayojiita "Israel" kuwa ni dini, hamuelewi kuwa hiyo Israel ni nchi yenye Waislam, wakristo na wasio na dini pia. Ni tatizo la ujinga tu, hakuna zaidi.
Ujinga umekufanya ukose maarifa. Na utaangamia kwa ujinga wako.

Mnadanganywa, nanyi kwa uduni wa akili mnaamini. Uislam hauna zaidi ya miaka 700 tangu uanze. Uislam umeyachukua mambo kadhaa ya agano la kale kutoka kwenye biblia. Waulize waliosoma degree of divinity watakuelewesha uislam ni nini, ulianza lini na katika mazingira gani.

Nchi za kiislam huwa hawataki hata watu wahubiriwe ukweli ili hatimaye waumini wafanye maamuzi kwa kadiri ya uelewa wao. Kwa sababu wanajua, hawataki watu wayajue yaliyofichika.

Wewe ongelea uliyolishwa na kuyameza bila ya ufahamu wala maarifa. Huujui ukristo na hutaujua isipokuwa pale tu utakapofunuliwa na Roho wa Mungu.
 
Elewa na sisi tunaamini Yesu siyo Mungu, ukiibuka na kusema Yesu Mungu, wakati hakuna ushahidi hata mmoja wa yeye mwenyewe kusema "mimi Mungu:, elewa kuwa unatukosea sana, kumpa mtume wetu uungu asiokuwa nao.

Biblia inahusishwa na Yesu ambae ni mtume kwaa Waislam, kwa hiyo mimi nnahaki ku "refute" mambo anayposingiziwa Mtume wa Kiislam, kumbuka hilo.

Hilo la India litabaki india, India wako hata wanaoabudu uume wa binaadam, siyo tatizo.


Kuhusu Yesu, elewa kuwa kila mnapomzushia kitu, Waislam hatutakaa kimya, anatuhusu sana tena sana.

Panya hawatuhusu ndee wala sikio, hatuna habari nao hata wewe ukiwaabudu.

"tolerance" unayoiongelea unataka iwe upande mmoja tu?

Yesu siyo Mungu na hakuna popote aliposema "Mimi mungu" au "niabuduni".

Biblia siyo kitabu cha Mungu, hata biblia yenyewe haijuwi kama inaitwa Biblia. Hotolikuta neno "biblia" ndani ya biblia, ni uzushi tu.
Yohana 10:30 na yohana 15:23
Ukimtuma mtu akuwakilishe mahaliKwa jina lako, ujue umejituma wewe na atachowakilisha yatasemekana ni mawazo Yako wewe uliyemtuma.
Mambo ya ROHONI hutambulikana Kwa jinsi ya ROHONI.

Waliosaini mkataba kati ya DPW na serikali ni wengine Lakini lawama zinaenda Kwa Mh Rais Samia, Kwa sababu walitumwa na yeye
 
Wanabodi,

Huko nyuma niliwahi kutoa wito wa Political Tolerance kwa vyama na wanasiasa tunaotofautiana kwa kubishana bila kugombana au kutukanana!

Hili ni bandiko la kutoa wito wa religious Tolerance kwa imani za wengine hata kama hatuziamini.

Usikosoe jambo lolote la kiimani la imani isiyo yako. Mfano Waraka wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kupinga mkataba wa DPW na Bandari zetu, watu pekee wenye haki ya kuukosoa waraka huo ni sisi waumini wa imani hiyo, na sio watu wa imani nyingine kutoa waraka kukosoa waraka wa imani nyingine.

Naomba kulipongeza Baraza la Waislamu Tanzania Bakwata kwa Political Tolerance, maana baada ya TEC kutoa waraka kupinga mkataba wa DPW na Bandari zetu, ilitarajiwa Bakwata nao wangetoa waraka kuunga mkono mkataba wa DPW na Bandari zetu hivyo kupelekea kuonyeshea ni watu wa dini fulani wanapinga mkataba huu kwasababu kiongozi fulani ni wa dini fulani na wengine wanaunga mkono kwasababu tuu ya dini fulani!

Issue ya DPW na Bandari zetu sio issue ya dini fulani ni purely economical issue of national interest kuhusiana na vipengele vya mkataba! Hakuna anayepinga uwekezaji wa Bandari!

Sambamba na ombi hili pia nawaomba wana JF waandamizi wenye ushawishi mkubwa humu kujiheshimu kwa kuheshimu imani za wengine mfano ni huyu

Naunga mkono watu wasiharibu mada za watu kwenye majukwaa.

Kwa heshma na taadhima, Dada yangu, FaizaFoxy , I beg you please observe religious tolerance, mfano sisi tunaoamimi Yesu ni Mungu, akiibuka mtu wa imani nyingine akahubiri Yesu sii Mungu, ni kutokosea!.

