Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Mmeajiriwa kufundisha. Nendeni mkafundishe. Hilo ndilo jambo linalowapa mshahara. Acheni kujifanya mna uchungu sana na watoto wa wenzenu.
Huo ni wendawazimu. Nyie fundisheni tu masomo. Tabia si kazi yenu ku deal nazo. Kama mtoto ameamua kutokuja shule mwachieni hilo jukumu mzazi wake kuhangaika naye.
Kama mtoto hafanyi home work wewe mwalimu unapungukiwa na nini? Mshahara wako hulipwi? Mnajipa majukumu ambayo si yenu. Sisi wazazi hawa watoto wameshatushinda tunawaleta shule waje wakue. Pia tunalazimishwa tu na serikali sometimes.
Sasa jichanganye vibaya litokee jambo. Utajibeba. Achaneni na habari ya kusema Walimu ni wito au kujifanya mna uchungu sana na watoto wa wenzenu. Narudi nyie mkafundishe masomo. Msitoe adhabu hata kidogo. Achaneni na huo ujinga.
Yakitokea majanga mnabaki peke yenu hakuna wa kuwatetea. Mnabaki kuwa waathirika. Ni sababu ya Ujinga wenu kudhani mtawanyoosha watoto wa wenzenu ambao wameshapinda.
Mimi ningekuwa mwalimu ningekuwa naingia darasani nafundisha natoa zoezi. Watakaoleta ndiyo nitakaowasahishia. Watakaokuja shule ndiyo nitakao deal nao wasiokuwepo ni suala la wazazi husika. Nsingeshika kiboko hata siku moja. Ningewa saidia wanaotaka kusaidika. Mnashindwaje kufanya hivi?
Watoto wanapokuwa watoro,watukutu wanunulieni ice cream au cake wale.siyo kuwachapa.kama hawaandiki wanunulieni burger,sambusa,kachori n.k watapenda shule.
Lakini pia kama wengi hawafanyi kazi mnazowapa.si ndo mshukuru zoezi la kusahisha linakuwa jepesi?
Acheni ujinga wa kudhani ninyi mnaweza badilisha tabia ya mtoto ambaye wazazi wake wanaona zipo sawa. Tusije laumiana huko mbeleni.
Huo ni wendawazimu. Nyie fundisheni tu masomo. Tabia si kazi yenu ku deal nazo. Kama mtoto ameamua kutokuja shule mwachieni hilo jukumu mzazi wake kuhangaika naye.
Kama mtoto hafanyi home work wewe mwalimu unapungukiwa na nini? Mshahara wako hulipwi? Mnajipa majukumu ambayo si yenu. Sisi wazazi hawa watoto wameshatushinda tunawaleta shule waje wakue. Pia tunalazimishwa tu na serikali sometimes.
Sasa jichanganye vibaya litokee jambo. Utajibeba. Achaneni na habari ya kusema Walimu ni wito au kujifanya mna uchungu sana na watoto wa wenzenu. Narudi nyie mkafundishe masomo. Msitoe adhabu hata kidogo. Achaneni na huo ujinga.
Yakitokea majanga mnabaki peke yenu hakuna wa kuwatetea. Mnabaki kuwa waathirika. Ni sababu ya Ujinga wenu kudhani mtawanyoosha watoto wa wenzenu ambao wameshapinda.
Mimi ningekuwa mwalimu ningekuwa naingia darasani nafundisha natoa zoezi. Watakaoleta ndiyo nitakaowasahishia. Watakaokuja shule ndiyo nitakao deal nao wasiokuwepo ni suala la wazazi husika. Nsingeshika kiboko hata siku moja. Ningewa saidia wanaotaka kusaidika. Mnashindwaje kufanya hivi?
Watoto wanapokuwa watoro,watukutu wanunulieni ice cream au cake wale.siyo kuwachapa.kama hawaandiki wanunulieni burger,sambusa,kachori n.k watapenda shule.
Lakini pia kama wengi hawafanyi kazi mnazowapa.si ndo mshukuru zoezi la kusahisha linakuwa jepesi?
Acheni ujinga wa kudhani ninyi mnaweza badilisha tabia ya mtoto ambaye wazazi wake wanaona zipo sawa. Tusije laumiana huko mbeleni.