Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

As a matter of fact, kila mtu anaitumia kodi either directly or indirectly!
sasa huyu yeye katumia kodi yetu moja kwa moja na kwa upendeleo

waziri wa afya kasimama kusema Jay atatibiwa bure, who is he ????

kapigwa picha ili tuweze kuhakiki matumizi ya hela ya kodi yetu aliyopewa kwa upendeleo wa kuwa mtu maarufu wa sanaa ya muziki

it comes with the territory
 
Hiki kitendo kimefanyika si Cha kiungwana hata kidogo na kimefanywa na watu ambao huwezi kutegemea.

Inadaiwa kuwa madaktari na wauuguzi waliokua ICU wakimhudumia Prof J wamechukua video na kwenda kumuuzia yule dada ili aisambaze mtandaoni. Sio uungwana hata kidogo.

Serikali kupitia hiyo video mnaweza kuwajua waliofanya hivi na nashauri wachukuliwe hatua kali sana. Itumike namna ya kuwabaini waliofanya hivi najua mna mkono mrefu na hamshindwi.

Mtu yupo ICU amelazwa anapigania uhai wake, mnamhudumia kumbe mnarecord. Amewafanyiaa kitu gani kibaya huyu hadi mfikie huko?
Itoshe kusema naunga mkono hoja.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Hiki kitendo kimefanyika si Cha kiungwana hata kidogo na kimefanywa na watu ambao huwezi kutegemea.

Inadaiwa kuwa madaktari na wauuguzi waliokua ICU wakimhudumia Prof J wamechukua video na kwenda kumuuzia yule dada ili aisambaze mtandaoni. Sio uungwana hata kidogo.

Serikali kupitia hiyo video mnaweza kuwajua waliofanya hivi na nashauri wachukuliwe hatua kali sana. Itumike namna ya kuwabaini waliofanya hivi najua mna mkono mrefu na hamshindwi.

Mtu yupo ICU amelazwa anapigania uhai wake, mnamhudumia kumbe mnarecord. Amewafanyiaa kitu gani kibaya huyu hadi mfikie huko?

Unajuje labda ndugu zake?
 
Watanzania wengi hawana shughuli za kufanya zaidi ya kukalia ujinga,yaani hapo watakuwa wamefurahi kuona Ile clip,Mimi Kama Mimi Ile clip imeniumiuza Sana,kwanza mgonjwa Yuko very serious halafu mpumbavu mmoja anachukulia Kama Mambo ya utani..Ila Mange Mungu afanye Jambo Sasa ili atulie.
Nadhani amegusa pabaya this time, Prof Jay hajawahi kuwa na shida na mtu na ana shida ambayo inaweza kunipata mtu yoyote wakati wowote..... kama alivyofanya Aristote akawekwa sawa, this time Mange atawekwa sawa.
 
Umeiona hiyo video na ukaona mazingira ya wakati inarekodiwa? Unafahamu mazingira ya kumhudumia mgonjwa ni tofauti na mazingira ya kumsalimia mgonjwa?

We umeiyonaje na unasema watu waache kulipia app? Sasa wewe si mmoja ya kumpa mange utajiri[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hiki kitendo kimefanyika si Cha kiungwana hata kidogo na kimefanywa na watu ambao huwezi kutegemea.

Inadaiwa kuwa madaktari na wauuguzi waliokua ICU wakimhudumia Prof J wamechukua video na kwenda kumuuzia yule dada ili aisambaze mtandaoni. Sio uungwana hata kidogo.

Serikali kupitia hiyo video mnaweza kuwajua waliofanya hivi na nashauri wachukuliwe hatua kali sana. Itumike namna ya kuwabaini waliofanya hivi najua mna mkono mrefu na hamshindwi.

Mtu yupo ICU amelazwa anapigania uhai wake, mnamhudumia kumbe mnarecord. Amewafanyiaa kitu gani kibaya huyu hadi mfikie huko?


Mamlaka husika ichukue hatua za haraka dhidi ya wahusika.
 
Hiki kitendo kimefanyika si Cha kiungwana hata kidogo na kimefanywa na watu ambao huwezi kutegemea.

Inadaiwa kuwa madaktari na wauuguzi waliokua ICU wakimhudumia Prof J wamechukua video na kwenda kumuuzia yule dada ili aisambaze mtandaoni. Sio uungwana hata kidogo.

Serikali kupitia hiyo video mnaweza kuwajua waliofanya hivi na nashauri wachukuliwe hatua kali sana. Itumike namna ya kuwabaini waliofanya hivi najua mna mkono mrefu na hamshindwi.

Mtu yupo ICU amelazwa anapigania uhai wake, mnamhudumia kumbe mnarecord. Amewafanyiaa kitu gani kibaya huyu hadi mfikie huko?
Tatizo Mange mmemsifia na kumkuza hasa JF, akajiona Rambo ila ile App ina haribu reputation za watu wengi sana na kama isipofungiwa kuna siku inaweza sababisha damage ambayo haito kuwa na repair kwani Mange hajali.
 
Hujaelewa. Hakuna aliyesema Mange yupo sahihi. Hoja ya Msingi ni why mnarukia kulaumu wauguzi wa Hosp ?

Huyo Ruge nae alirekodiwa na wauguzi wa Hosp ? Think

Siku hizi watu wanarekodi ndugu zao hasa wakiwa kwenye hali hizo kama ukumbusho kwao , wengine hurekodi wake zao wakiwa wanazaa, wengine hurekodi ndugu zao wakiwa wanakufa . Acheni Ujinga kuwa Na assumption bila ya elimu yoyote .

Mazingira Hosp ndio nini ,ndugu wanaingia lundo kumuona mgonjwa... at that time wauguzi wanakuwa hawapo wanawaachia muongee na ndugu yenu

Chance ya kuwa imerekodiwa na ndugu au marafiki wanaoenda kumuona ni asilimia 95% , kama Ruge alivyorekodiwa his last words

Acheni Ujinga
Wewe ndio hujaelewa, nimeuliza, mazingira ya kumuhudumia mgonjwa na mazingira ya kumsalimia mgonjwa, yanafanana?
 
Inasikitisha sana,,,,Kama ndugu waliruhusiwa kumuona mgonjwa wachunguzwe pia,,,maana Kuna wengine huwa wanarecord Hata baba/mama/wajomba nk zao wakifanya ecg au kalazwa anampiga pic anapost eti “pray for my mom/dad” hatar sana

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] kweli hata mimi hushangaaa
 
Back
Top Bottom