Wakristo tunaamini Bible ni kitabu cha Mungu, kitendo cha wewe mtu wa imani tofauti kusema huamini Bible ni kitabu cha Mungu, sio kututendea haki sisi waamini!. Let's practice religious tolerance baina yetu kwa kuheshimu imani za wengine, hata kama wewe huziamini!. Nikiwa nchini India, nilitembelea hekalu moja wanaabudu panya!. Japo ni kivutio cha Utalii lakini waheshimu!.

Mkristo safi hawezi kusema chochote negative kuhusu Uislam, Qur'an Tukufu au Mtume Mohammed (SAW).

Paskali
Unaweweseka tu.Hakuna ushauri wa maana hapo.Sisi binadamu tuna akili na tumepewe tuzitumie vizuri kuchambua mambo. Muhimu huo uchambuzi na nyaraka isiwe kwa kuvutia maslahi ya kidunia kwa kutumia imani japo jambo lenyewe linajionesha wazi kuwa halihusiani na imani za kidini.
Tatizo wakatoliki wenyewe hawawezi kuona kasoro zilizomo kwenye nyaraka zao.Waislamu na madhehebuj nyengine za kikristo ndio watakaoona na si vibaya kuwashitua kidogo wanapojisahau kwenye nchi yenye imani nyingi.
 
Elewa na sisi tunaamini Yesu siyo Mungu, ukiibuka na kusema Yesu Mungu, wakati hakuna ushahidi hata mmoja wa yeye mwenyewe kusema "mimi Mungu:, elewa kuwa unatukosea sana, kumpa mtume wetu uungu asiokuwa nao.

Biblia inahusishwa na Yesu ambae ni mtume kwaa Waislam, kwa hiyo mimi nnahaki ku "refute" mambo anayposingiziwa Mtume wa Kiislam, kumbuka hilo.

Hilo la India litabaki india, India wako hata wanaoabudu uume wa binaadam, siyo tatizo.

Kuhusu Yesu, elewa kuwa kila mnapomzushia kitu, Waislam hatutakaa kimya, anatuhusu sana tena sana.

Panya hawatuhusu ndee wala sikio, hatuna habari nao hata wewe ukiwaabudu.

"tolerance" unayoiongelea unataka iwe upande mmoja tu?

Yesu siyo Mungu na hakuna popote aliposema "Mimi mungu" au "niabuduni".

Biblia siyo kitabu cha Mungu, hata biblia yenyewe haijuwi kama inaitwa Biblia. Hotolikuta neno "biblia" ndani ya biblia, ni uzushi tu.
Sema Bibi wewe ni Mjinga sana, unatakiwa ukazwe kisawasawa akili ikukae sawa.
 
Wanabodi,

Huko nyuma niliwahi kutoa wito wa Political Tolerance kwa vyama na wanasiasa tunaotofautiana kwa kubishana bila kugombana au kutukanana!

Hili ni bandiko la kutoa wito wa religious Tolerance kwa imani za wengine hata kama hatuziamini.

Usikosoe jambo lolote la kiimani la imani isiyo yako. Mfano Waraka wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kupinga mkataba wa DPW na Bandari zetu, watu pekee wenye haki ya kuukosoa waraka huo ni sisi waumini wa imani hiyo, na sio watu wa imani nyingine kutoa waraka kukosoa waraka wa imani nyingine.

Naomba kulipongeza Baraza la Waislamu Tanzania Bakwata kwa Political Tolerance, maana baada ya TEC kutoa waraka kupinga mkataba wa DPW na Bandari zetu, ilitarajiwa Bakwata nao wangetoa waraka kuunga mkono mkataba wa DPW na Bandari zetu hivyo kupelekea kuonyeshea ni watu wa dini fulani wanapinga mkataba huu kwasababu kiongozi fulani ni wa dini fulani na wengine wanaunga mkono kwasababu tuu ya dini fulani.

Issue ya DPW na Bandari zetu sio issue ya dini fulani ni purely economical issue of national interest kuhusiana na vipengele vya mkataba! Hakuna anayepinga uwekezaji wa Bandari.

Sambamba na ombi hili pia nawaomba wana JF waandamizi wenye ushawishi mkubwa humu kujiheshimu kwa kuheshimu imani za wengine mfano ni huyu.


Naunga mkono watu wasiharibu mada za watu kwenye majukwaa.

Kwa heshma na taadhima, Dada yangu, FaizaFoxy , I beg you please observe religious tolerance, mfano sisi tunaoamimi Yesu ni Mungu, akiibuka mtu wa imani nyingine akahubiri Yesu sii Mungu, ni kutokosea!

