Pythagoras
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,026
- 5,299
Ukion bodaboda
-kavaa kikaputula kinaishia mapajani,
-amesokota nywele,
-anavindala,
-boda yake ameweka nyimbo za singeli
-hana helmet
Ukipanda hiyo boda na wewe unakuwa mpumbavu. Maana hao vijana huwa wakishapanda kwenye boda utakuta anakaa upande hivi. Hapo utafurahia show.
Mim kuna dogo aliniendesha alifanya overtake kiasi kwamba angechelewa just a second ndo ingekuwa mwisho. Baada ya pale nikamwambia sikulipi hela yako ya nishushe,
Bora bodaboda wa bolt hawa mostly naonaga wanajielewa
-kavaa kikaputula kinaishia mapajani,
-amesokota nywele,
-anavindala,
-boda yake ameweka nyimbo za singeli
-hana helmet
Ukipanda hiyo boda na wewe unakuwa mpumbavu. Maana hao vijana huwa wakishapanda kwenye boda utakuta anakaa upande hivi. Hapo utafurahia show.
Mim kuna dogo aliniendesha alifanya overtake kiasi kwamba angechelewa just a second ndo ingekuwa mwisho. Baada ya pale nikamwambia sikulipi hela yako ya nishushe,
Bora bodaboda wa bolt hawa mostly naonaga wanajielewa