Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
[emoji23]pepo utaisikia Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]pepo utaisikia Mkuu
Dah😂Hahaha nikitoka hapa naenda kutubu na machozi juu
Mnayapendea Nini? Bora mtumie BajajMwenyezi Mungu atuepushe jamani
Wakichapana wenye kwa wenyewe mara nyingi kifuatacho ni party kwa Israelcalculation zao za kukatiza mataaaa, huwa zinaniwazisha sanaaa,
wanapo gongana wao kwa waoo ndo tenaaa wabaki ukiwaza
Wito - abiria usimruhusu dereva boda boda avuke mataa endapo taa haziruhusu
Wenye class C ndio waruhusiwe kuendesha bodabodaUshauri wangu kwa serikali bodaboda nazo zipunguzwe, kama wanavyo dili na machinga sasa wageukie na boda boda nazo.
Kwanza ni hatarishi, wanao ziendesha wengi wao hawastahili, zimekuwa nyingi mno mjini, zinasababisha msongamano mkubwa na mengine mengi ambayo yanasababisha kuwepo na sababu ya boda boda kuondolewa au kupunguzwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Harafu nywere bandia sio nzuri. Mara nyingi sana naona watu wanawashwa harafu nywere bandia huwa ndio SABABU.Harafu nywere zenyewe bandia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tema mate chini! Foleni ilinifanya niipande toka Kino hadi Airport kuwahi na nilikuwa last passenger to boardSipandi hayo makitu mimi. Ni hatari sana.
Harafu nywere bandiaHarafu ni nini
Ahsante kutukumbusha, hapo pa helmet umenigusa Mimi kabisa, Jana tu nimegoma kuivaa nimetengeneza tunywele twangu naanzaje kuziharibu na helmet jamani.!?Wanawake condom tu hawajali wanaanzia wapi kujali boda boda.
Anakwambia ana allergy na condom ama zinamuumiza anakushawishi muende kavu huku hata hakujui background yako.. boda boda akimpa helmet mwanamke anakataa kuvaa anasema helmet chafu ama itamkata nywele zake. Yaani anajali nywele kuliko uhai wake
Wana mabalaa aiseecalculation zao za kukatiza mataaaa, huwa zinaniwazisha sanaaa,
wanapo gongana wao kwa waoo ndo tenaaa wabaki ukiwaza
Wito - abiria usimruhusu dereva boda boda avuke mataa endapo taa haziruhusu
Mnathamini Sana nywele kuliko uhaiAhsante kutukumbusha, hapo pa helmet umenigusa Mimi kabisa, Jana tu nimegoma kuivaa nimetengeneza tunywele twangu naanzaje kuziharibu na helmet jamani.!?
Ila anyways, tutajitahidu kwa usalama wetu ila nyingi huwa chafu sana jamani..!
NB; nanyoa, siyo nywele za bandia msije nishambulia..!
Mnathamini Sana nywele kuliko unAhsante kutukumbusha, hapo pa helmet umenigusa Mimi kabisa, Jana tu nimegoma kuivaa nimetengeneza tunywele twangu naanzaje kuziharibu na helmet jamani.!?
Ila anyways, tutajitahidu kwa usalama wetu ila nyingi huwa chafu sana jamani..!
NB; nanyoa, siyo nywele za bandia msije nishambulia..!
Eti condom zinawawashaWanawake condom tu hawajali wanaanzia wapi kujali boda boda.
Anakwambia ana allergy na condom ama zinamuumiza anakushawishi muende kavu huku hata hakujui background yako.. boda boda akimpa helmet mwanamke anakataa kuvaa anasema helmet chafu ama itamkata nywele zake. Yaani anajali nywele kuliko uhai wake
Akipata mimba anasahau kabisa utamu alioupataWanawake condom tu hawajali wanaanzia wapi kujali boda boda.
Anakwambia ana allergy na condom ama zinamuumiza anakushawishi muende kavu huku hata hakujui background yako.. boda boda akimpa helmet mwanamke anakataa kuvaa anasema helmet chafu ama itamkata nywele zake. Yaani anajali nywele kuliko uhai wake
Hawajaamka na wakiamka watakwenda kanisani, ombi lako litashughulikiwa wakirudi kanisani.
Asante sanaHawajaamka na wakiamka watakwenda kanisani, ombi lako litashughulikiwa wakirudi kanisani.