Wakristo tunaamini Bible ni kitabu cha Mungu, kitendo cha wewe mtu wa imani tofauti kusema huamini Bible ni kitabu cha Mungu, sio kututendea haki sisi waamini! Let's practice religious tolerance baina yetu kwa kuheshimu imani za wengine, hata kama wewe huziamini!. Nikiwa nchini India, nilitembelea hekalu moja wanaabudu panya. Japo ni kivutio cha Utalii lakini waheshimu!

Mkristo safi hawezi kusema chochote negative kuhusu Uislam, Qur'an Tukufu au Mtume Mohammed (SAW).

Paskali.
Faizafoxy ni jihadist mkuu huyo hawez kukuelewa yupo tayar ku wear Xplosives mwilin!!
 
Elewa na sisi tunaamini Yesu siyo Mungu, ukiibuka na kusema Yesu Mungu, wakati hakuna ushahidi hata mmoja wa yeye mwenyewe kusema "mimi Mungu:, elewa kuwa unatukosea sana, kumpa mtume wetu uungu asiokuwa nao.

Biblia inahusishwa na Yesu ambae ni mtume kwaa Waislam, kwa hiyo mimi nnahaki ku "refute" mambo anayposingiziwa Mtume wa Kiislam, kumbuka hilo.

Hilo la India litabaki india, India wako hata wanaoabudu uume wa binaadam, siyo tatizo.

Kuhusu Yesu, elewa kuwa kila mnapomzushia kitu, Waislam hatutakaa kimya, anatuhusu sana tena sana.

Panya hawatuhusu ndee wala sikio, hatuna habari nao hata wewe ukiwaabudu.

"tolerance" unayoiongelea unataka iwe upande mmoja tu?

Yesu siyo Mungu na hakuna popote aliposema "Mimi mungu" au "niabuduni".

Biblia siyo kitabu cha Mungu, hata biblia yenyewe haijuwi kama inaitwa Biblia. Hotolikuta neno "biblia" ndani ya biblia, ni uzushi tu.
Imagine this mindset 👆🤣🤣
 
Elewa na sisi tunaamini Yesu siyo Mungu, ukiibuka na kusema Yesu Mungu, wakati hakuna ushahidi hata mmoja wa yeye mwenyewe kusema "mimi Mungu:, elewa kuwa unatukosea sana, kumpa mtume wetu uungu asiokuwa nao.

Biblia inahusishwa na Yesu ambae ni mtume kwaa Waislam, kwa hiyo mimi nnahaki ku "refute" mambo anayposingiziwa Mtume wa Kiislam, kumbuka hilo.

Hilo la India litabaki india, India wako hata wanaoabudu uume wa binaadam, siyo tatizo.

Kuhusu Yesu, elewa kuwa kila mnapomzushia kitu, Waislam hatutakaa kimya, anatuhusu sana tena sana.

Panya hawatuhusu ndee wala sikio, hatuna habari nao hata wewe ukiwaabudu.

"tolerance" unayoiongelea unataka iwe upande mmoja tu?

Yesu siyo Mungu na hakuna popote aliposema "Mimi mungu" au "niabuduni".

Biblia siyo kitabu cha Mungu, hata biblia yenyewe haijuwi kama inaitwa Biblia. Hotolikuta neno "biblia" ndani ya biblia, ni uzushi tu.
Kila mtu ashinde mechi zake!!
 
Elewa na sisi tunaamini Yesu siyo Mungu, ukiibuka na kusema Yesu Mungu, wakati hakuna ushahidi hata mmoja wa yeye mwenyewe kusema "mimi Mungu:, elewa kuwa unatukosea sana, kumpa mtume wetu uungu asiokuwa nao.

Biblia inahusishwa na Yesu ambae ni mtume kwaa Waislam, kwa hiyo mimi nnahaki ku "refute" mambo anayposingiziwa Mtume wa Kiislam, kumbuka hilo.

Hilo la India litabaki india, India wako hata wanaoabudu uume wa binaadam, siyo tatizo.

Kuhusu Yesu, elewa kuwa kila mnapomzushia kitu, Waislam hatutakaa kimya, anatuhusu sana tena sana.

Panya hawatuhusu ndee wala sikio, hatuna habari nao hata wewe ukiwaabudu.

"tolerance" unayoiongelea unataka iwe upande mmoja tu?

Yesu siyo Mungu na hakuna popote aliposema "Mimi mungu" au "niabuduni".

Biblia siyo kitabu cha Mungu, hata biblia yenyewe haijuwi kama inaitwa Biblia. Hotolikuta neno "biblia" ndani ya biblia, ni uzushi tu.
quran ni toilet paper ndo maana sweeden wameichoma hakuna kitu mmefanya.
 
Back
Top Bottom