Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
😪I give him a time from tomorrow I m not going to search him in that point najua nitapata majibu yalio kamili kama ananipenda atanitafuta tena and if ikiwa forever bac alikuwa ana ni test.
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Ha ha ha ha
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Haha that's awesome .... Hata kwa Pude?Kaandikwa eti wanawake wanamkimbia kwa sababu anapenda kuingia kwa kutumia mlango wa nyuma. Anasema wanawake wengi wamemkimbia kwa sababu hii ndiyo tabia yake.
Angalia isikukute.. Absalom alikufa kwa unabii aliopewa babaye baada ya kumuua Uriamange anakula maisha anadunda tu na pesa ya kula anayo anaishi atakavyo au hiyo laana unayoiongelea ni ipi
Upo sahihi mkuu,huyu alishangiliwa wakati anadhalilisha na kutukana watu matusi ya nguoni...... hakuna aliyekemea,sasa sijui mange amebadilika nini wakati ndiyo maisha yake hayo....au kwasababu amegusa wale tuwapendao? Tz kuna unafiki sana......Pale baadhi ya watu wakiguswa.
Wakitukanwa, na kudhalilishwa msiowapenda Ni sawa.
Ila wakiguswa mnaowapenda mnatoa laana, kuhukumu na kutabiri mabaya.
UNAFIKI umeota mizizi.kwa Waswahili nchi hii.
Atakufa kama baba yakeAlishafanya matukio mazito kuliko hilo mkuu....and yet bado akapiga picha na rais.....!!!
hakuna chochote atadhurika nacho juu ya hilo
Dhibiti wambea hao wakafanye kazi ya kuijenga nchi.
Mkuu bado tu?? Mbona mko slow sana?
KWAHIYO YALE MAKABURI YA KINONDONI PALE WOOTE WALE WAMEKUFA KWA SABABU YA LAANA.nani aliyewadanganya kufa ni laana au dalili ya dhambi.kifo nin njia sahihi ya kwenda mbinguni .halafu mimi hayanikuto kwa ajili umesema hata siku moja upo?Angalia isikukute.. Absalom alikufa kwa unabii aliopewa babaye baada ya kumuua Uria
Waliomrekodi JPM akiwa mahututi na katika hali isiyo ya kibinadamu zingine zikionesha akiwa kwenye jeneza akiwa na afya dhoofu kisha picha na video zake kutupia mtandaoni kabla ya kutangaziwa umati wake nao pia wachukuliwe hatua kali kwa mjibu wa sheria za kinga ya faraghaHiki kitendo kimefanyika si Cha kiungwana hata kidogo na kimefanywa na watu ambao huwezi kutegemea.
Inadaiwa kuwa madaktari na wauuguzi waliokua ICU wakimhudumia Prof J wamechukua video na kwenda kumuuzia yule dada ili aisambaze mtandaoni. Sio uungwana hata kidogo.
Serikali kupitia hiyo video mnaweza kuwajua waliofanya hivi na nashauri wachukuliwe hatua kali sana. Itumike namna ya kuwabaini waliofanya hivi najua mna mkono mrefu na hamshindwi.
Mtu yupo ICU amelazwa anapigania uhai wake, mnamhudumia kumbe mnarecord. Amewafanyiaa kitu gani kibaya huyu hadi mfikie huko?
Pia, soma;
1). Watu 14 washikiliwa kwa tuhuma za kurekodi video mgonjwa akiwa ICU Muhimbili
Huyo aliyetambulishwa kama Mkurugenzi len ni mdogo wake Mange wa mama mmoja,ni mbinafsi sana yule dada!a caring sister hawezi kuhatarisha usalama wa mdogo wake kwa kumuingiza kwenye deal za kuwachafua watu wakati yeye yupo mbali na hilo analionyesha kwa kuendelea kuwa bully watu wakati mdogo wake yupo ndaniHao ni wafanyakazi wa Mange Kimambi App[emoji2][emoji2], boss wao anasema yeye hata hajali yupo amekunja nne tu. BTW, wanashindwa nini kuifunga kabisa hiyo App na Ofisi?
Sasa nayeye alikubalije kufanya kazi hiyo ya Mange wakati anajua Mange ni bomu linalipuka muda wowote? Watu wengine wanajitafutia matatizo wenyeweHuyo aliyetambulishwa kama Mkurugenzi len ni mdogo wake Mange wa mama mmoja,ni mbinafsi sana yule dada!a caring sister hawezi kuhatarisha usalama wa mdogo wake kwa kumuingiza kwenye deal za kuwachafua watu wakati yeye yupo mbali na hilo analionyesha kwa kuendelea kuwa bully watu wakati mdogo wake yupo ndani
Mbona App yake huwezi kuifungua kwa sasa. Pia tumeona tumpe kubwa tu, maana tunablock ila anakomaa tu na ki-app chake
Hao ni wafanyakazi wa Mange Kimambi App[emoji2][emoji2], boss wao anasema yeye hata hajali yupo amekunja nne tu. BTW, wanashindwa nini kuifunga kabisa hiyo App na Ofisi?
Labda mmefunga app feki Mkuu. Ya Mange bado iko hewani tena ndo anatukana hatari
Haahaha . Developer waweke hii kotu. "Kuwasha vibao" humu kwenye jukwaa [emoji23][emoji23][emoji23]Hatupo hapa kujadili labda, nisije nikakuwasha kibao bure . Umeona au hajaona hiyo video? Na je, unafahamu utafauti wa mazingira ya kuhudumia na mazingira ya kusalimia? Otherwise una uhuru wa kunyamaza na kutokunijibu.