Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Si alisalimiana na mama huko Marekani huyu? Au sio huyo?Ila kuna haja yule bibi kijana achukuliwe hatua. Hii cyber bullying anayofanya imekithiri sasa.
Kupitia njaa yake ya kutaka pesa za watu za subscription amekosa mipaka ya utu kabisa.
Hakuna alie salama kwake. Kila mtu amekuwa guinea pig wake wa kumuandika kutokujali ukweli wa habari ama athari ya habari anazoandika, nyingi ya hizo zikiwa ni za kuzusha tu.
TCRA wa ban hiyo app tu kama kianzio.
Kiburi tu!Soma uzi na comments utajua mdogo angu
Hii ni kinyume kabisa na maadili ya kazi yaoHiki kitendo kimefanyika si Cha kiungwana hata kidogo na kimefanywa na watu ambao huwezi kutegemea.
Madaktari na wauuguzi waliokua ICU wakimhudumia Prof J wamechukua video na kwenda kumuuzia yule dada ili aisambaze mtandaoni sio uungwana hata kidogo.
Serikali kupitia hiyo video mnaweza kuwahua waliofanya hivi na nashauri wachukuliwe hatua kali sana. Itumike namna ya kuwabaini waliofanya hivi najua mna mkono mrefu na hamshindwi.
Mtu yupp ICU amelazwa anapigania uhai wake, mnamhudumia kumbe mnarecord. Amewafanyiaa kitu gani kibaya huyu hadi mfikie huko?
Mgonjwa ana haki ya usiri na faragha. Unaonaje ukiwa unaumwa gono, halafu tukupige picha, halafu chini ya picha tuambatanishe na taarifa zako za maabara za hilo gone lako kisha tusambaze mitandaoniKuna ubaya gani?
Kuacha ju ngumuDawa ni moja tu, acheni kulipia hiyo app ya umbea, hivi waTz mtaacha lini umbea lakini?!
Na wachukuliwe hatua kali za kinidhamuHao madaktari na manesi wanatakiwa kufukuzwa kazi. Ni kosa kubwa sana.
Umesikia JAy mgonjwa yupo mahututi unategemea nini. Kwa sakata hili sina imani na mke wa Jay hata kidogo.Jay mwenyewe na familia yake ndio wawashtaki hao jamaa.