Wito wa Religious Tolerance: Usikosoe jambo lolote ambalo si imani yako!

Usikiogope, soma ukweli uuelewe.

Wapi maandiko ya Qur'an yalipokukashifu?
Unarudia kosa lilelile la kiimani Faiza, uhamini kilichoandikwa na watu ambao hauwajui yaani biblia, alafu wakati huohuo unanilazimisha nisome Quran, kitabu ambacho kwangu sikiamini. Wakati kiteremshwa wewe ulikuwepo?

Kitabu cha hakijanikashifu, lla maneno yako yamejaa kashfa dhidi ya Imani zingine. Ndiyo sababu nimekwambia usitumie vifungu vya Quran kujibu hoja ya Imani nyingine. Amin yaliyoandikwa kwenye Quran yako ni haki yako, na acha kabisa kujibu vitu vinavyohusu Biblia.
 
Unalikoroga alafu unakaa pembeni kusikilizia mipasuko ya watu. Mara nyingine usiwe unaleta hizi mada contravesal.
 
1ur'ann imehifadhiwa vifuani mwa watu toka kuteremshwa kwake.

Hilo halina utata labda uwe na macho lakini hayaoni, uwe na masikio lakini hayasikii.
Quran imehifadhiwa kifuani? Wewe Hujui historia ya kitabu Cha Quran. Mwanzo Mtume Muhammad aliacha Quran yenye Suratul 120, Sasa zimebaki 114 tu, Surah 6 zimetoweka. Surah zilizotoweka ni: 1. Iqtaribat 2. Sa'a 3. Twasamat 4. Sa'a al Qital 5. Al Malaikat 5. Al Hashir. Pia Surah 9 ilikuwa na Aya 387 Sasa zimebaki 129 tu. Surah 33 ilikuwa na Aya 200 Sasa zimebaki 73 tu, halafu wewe unasema Quran imehifadhiwa kifuani?
 
Tupendane na tuipende Nchi yetu
Kabisa kabisa !! Lakini watu wenye kupenda kashfa na malumbano huwa hawakosekani kila Nchi ! Ila kiukweli hapa Nchini bado tu wamoja sana tena sana !!
Huwezi kusikia watu wanalumbana kuhusu dini huku kwa ground isipokuwa kidogo kwenye mitandao tena ni wachangiaji wa kuhesabu yaani ni wachache sana !! 🙏🙏🙏
 
ukiona mwanamama anatetea uislam mhurumie tu ni elimu juu ya uislam hana.

ni kama kuku anayetetea mgahawa wa KFC usivunjwe😅😅
 
Kusema kweli wakristo ni wachokozi sana, wasilolijua ni kwamba ni waoga sana, haki ya Mungu siku paumane hapa hawatabaki hata mmoja
 
Wewe bibi ni kichefuchefu, kwa kweli hujiheshimu hata kidogo..?hovyo sana
 
Acheni mambo ya kukopi na kupesti issa sio YESU japo tunajua hila za ibilisi juu ya KRISTO ni kubwa.Hata sisi mohd hatumuamini kama tusivyoamini uungu wa ng'ombe kwa wahindi.Katika dini ambayo inaonekana haijiamini duniani ni uislamu na ndio maana wanatumia nguvu nyiingi hadi za kidhuru.
 
Qur'an siyo adui yako, ni rafiki yako mpenzi. Ukimsoma na kuelewana nae, hutopenda kumuwacha. Qur'an ni kigezo {criterion) iliteremshwa kuweka sawa yale yaliyotiwa mikono ya watu na kukudanganya. Kumbuka hilo.
 
Kuhusu kuoa msichana mdogo kwa maumbile au umri hakuna ajabu maadam ameshavunja ungo, yaani mwanamke anakuwa kibaiolojia yaani kimaumbile kuliko umri(umri ni namba tu)halafu umeegemea sana miaka 9 wakati kuna hadithi inasema ni miaka 14, wacha tukae hapo kwenye 9 yrs hapo njombe tu wala sio mbali kuna kaschana kamezaa kana 10yrs, imeisha hiyo,

Kuhusu kumbusu hassan(mjukuu wake) wala si ajabu, hata sasa watu wanawabusu na kuwashum watoto na wajukuu zao,

Kuhusu kummiliki shetani sio ajabu pia, yeye ni Mtume wa Mungu ni lazima awe na mamlaka na nguvu kumzidi shetani na ndiyo maana akasema
"Kila mtu ana shetani wake, akaulizwa hata wewe pia? Akajibu hata mimi pia, ila wangu nimemdhibiti hawezi kunishinda"

Hakuna sababu ya kutukana wala kuchukia mama ni chaguo la Mungu
 
Kwakuwa mnafanya Shingo zenu ngumu, Mungu na Wala si Allah atasambaratisha kule kunako kitovu Cha Uislam Saudia na Macca labda hapo ndiyo mtafunguka macho ya akili zenu. Hilo linakuja hivi karibuni
 
Nyinyi Abdools kuongopa ni jadi yenu pale mnapo mtete Allah Mohammad na Quran yao:
1. Mtoto wa miaka 6 hadilani hawezi kuvunja ungo. Pili wewe unaweza ruhusu mwanao wa miaka 6 aolewe na libabu la miaka 50??
2. Leta Hadith inayosema Hassan ni mjukuu wa Mohammad. Aidha, utaruhusu mwanao mdogo Babu yake atumbukize LIULIMI LAKE kwa huyo mwanao wa kiume?
3. Mohammad alikuwa controlled na Shetani kwa miezi 6 mpaka akawa anaota mindoto ya ngonongono tu. Vile vile Shetani alifamfanya Mohammad a cite Aya za Shetani na mpaka akasujidia the three daughters ya miungu ya kipagani
4. Kati ya Yale majina 99 ya Allah, matano yanathibitisha kuwa Allah ndiye Shetani Mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…