Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

F8815BC6-734C-459B-BAAB-9179DDCC98C8.jpeg


Tunaminya taratibu, hadi maji yachemke 😂😂😂
From now ukilipia ume-bet , upate au ukose 😂😂😂 , 👾👾👾 Bots baby
 
Hivi huyu ndio role model wa ufipa mtetezi wa haki za binadam alikuwa anamtukana Magufuli nyumbu wanamshangilia na akaitisha maandamano uchwara. Leo mnagundua kuwa hana akili sawasawa.
 
Tunapoongea kuwa nyie sijui ndo chadema mnavyowaamini hawa sijui kimavi ,sijui surungi kwamba hamna akili mnaona ni jambo la siasi .sisi hatuna vyama ila hao mpaka mnawafauatilia ndo mnawapa kichwa nilikuwa nataka kusoma ishu zao ila kwa vile hawan adabu nikaacha kuwafuatilia mi miaka mingi hata 5 inazidi


kaeni muelewe watanzania wapo wanawapa kichwa mtu nasikia anapost mpaka video za faragha za watu mpaka porno bado mnamkubali kwa vile anajua kingereza😁😁😁
 
Huwaga Mimi namchukulia Kama CHIZI Fresh.
Ila anatakiwa apelekwe milembe ya watu dizaini yake.

JPM kuna mambo mengi nilikuwa simkubali lakini huyo CHIZI akisaidizana na Kigogo walikuwa wanatoa matusi utadhani maroboti yasiyo na hisia.
Yale matusi ya nguoni kabisa Jambo ambalo sikuwa nakubaliana nalo.


Hao ndio walipaswa waonje joto la jiwe, kwani walivuka mipaka Kwa kiwango cha juu kabisa.

Niliwahi muandikia kigogo kuwa ajibadilishe tabia Kwa baadhi ya namna ya anavyoandika na kutusi watu.

Alisoma na ku-like pasipo kunijibu chochote, lakini naona bado anaendelea
Joto ya jiwe ni kwa masikini walalahoi walioko Tz, na pengine hata hawana hatia, Ila wametokomezwa na muuaji!
 
Kuna mtu alipanda ndege kwenda kupiga naye picha ,,😃😃😃🙌🙌
 
Hiyo app ya mange ni mojawapo ya pepo au shetani, mtu akiwa na kisa na wewe tu anauza kwa mange wanakurusha duniani.

Hapa Tanzania wapo mastaa kibao wanaugulia uzalilishwaji na wengine hata ndoa ziko hatarini kufa kisa ni hiyo app.
Karma is a bitch....alisheherekea kufa kama vile kufa ni adhabu ya mtu mmoja. Sasa anamdhalilisha mgonjwa kama vile yeye hakuwa na mgonjwa miezi kadhaa iliyopita.
Ndege mjanja ananaswa na tundu bovu,,,By the way, hawa watu wa Kahe naona yale majani yao yanawavuruga
 
I don’t dig cancel culture. But if there’s someone who deserves to be canceled, it’s her!

She is demented. And some people fear her. I don’t even know why.

How come no one has done her bad all these years? Maybe she isn’t out there like that for people to get their hands on her. Otherwise, it would have been on-site.

But then again we’re talking about Tanzanians here. One of the most, if not the most docile and meek people you will ever find on planet earth.

Defund her!

Una mwandikia nani kiingereza? Akijua mkeo au sista wako inatosha bwana.....nimejaribu kufuatilia miongoni mwa waswahili wakishajua (NO, YES) baas dunia yote yao 😄 huu ni ushamba haswaa. Badilikeni wakuu!
 
I don’t dig cancel culture. But if there’s someone who deserves to be canceled, it’s her!

She is demented. And some people fear her. I don’t even know why.

How come no one has done her bad all these years? Maybe she isn’t out there like that for people to get their hands on her. Otherwise, it would have been on-site.

But then again we’re talking about Tanzanians here. One of the most, if not the most docile and meek people you will ever find on planet earth.

Defund her!
1647018627704.png
 
Back
Top Bottom