Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua


Nadhani umachanganya mambo, kwenye hili hata usipoiona video, as long as kweli video ya mgonjwa aliye ICU imefika mitandaoni, haijalishi iko katika hali gani, haikutakiwa kuwa mitandaoni. Bado unaweza kuchgangia mada hiyo balimar
 
Waziri alisema baada ya nyinyi MaCHADEMA kumtelekeza. Nyumbu kabisa. Mngekua mmempeleka India kuanzia ameanza kuumwa mngekua mnaharisha hapa. Wanafiki wakubwa.

Sent from my SM-A320F using JamiiForums mobile app
Mbona Lissu mlikataa asitibiwe na.serikali na mpaka leo mnamtunza huko nje. MaCHADEMA hovyo sana

Sent from my SM-A320F using JamiiForums mobile app
 
Inawezekana ni rafiki wa mke aliiba kwenye simu na akafanya yake.

Hata mke kwani hawezi kufanya hivyo, mbona wanawasaliti kama kawaida tu.

Video niliiona kwa Instagram ya mabibo kweli profesa anaumwa.

Mipira amewekewa kila mahali, bed amekingwa na pillow case mbili huku na huku.

Yuko in big room hope it's private sana.

Tunaamini Mungu atamuinua tena.
 
Waziri alisema baada ya nyinyi MaCHADEMA kumtelekeza. Nyumbu kabisa. Mngekua mmempeleka India kuanzia ameanza kuumwa mngekua mnaharisha hapa. Wanafiki wakubwa.

Sent from my SM-A320F using JamiiForums mobile app
Lugha unayotumia inaonyesha kiwango chako cha ushamba hapo ACT wazalendo.

Waha ndio mna lugha za kilugaluga mkidhani ndio ujanja, bure kabisa!
 
Weeee unaona upuuzi n.a. ukabila wa MaCHADEMA ndio maana nawaita wajinga hovyo.
Mimi mchagga Marangu Uomboni. Haya hoja nyingine nyumbu wa hedi wewe

Sent from my SM-A320F using JamiiForums mobile app
 
Weeee unaona upuuzi n.a. ukabila as MaCHADEMA ndio maana nawaita wajinga hovyo.
Mimi mchagga Marangu Uomboni. Haya hoja nyingine nyumbu as hedi wewe

Sent from my SM-A320F using JamiiForums mobile app
 
Kwani hakuna Private investigator wa kupewa hili jukumu...
 
Mbona mmeanza kututesa wengine ...?tuelewane kwa lugh moja mmetuacha njia panda uzi wenyewe umeletwa kwa kiswahili jameni nyi mna reply kiinglishi
 
Mke hawezi kufanya huo ujinga
 
Mambo magumu sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…