Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

Le mutuz amedhalilishwa sana na huyu dada. Inauma sana
 
Acha maneni mengi, sema alisambaza kupitia nini?
Mwenyewe unachokizungumza hata ukijui ila kwa umeendelea kubisha so bisha. Kwani kabla ya App Mange alikuwa anapost habari zake wapi? Ukilijibu hili ndio jibu la swali lako au labda ww Mange umemjua baada kuanzisha App?
 
Wabongo ndio wanamuendekeza kwa kuwa wateja wake wa umbea anaotutumia.
 
Hako kadada ni ka'coward sana. Kanachonivunia ni kuwapo marekani na kanajua wamarekani huwa wanatambuwa freedom of speech kama moja ya haki za raia wao.
 
Tangu lini malaya akawa mwana siasa au mwanaharakati wa kuheshimika. Ni ujinga tu wa watz ndio mange kimambi anaonekana mashuhuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…