Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Huyu binti mama yake c alikuwa house girl wa mzee kimambi.
Kuwa house girl ni vibaya kwani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu binti mama yake c alikuwa house girl wa mzee kimambi.
Vp na wewe bi mkubwa alikuwa beki tatu nini?mbona umepanic sana?Kuwa house girl ni vibaya kwani?
Hata angekuwa, thamani ya utu wake haishuki hata kidogo!!Vp na wewe bi mkubwa alikuwa beki tatu nini?mbona umepanic sana?
😁😁 ila jf kuna mambohandsome wa taifa na mwanawe
Joto ya jiwe ni kwa masikini walalahoi walioko Tz, na pengine hata hawana hatia, Ila wametokomezwa na muuaji!Huwaga Mimi namchukulia Kama CHIZI Fresh.
Ila anatakiwa apelekwe milembe ya watu dizaini yake.
JPM kuna mambo mengi nilikuwa simkubali lakini huyo CHIZI akisaidizana na Kigogo walikuwa wanatoa matusi utadhani maroboti yasiyo na hisia.
Yale matusi ya nguoni kabisa Jambo ambalo sikuwa nakubaliana nalo.
Hao ndio walipaswa waonje joto la jiwe, kwani walivuka mipaka Kwa kiwango cha juu kabisa.
Niliwahi muandikia kigogo kuwa ajibadilishe tabia Kwa baadhi ya namna ya anavyoandika na kutusi watu.
Alisoma na ku-like pasipo kunijibu chochote, lakini naona bado anaendelea
Karma is a bitch....alisheherekea kufa kama vile kufa ni adhabu ya mtu mmoja. Sasa anamdhalilisha mgonjwa kama vile yeye hakuwa na mgonjwa miezi kadhaa iliyopita.Hiyo app ya mange ni mojawapo ya pepo au shetani, mtu akiwa na kisa na wewe tu anauza kwa mange wanakurusha duniani.
Hapa Tanzania wapo mastaa kibao wanaugulia uzalilishwaji na wengine hata ndoa ziko hatarini kufa kisa ni hiyo app.
I don’t dig cancel culture. But if there’s someone who deserves to be canceled, it’s her!
She is demented. And some people fear her. I don’t even know why.
How come no one has done her bad all these years? Maybe she isn’t out there like that for people to get their hands on her. Otherwise, it would have been on-site.
But then again we’re talking about Tanzanians here. One of the most, if not the most docile and meek people you will ever find on planet earth.
Defund her!
Suck my dyck.Una mwandikia nani kiingereza? Akijua mkeo au sista wako inatosha bwana.....nimejaribu kufuatilia miongoni mwa waswahili wakishajua (NO, YES) baas dunia yote yao 😄 huu ni ushamba haswaa. Badilikeni wakuu!
I don’t dig cancel culture. But if there’s someone who deserves to be canceled, it’s her!
She is demented. And some people fear her. I don’t even know why.
How come no one has done her bad all these years? Maybe she isn’t out there like that for people to get their hands on her. Otherwise, it would have been on-site.
But then again we’re talking about Tanzanians here. One of the most, if not the most docile and meek people you will ever find on planet earth.
Defund her!